Je, wewe ni mtoto wa kwanza katika familia: Fahamu jinsi Potential yako inavyowindwa ili uharibike

Nakumbuka mstari mmoja yakobo akimlaani Rueben

"RUeben U mzaliwa wa kwanza nguvu na malimbuko ya uwezo wangu umewashinda wengine kwa ukuu ......."

RUeben aliharibu sijui kwa kulala na kijakazi Cha babaye
 
Umeelezea vizuri ila kwa wakristo, mzaliwa wa kwanza ni Yesu na sisi wote tunakuwa wazaliwa tunaofuata , kwaiyo ukimwamini kristo unakuwa huesabiki km mzaliwa wa kwanza .
Mzaliwa wa kwanza katika familia yenu
 
Nakumbuka mstari mmoja yakobo akimlaani Rueben

"RUeben U mzaliwa wa kwanza nguvu na malimbuko ya uwezo wangu umewashinda wengine kwa ukuu ......."

RUeben aliharibu sijui kwa kulala na kijakazi Cha babaye
5
1 Na wana wa Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli; (kwa maana ndiye aliyekuwa mzaliwa wa kwanza, lakini, kwa kuwa alikinajisi kitanda cha babaye, haki yake ya mzaliwa wa kwanza walipewa wana wa Yusufu, mwana wa Israeli; tena nasaba isihesabiwe kwa kuifuata hiyo haki ya mzaliwa wa kwanza.

Mwanzo : Mlango 35
22 Ikawa Israeli alipokuwa akikaa katika nchi ile, Reubeni akaenda akalala na Bilha, suria wa babaye; Israeli akasikia habari.Basi hao wana wa Yakobo walikuwa kumi na wawili.
 
Sidhani kama umejibu sawa na kile Da'Vinci ameongelea.
 
Sijazungumzia watu nazungumzia shetani, adui kila mtu anaye. Ila adui nayemzungumzia hapa ni adui wa kiroho na si wa kimwili kama ulivyoeleza hapo juu. Sidhani kama umesoma mada. Kama umesoma je umeielewa??
 
Je unaamini kstika uwepo wa Mungu??
 
Unadhani origin ya mwanadamu ni ipi..?
 
So mkuu, unaamini katika Mungu au?
 
Simply and Clear
ila ni nzaliwa wa kwanza kiroho kwetu
Gratitude
Well!.. tunasema Kwa nini Mungu amependelea sana wazaliwa wa pili kuliko wazaliwa wa kwanza Ki-Biblia? Mungu alisema waziwazi kuwachukia baadhi ya wazaliwa wa kwanza wa kiume. sababu ni uzao wa Shetani Mara nyingi, japo siyo lazima awe wa kiume wa kwanza.

Ki-Biblia Mwanamke ni Mama wa viumbe Vyote! ina maana kuna watoto wa Nuru na watoto wa Giza yaani walio pandikizwa na Shetani. Mara zote shetani ana malengo mabaya ktk Familia zetu, hivo anaanza kuweka mbegu zake ili mpotee!

Ili Shetani akumalize kabisa kiimani anaweka mbegu zake za mtoto mnae fanana sana sura kwa kila kitu! Lakini Mzaliwa wa kwanza kihalali ni yule wa pili! KM ilivotokea kwa Seth, Abel ghidi ya Cain, Isack dhidi ya Ishmael,, Yakobo dhidi ya Esau nk.

Kibinadamu tunaangalia tu Mtoto aliye toka kwanza wa kiume! ndo huyo huyo wa kwanza! lkn pia mkiwa wengi shetani anaweza chomeka hata wawili au watatu!
Utamjuaje sasa huyo Mtoto? ndo km ulivoeleza hapo chini! hata umuombee vipi! ndo kwanzaaa!
 
Mama ni Mungu maana anatumika na Muumba katika kuendeleza uzazi..
 
itabidi tuanzishe first borns brotherhood kudeal na hii changamoto hayo yote ni YA kweli
vita zetu ni kubwa sana
 
itabidi tuanzishe first borns brotherhood kudeal na hii changamoto hayo yote ni YA kweli
vita zetu ni kubwa sana
Anzisha mkuu watu wanahitaji calmness n spiritual support
 
Hebu yaorodheshe hayo maswali kiongozi
Nilikuwa najiuliza hivi ni kwanini kwenye ukoo wetu kila mtoto wa kwanza lazima afe.
Mm mwenyewe ni wapili kuzaliwa kwenye familia na inamaana wa kwanza alikufa na mm wenyewe nimekuwa kwa misukosuko mingi sana. na mtoto wangu wa kwanza alifariki.
Na bado nina marafiki zangu kibao watoto wao wa kwanza hawako sawa kiakili na kimwili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…