Unasema ina kilakitu unachohitaji then unasema hakuna mtu wakumsemeaha HOW COME katika vitu navyohitaji Kuwa na mke mzuri, Mamayangu, ndugu zangu, also kutoka outing so huko outing lazima kuwe na watu wakuniuzia Ice cream, bia, michemsho, kuangalia movie kali so Actors wawepo wakina Will Smith nk, nataka Game kali so game developers wawepo, napenda kulakula so wapishi.
Hutimisho: hao watu wapo katika kilakitu nachohutaji Direct Kama mke na Indirect Kama Waoishi so ukisema eti niwe na kilakitu nachohitaji then watu hawapo hio kauli yakk ni ya uongo hapo vutajimia navyohitaji