HeheheheKuna rumours za wanamitandao na wanaharakati wanaodai kuwa Mohamed Mchengerwa aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Utawala Bora ni mkwe wa Rais, ameoa binti yake ambaye ni Mbunge viti maalum kutoka Zanzibar. Pia Mohamed inadaiwa kuwa ni Msimamizi Mkuu wa utendaji wa TISS.
Tumekuwa tukiwaandama marais waliopita kuwa wanateua ndugu zao, je na rais wetu anapita mulemule?
Binafsi sina shaka na uteuzi wake kutokana na CV yake. Pamoja na vigezo vingine, mtu huteuliwa kutokana na CV yake.
View attachment 1740159
Kuna rumours za wanamitandao na wanaharakati wanaodai kuwa Mohamed Mchengerwa aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Utawala Bora ni mkwe wa Rais, ameoa binti yake ambaye ni Mbunge viti maalum kutoka Zanzibar. Pia Mohamed inadaiwa kuwa ni Msimamizi Mkuu wa utendaji wa TISS.
Tumekuwa tukiwaandama marais waliopita kuwa wanateua ndugu zao, je na rais wetu anapita mulemule?
Binafsi sina shaka na uteuzi wake kutokana na CV yake. Pamoja na vigezo vingine, mtu huteuliwa kutokana na CV yake.
View attachment 1740159
Acha tu...Ina maana huyu jamaa alianza kazi Kama register officer kabla hajapata degree 2002 au ndo alianza mafekechee kitambo
Haahaa bado mawifi watakuja.Hii tabia ya viongozi wetu kutumia mamlaka kwa maslahi binafsi inaudhi Sana.Je akivurunda atamkanyaje? HapanaKwa hiyo jamaa anaenda kumlinda mama mkwe pale...pelekeni pua zenu sasa muone atakavyowatoa ufung'unyura.
Haahaa kwa hyo hiyo nafasi alisubiriwa mama mkwe awe rais ndipo apewe? HaahaaMimi huwa na jiuliza swali hili siku hizi. Zamani na mimi nilighafilika niliposikia matendo ya watoto wa Sadam Hussein kwa mfano.
Swali lenyewe ni hili, "Mbona hatuulizi watoto wa walimu, wafanyabiashara, Madaktari nk nk. Wanapofata nyayo za Wazazi wao. Kwa nini Watoto wa wanasiasa tu ndio iwe nongwa?
Tusione shida yeyote kama ni mtoto wa Mwanasiasa na ni mtu wa maadili, haki na kweli acha afuatevmyayo za mzazi wake. Tusiwe watu wa dabali standadi.
Jambo la muhimu wasiwe wakina Uday Saddam ama wauza nganda, hilo tu.
Haahaa kwa hyo hiyo nafasi alisubiriwa mama mkwe awe rais ndipo apewe? Haahaa
Haahaa kwa kweli uzalendo uliondoka na nyerere, hapo Kuna conflict of interest.Kiuadilifu hapo ni zero.Kiapo Cha rais kinakataa hayo maduduNafasi hiyo inataka mtu unaye muamini pia. Mkwe ana aminiwa na Mama Mkwe sioni tatizo. Vilevile tumeambiwa nafasi yake kabla ya kuteuliwa hivyo ni mtu mwenye uwezo.
Tatizo ni pale kama jamaa akikutana na changamoto za kazi akaenda kutolea hasira kwa mkewe labda.
..Siku akimteua mumewe kuwa waziri msibadili his angani.Ubaya ni ubaya tuKama ana uwezo wa kutumikia majukumu yake vyema tumuache atutumikie tu
Haahaa kwa kweli uzalendo uliondoka na nyerere, hapo Kuna conflict of interest.Kiuadilifu hapo ni zero.Kiapo Cha rais kinakataa hayo madudu