Possibility ni kubwa tena sana kama hao wanaoingia kwenye hiyo migogoro alafu wanamikataba inayoitwa MILITARY ALLIANCE ambamo ndani yake kuna MUTUAL MILITARY ASSISTANCE. Hii ndio ilikuwa chachu ya kutokea kwa WWI na WWII.
fatilia visababish vya vita vya pili vya dunia
1. formation of allies
2. german invasion to poland
3. fights for market. now fight for energy
3.introduction of new technology (war technology)
4. dictatorship nations
now dunia ina alliance mbili
USA ( Nato) Vs China au Russia ( Brics)
upanuzi wa kijeshi kila upande unataka kujipanua kiushawishi
apa mchawi ni Nukes ndizo zinazo leta Usiku. la sivyo kungesha waka kitambo sana.