Je, Yanga akivuka robo atakuwa ndie giant wa mpira wa bongo?

Je, Yanga akivuka robo atakuwa ndie giant wa mpira wa bongo?

Makundi ni rahisi sana Kwa Yanga
Mara ya mwisho ilipoingia makundi 1998 ilivuka hayo makundi? Kama haikuvuka na haijawahi yacheza kwa miaka 25 unawezaje kusema ni rahisi kwa yanga? Unatumia reference gani?
 
Mara ya mwisho ilipoingia makundi 1998 ilivuka hayo makundi? Kama haikuvuka na haijawahi yacheza kwa miaka 25 unaweza kusema ni rahisi kwa yanga? Unatumia reference gani?
Hayo ya Jana yalishapita,tusubirie makundi Ijumaa,tuone
 
Unafikiria nusu huku hata group stage hujavuka. Ila wanayanga tuna mihemko Sana.Yaani kufika tu makundi utafikiri simba hajawahi kufika hiyo hatua . Dah!!
 
Unafikiria nusu huku hata group stage hujavuka. Ila wanayanga tuna mihemko Sana.Yaani kufika tu makundi utafikiri simba hajawahi kufika hiyo hatua . Dah!!
Makundi yanapangaa Ijumaa,tutaona

Kwahiyo ulitaka nisemeje,kwamba hatutavuka makundi!?
 
IMG-20231003-WA0001.jpg
 
Itakuwa haitoshi. Labda avuke robo fainali mara tano ili kuizidi Simba. hapo tunazungumzia mwaka 2029
Yanga akitinga nusu fainali anavunja rekodi za Simba za miaka yote CAF champions league!
 
Back
Top Bottom