Yan hapo walimuomba mange awafanyie jitihada za kuwachamba wcb. Mange mwenyewe kaona aseme ukweli kua hiyo sio hit song ndio maana views haziendi[emoji23][emoji23][emoji23]Album ya A Boy from Tandale ingeflop isingeshika no 1 itune kenya kwa muda wa wiki 2+,ila sio mbaya naona dada kaamua kuokoa jahazi lkn kijana anahali mbaya,ngoja tuone labda views zitadouble ndani ya siku moja.Sasa hapa hili boko ndio angelitoa Diamond Mange angeliongelea mwezi mzima.
Heri uwaelimishe maana hata diamond huwa inampata sema jamaa tuu wimbo ameharibu na huo ndo ukweli wakiendelea kutafuta fake viewers fagio Litaendelea kupitaIna maana hii ni mara ya kwanza kwako kuona au kusikia suala kama hili?!
Kama hujawahi kusikia, wasome wenyewe Youtube hapa na utakuta hii:
Au pitia hii screenshot:
View attachment 776381
Hahahaha ungenitafuta ningeona [emoji23][emoji23][emoji23]
Nilirudi nilikutafuta sanaa but hukuepo, was worried
Missed you much.
Next time unaenda nchi za mbali tuagane basi
Sehem gani niliyosema Kiba promo wamempa bure? Hebu nionyeshe wewe.Kitu kimoja ni dhahiri kwa wafuasi wa Diamond: Alikiba kupewa airtime na media inawauma mno! Hivi mnadhani hao Clouds wamempa hiyo promo bure? Hiyo ni biashara, management ya Kiba wamelipia, kiasi kwamba msanii yeyote akilipa naye anafanyiwa hivyo. Lakini pia hakuna msanii aliyekuwa anapewa promo na mawingu kama Mondi! Mbona wakati huo hakukua na lialia kama hii?
Kitu kimoja ni dhahiri kwa wafuasi wa Diamond: Alikiba kupewa airtime na media inawauma mno! Hivi mnadhani hao Clouds wamempa hiyo promo bure? Hiyo ni biashara, management ya Kiba wamelipia, kiasi kwamba msanii yeyote akilipa naye anafanyiwa hivyo. Lakini pia hakuna msanii aliyekuwa anapewa promo na mawingu kama Mondi! Mbona wakati huo hakukua na lialia kama hii?
Wabishi hawa viumbe... mara kibao tushasema hapa kwamba hakuna janja janja kwenye Youtube Views!Heri uwaelimishe maana hata diamond huwa inampata sema jamaa tuu wimbo ameharibu na huo ndo ukweli wakiendelea kutafuta fake viewers fagio Litaendelea kupita
Acha wapambane na hali zaoWabishi hawa viumbe... mara kibao tushasema hapa kwamba hakuna janja janja kwenye Youtube Views!
HahahahHahahaha ungenitafuta ningeona [emoji23][emoji23]
Sema nimekua mvivu tu kukomenti
[emoji5][emoji5][emoji5][emoji5] Ntajitahd nisipotee sanaHahahah
Msako wangu ulikuwa ni wa kimya kimua but am very happy to see you
hahahahahahaha nasikia mendez kakata waya unao unganisha chanel ya Kiba YOUTUBE
Nilidhani huu uzi unazungumzia habari za Views wa Kiba!! Sasa Mashabiki wa Diamond kwanini walie lie kuhusu Views wa Kiba?!Kitu kimoja ni dhahiri kwa wafuasi wa Diamond: Alikiba kupewa airtime na media inawauma mno! Hivi mnadhani hao Clouds wamempa hiyo promo bure? Hiyo ni biashara, management ya Kiba wamelipia, kiasi kwamba msanii yeyote akilipa naye anafanyiwa hivyo. Lakini pia hakuna msanii aliyekuwa anapewa promo na mawingu kama Mondi! Mbona wakati huo hakukua na lialia kama hii?
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4][emoji5][emoji5][emoji5][emoji5] Ntajitahd nisipotee sana
Kabisa... bora kuwaacha Team Kiba na Arsene Wenga wao!!Acha wapambane na hali zao
kwani kuna nini leo?
we hutaki kwenda unaogopa utamuingezea view au [emoji23][emoji16]Kaangalie uniletee mrejesho. Pliz usisahau
Hahaaa hapa unaongeza uchungu.ila kupata kwa wema na mondi pia kumechangia haya.