Je! Wewe Utafanyaje?

Je! Wewe Utafanyaje?

Unasema ina kilakitu unachohitaji then unasema hakuna mtu wakumsemeaha HOW COME katika vitu navyohitaji Kuwa na mke mzuri, Mamayangu, ndugu zangu, also kutoka outing so huko outing lazima kuwe na watu wakuniuzia Ice cream, bia, michemsho, kuangalia movie kali so Actors wawepo wakina Will Smith nk, nataka Game kali so game developers wawepo, napenda kulakula so wapishi.

Hutimisho: hao watu wapo katika kilakitu nachohutaji Direct Kama mke na Indirect Kama Waoishi so ukisema eti niwe na kilakitu nachohitaji then watu hawapo hio kauli yakk ni ya uongo hapo vutajimia navyohitaji
 
hivi uliyeandika umefikiri kweli. yaani nikute kila nnachokiitaji na hakuna wa kumsemesha. unajua fantasy yangu. kama mtu anapenda wanawake na kaamka kawakuta c atawasemesha.
Mwanamke ni mtu sio kitu elewa swali mkuu
 
Ndio nmesema hakuna mtu Ila vitu vipo elewa swali mkuu
Hivi umeelewa hoja yangu haya kaondoe neno "KILAKITU UNACHOHITAJI" au malizia neno "KASORO WATU"

Tukisema kilakitu tunachohitaji tunazunguzia matamanio ya mtu ikijumuisha vitu vyote alivyoumba Mungu hapa hadi viumbe wanaingia
 
Mwanamke ni mtu sio kitu elewa swali mkuu
Ukisikia MUNGU KAUMBA KILAKITU au KILAKITU KIMEUMBWA NA MUNGU hua unaelewa nini kwenye hio kilakitu binadamu na viumbe wengine hawausiki??

Jigunze lugha binadamu ni kitu inategemea umeongelea vipi
 
Ukisikia MUNGU KAUMBA KILAKITU au KILAKITU KIMEUMBWA NA MUNGU hua unaelewa nini kwenye hio kilakitu binadamu na viumbe wengine hawausiki??

Jigunze lugha binadamu ni kitu inategemea umeongelea vipi
Kwa hio wewe ni KITU?
 
Hivi umeelewa hoja yangu haya kaondoe neno "KILAKITU UNACHOHITAJI" au malizia neno "KASORO WATU"

Tukisema kilakitu tunachohitaji tunazunguzia matamanio ya mtu ikijumuisha vitu vyote alivyoumba Mungu hapa hadi viumbe wanaingia
Nipe tofauti 2 zilizopo kati ya Mtu na KITU
 
Back
Top Bottom