KANYAMA
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 1,514
- 2,325
Kama ilivyo kwa TL na Dj. Ni unafiki mtupu. Jana TL Mwanza hakutaka kumkaribisha mbowe kwa heshima.Kwenye siasa unafiki mwingi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ilivyo kwa TL na Dj. Ni unafiki mtupu. Jana TL Mwanza hakutaka kumkaribisha mbowe kwa heshima.Kwenye siasa unafiki mwingi sana
Urafiki wa mashaka kati ya Lowassa na Kikwete ulikuwa kimaslahi zaidi. Kuchimbana, kusengenyana, kuzidiana kete ndio ulikuwa mchezo.Hizo ndizo siasa. Maslahi ya nchi kwanza urafiki baadae. Kikwete alijua na alimjua Lowassa kuliko wewe ulieko MTAANI au kijijini. Miaka miwili tu! Akampa Rostam mkataba wa Richmond yakapigwa mabilioni ya fedha za wananchi! Haiitaji akili kujua nani alihusika kwani Rais alimuamini Waziri wake mkuu na rafiki yake.
Ndio...watu wa Pwani tunasemeaga rohoni..." Neng'eneka tu, tuone mwisho wako!'"Wala hatukunji ndita au kushika panga.Unawekwa akiba na unakuwa labeled kuwa si wa kuaminika.
Akaachwa atambe,akatumia fedha nyingi kuweka wajumbe wa NEC kila mkoa, fedha zilimwagwa waziwazi kwa wajumbe,wakaimba na kulitukuza jina lake. Akapata kiburi na akajua kuwa kamaliza hakuna wa kumzuia. Akatamka waziwazi kuwa mkataba wa Richmond yalikuwa ni maagizo ya bosi wake (Rais). Tena hadharani. Lowassa akasahau kuwa yeye ndiye aliyempa hiyo kampuni ambayo mwanzo yeye alisema aliwaamini wa chini yake wakamuangusha.
Akaona kashika makali akasahau kuwa alikuwa ameshika mpini. Kili chotokea ndio hicho kinaitwa unafiki
Lipumba naye snitch tu baada ya lowassa kujiunga chadema na chadema kuungana na cuf yeye akajitoa cuf,mchawi mmoja
Kwa kuwa watakosa wale mabikra na ile mito ya pombe sio? 🤣 🤣Tena kama hakutubu kwa Mola wake aliovyowafanyia wenziwe basi atakuwa na hali mbaya huko twendako. Huyu jamaa nimemdharau kupindukia.
Sawasawa na wasiokuwa waislam wakifa nje ya uislam kuna maji ya moto yaunguzayo watanyweshwaKwa kuwa watakosa wale mabikra na ile mito ya pombe sio? 🤣 🤣
🙏You nailed it !
Ulimboka alikufa kwani? Wacha kumsingizia JK vitu vya uwongoMwangosi, Dr. Ulimboka et al.
Kumbe hufahamu kuwa ni Mungu tu alimwokoa aje kutoa ushuhuda? Na Mwangosi mbona hujauliza?Ulimboka alikufa kwani? Wacha kumsingizia JK vitu vya uwongo
Hivi bado kuna watu wenye akili ndogo kama hiziHizo ndizo siasa. Maslahi ya nchi kwanza urafiki baadae. Kikwete alijua na alimjua Lowassa kuliko wewe ulieko MTAANI au kijijini. Miaka miwili tu! Akampa Rostam mkataba wa Richmond yakapigwa mabilioni ya fedha za wananchi! Haiitaji akili kujua nani alihusika kwani Rais alimuamini Waziri wake mkuu na rafiki yake.
Ndio...watu wa Pwani tunasemeaga rohoni..." Neng'eneka tu, tuone mwisho wako!'"Wala hatukunji ndita au kushika panga.Unawekwa akiba na unakuwa labeled kuwa si wa kuaminika.
Akaachwa atambe,akatumia fedha nyingi kuweka wajumbe wa NEC kila mkoa, fedha zilimwagwa waziwazi kwa wajumbe,wakaimba na kulitukuza jina lake. Akapata kiburi na akajua kuwa kamaliza hakuna wa kumzuia. Akatamka waziwazi kuwa mkataba wa Richmond yalikuwa ni maagizo ya bosi wake (Rais). Tena hadharani. Lowassa akasahau kuwa yeye ndiye aliyempa hiyo kampuni ambayo mwanzo yeye alisema aliwaamini wa chini yake wakamuangusha.
Akaona kashika makali akasahau kuwa alikuwa ameshika mpini. Kili chotokea ndio hicho kinaitwa unafiki
Only argument or phrase that low minded people can make is like this one.. especially bavch*Hivi bado kuna watu wenye akili ndogo kama hizi