Ngoja pasaka iishe tushuhudie huo mtanangewee we we Mama kasema tukutane baada ya jumatatu ya Pasaka
naona ndio zamu yao, maana VP kasema Makatibu na Manaibu wana viugomvi vya ajabuajabu, huyo atang'oka tu hawezi kaa na waziri Mnyiramba
Hajafanya kosa hapo maana unajiwekea mtu unaye muamini kuwa piga ua hawezi kukuzungukaAngemteua mwanae ambae nae ni mbunge na msomi mzuri bado ingekuwa shida tu. Pale ilikuwa lazima aweke mtu wake ambae anamuamini.
😂Ina maana huyu jamaa alianza kazi Kama register officer kabla hajapata degree 2002 au ndo alianza mafekechee kitambo
Msimamia uchaguzi🤣🤣Kuna rumours za wanamitandao na wanaharakati wanaodai kuwa Mohamed Mchengerwa aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Utawala Bora ni mkwe wa Rais, ameoa binti yake ambaye ni Mbunge viti maalum kutoka Zanzibar. Pia Mohamed inadaiwa kuwa ni Msimamizi Mkuu wa utendaji wa TISS.
Tumekuwa tukiwaandama marais waliopita kuwa wanateua ndugu zao, je na rais wetu anapita mulemule?
Binafsi sina shaka na uteuzi wake kutokana na CV yake. Pamoja na vigezo vingine, mtu huteuliwa kutokana na CV yake.
View attachment 1740159
Ina maana , Ara Jiga yule Refa ni Yanga dam dam, mbona anachezesha mechi za Simba, si anafuata sheria?Msimamia uchaguzi🤣🤣