Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeyeto mtafutaji hawezi chezea pesa hivi wengi huwa ni wakwapuaji wa kodi zetu.Mpambanaji hawezi chezea pesa.
He has a special mentality. Anaonekana ni mtu mwenye kuamini kuwa anastahili kuongoza milele yote.Wako jela kwa mchongo wa mkwere!!! Yeye yuko Msoga anafuga punda!!!
Huyu mkwere kama ana akili afanye kama alivyofanya Moi, akili madhambi yeke na aombe msamaha hadharani kwa wote aliowakwaza!! Ingawa wanaomsema kafa kafa wanamchulia lakini ni ukweli mtupu kuwa sasa umri umemtupa mkono na wenzie wakina Abdalla Kigoda, Gen. Makame, Jaka Mwambi, Azan Aljabri, Costa Urban Ndunguru, Ditopile na wengine wengi wa rika lake wametangulia mbele ya haki hivyo na yeye pia ajue ni karibu anakokwenda kuliko alikotoka!!!
You will be well advised to make peace with all your remaining enemies lest it is too late!!!
Kuna watu waliompenda sana JPM kwa sasa wanamchuria Mkwere wakiamini kuwa anahusika na kuondoka kwake duniani.
Uhujumu uchumi ungemuhusu huyu dogo hapo unakuta hata kumpa mama yake mzazi ten tu ni mtihaniHiyo inaonesha jinsi noti/fedha hizi zilivyoshuka thamani!!!
Hizi ndo akili za nyumbuMaza apige 15 hata kama tutaibiwa lakini tuna amani hakuna mauji wala kesi za uhujumu uchumi za kipumbavu, kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
Maza apige 15 hata kama tutaibiwa lakini tuna amani hakuna mauji wala kesi za uhujumu uchumi za kipumbavu, kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
Mengi sana ikiwepo kudhibiti ufisadiKwa yepi mema
Sio kuwafukuza TU bali hizo pesa zingetokea nje kupitia tundu lolote kwenye miili yao....asset zao zingekuwa frozen sasa hivi, vogue zao zingekuwa zinashiliwa, rekodi za utendaji wao wa Kazi tangu walipoajiliwa zingefukuliwa....RIP JPM,,ungefukuza wote hapo. Nimekumiss BABA.
Duh! Watanzania tunataka hivyo!!!Maza apige 15 hata kama tutaibiwa lakini tuna amani hakuna mauji wala kesi za uhujumu uchumi za kipumbavu, kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
Jk ajira vipiKipindi cha JK watu walitafsiri vibaya Slogan ya Maishabora Kila Mtanzania.Watu walitafuta Maisha bora kwa njia ovu alimradi tuu wawe na maishabora na wala hawakukemewa kwa vitendo.Kipindi cha awamu ya Tano chini ya Jembe letu JPM hayat,walidhan business as usual.Mfano majambazi walipora pesa wakati wanakimbia walishout Hapa Kazi Tuu .Weeeh ujambaz ukabaki historia kwan walikemewa kimyakimya .Sasa Slogan ya Kazi Iendelee watu waelimishwe kwa vitendo wasije wakadhan wameambiwa sasa ufisad uendelee.
Acha matusi.angedhibiti ufisadi kina Sabaya, bashite,kakoko,kange,chenge wangekuwa wapo jela kitambo.Mengi sana ikiwepo kudhibiti ufisadi
Dah my friend umekwenda mbali haswa. Kuna kundi lilizoea kula bata halikupenda kuona SGR ikijengwa kwa kasi.Hao ndio wale wanaohoji kuwa it cannot be a coincidence kuwa Mkapa na Magufuli wakaondoka kwa kuongozana namna hiyo lazima kuna mikono ya watu; hasa wale waliokosa kumsimika mtu wao 2015 na Magufuli kupenyeza!!
Usichotwe na habari za uzushi...Acha matusi.angedhibiti ufisadi kina Sabaya, bashite,kakoko,kange,chenge wangekuwa wapo jela kitambo.
Repoti ilikuwa na matobo ile....!!!Hukuona report ya CAG?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2956][emoji23][emoji23][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maza apige 15 hata kama tutaibiwa lakini tuna amani hakuna mauji wala kesi za uhujumu uchumi za kipumbavu, kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
Usiendekeze mahaba yakakufunga machoUsichotwe na habari za uzushi...