Je, Watu waliokufa wana nguvu kuliko walio hai?

Kujifungia kwenye box la ukosefu wa maarifa sio kosa lako.
Huo ujinga kwenu ndio maarifa?!!
Aisee!!
Kweli tunatofautiana. Endeleeni kuyasubiri hayo maisha ya baada ya kufa.

Duh.
 
Ooh
 
Ni mizimu ama uchawi ndo wenye nguvu ila si Mareham
 
Nauliza sijibiwi, wakati yesu anaomba milimani kipindi fulani alitokewa na watu watu watatu, Mussa, Elia, na mwingine nimemsahau wale walikuwa nani.Na kama yeye alikufa akafufuka alifufuka kama nani?Tafadhali mkuu mkumbushe anijibu.
 
Kwa tafsiri ya kanisa, Shetani ni nini?pepo shetani na mzimu ni vitu vitatu vyenye tafsiri zinazojitegemea.
Shetani ni mwakilishi mkuu wa mambo yoote ya giza, pepo ni watumishi wake (wavurugaji), mizimu ni aina za majini yanayosimamia taratibu za koo,familia flani.
 
Shetani ni mwakilishi mkuu wa mambo yoote ya giza, pepo ni watumishi wake (wavurugaji), mizimu ni aina za majini yanayosimamia taratibu za koo,familia flani.
mkifahamu shetani hasa ni nini hamtapoteza muda kukemea vitu vilivyawazunguka na kuacha kupambana na nadharia za kufikirika.
 
mkifahamu shetani hasa ni nini hamtapoteza muda kukemea vitu vilivyawazunguka na kuacha kupambana na nadharia za kufikirika.
Ukimfahamu aliyekuweka gundu usipate ajira ungeachana na nadharia zinazokutesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…