Girland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2016
- 2,489
- 4,253
MOJAWAPO ya maswali magumu, ambayo mwanadamu amekuwa akitafuta majibu ni MIMI NI NANI, JE MUNGU NI NANI, n. k
Tumesikia pia, nchini Tanzania mwanamama anayejiita "Mfalme Zumaridi " akijiita "mungu "!.Viongozi wa dini mbalimbali wamejitokeza kumpinga na kusema kuwa anakufuru kujiita "mungu ".Je nani yuko sahihi?
MUNGU AMEAGIZA TUSIABUDU MIUNGU MINGINE, katika amri kumi alizopewa Musa, Mungu alimuelekeza kuwa utamuabudu BWANA Mungu wako Pekee na usiabudu "miungu" wengine.
Hapa kuna jambo la kujiuliza:
1)Mungu anatuthibitishia uwepo wa "miungu wengine " na anatukataza "kuiabudu "?
Je miungu hii ni ipi??
2)Mheshimiwa Kabudi aliwahi "kuteleza ulimi " na kumuita Mwendazake "Mheshimiwa mungu " je huko ndio kuabudu miungu mingine?
BIBLIA INASEMAJE Katika Zaburi 82:1 tunaambiwa "MUNGU asimama Kati ya kusanyiko la miungu anahukumu "
GOD standeth in the congregation of the mighty he judgeth among gods " .Miungu hii inayozungumziwa ni ipi?
Katika Zaburi 82:6 Inasema "Ndinyi miungu, na wana wa aliye juu!
Je, hii haitufanyi kuwa "miungu "?
MTOTO WA NYOKA NI NYOKA!
kama mwanadamu ameumbwa kwa sura na mfano wa Mungu je, hii haimfanyi kuwa "mungu"!
WAJUVI KARIBUNI MTUSAIDIE
Tumesikia pia, nchini Tanzania mwanamama anayejiita "Mfalme Zumaridi " akijiita "mungu "!.Viongozi wa dini mbalimbali wamejitokeza kumpinga na kusema kuwa anakufuru kujiita "mungu ".Je nani yuko sahihi?
MUNGU AMEAGIZA TUSIABUDU MIUNGU MINGINE, katika amri kumi alizopewa Musa, Mungu alimuelekeza kuwa utamuabudu BWANA Mungu wako Pekee na usiabudu "miungu" wengine.
Hapa kuna jambo la kujiuliza:
1)Mungu anatuthibitishia uwepo wa "miungu wengine " na anatukataza "kuiabudu "?
Je miungu hii ni ipi??
2)Mheshimiwa Kabudi aliwahi "kuteleza ulimi " na kumuita Mwendazake "Mheshimiwa mungu " je huko ndio kuabudu miungu mingine?
BIBLIA INASEMAJE Katika Zaburi 82:1 tunaambiwa "MUNGU asimama Kati ya kusanyiko la miungu anahukumu "
GOD standeth in the congregation of the mighty he judgeth among gods " .Miungu hii inayozungumziwa ni ipi?
Katika Zaburi 82:6 Inasema "Ndinyi miungu, na wana wa aliye juu!
Je, hii haitufanyi kuwa "miungu "?
MTOTO WA NYOKA NI NYOKA!
kama mwanadamu ameumbwa kwa sura na mfano wa Mungu je, hii haimfanyi kuwa "mungu"!
WAJUVI KARIBUNI MTUSAIDIE