Je, wazungu sio wakazi asilia wa hii dunia?

wewe najua ni mzungu unatetea ndg zako
 
Ni muda muafaka sasa naomba maswali
kuuumbe mshana una miliki Yu tube? Asee nimejua na ile ndiyo sauti yako?
Umeamua kufanyia mambo yako Msata mzee! Au? Mimi niko hapa karibu tu panaitwa mungu atosha japo nimezaliwa mbwewe naomba kibarua boss
 
kuuumbe mshana una miliki Yu tube? Asee nimejua na ile ndiyo sauti yako?
Umeamua kufanyia mambo yako Msata mzee! Au? Mimi niko hapa karibu tu panaitwa mungu atosha japo nimezaliwa mbwewe naomba kibarua boss
Hahhaaa hapana kaka atakuwa mwingine huyo ila kama uko mitaa hiyo nitakucheki soon
 
unashindwa nini...
Mtu Nyani wa kale alikuwa mzungu yaani neandethals.

Mbona habadiriki tena?

Ulaya wanazaliwa kila siku watoto neandethals nenda kajioneee!

Msitusumbue na vimaswali vya kitoto hivo!
 
unashindwa nini...
Mtu Nyani wa kale alikuwa mzungu yaani neandethals.

Mbona habadiriki tena?

Ulaya wanazaliwa kila siku watoto neandethals nenda kajioneee!

Msitusumbue na vimaswali vya kitoto hivo!


Kwa ushahidi huu naweza kukubaliana na mtoa maada kuwa huenda wazungu sio wenyeji wa Sayari hii.! The pre existed european species (Neanderthals) went extinct due to the competition with immigrating human beings (White people)
 
Hoja fikirishi
 
Natakiwa nifanye nini ili na mimi nile ban?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3064][emoji3064][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji3064][emoji3064][emoji2827]
 
[emoji3064][emoji3064][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji3064][emoji3064][emoji2827]
Mkuu kuna siku za nyuma kidogo niliona kama umekula ban, ni kweli ulikuwa wewe au ni wenge langu tu? Kama ni kweli share na mimi mbinu uliyotumia pliz.
 
kwa maana yako blacks tumelaaaniwa NIKISEMA BIBLE INAWABEBA WAZUNGU MNABISHA KWA HERUFI KUBWA!!? huyo mungu wa bible mm simuamini kama anubaguzi kiasi hiki? yaani abariki weupe aache sisi blacks .pambafffff
Mungu katukanwa masikini [emoji22]
 
Mkuu kuna siku za nyuma kidogo niliona kama umekula ban, ni kweli ulikuwa wewe au ni wenge langu tu? Kama ni kweli share na mimi mbinu uliyotumia pliz.
Hahahaha[emoji23].. Nilikosea kidogo mahali nikaanyooshwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…