technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Mo ameshindwa kuchapisha au kazuiwa😄😄😄😄?Yanga itaendelea kusumbua mpaka 2030 Rais Samia anaposepa.
GSM anachapisha sana pesa hii awamu ya mama
MO pesa za ukoo zile, wao wanawekeza pesa sehemu yenye faida kubwa zaidi.Mo ameshindwa kuchapisha au kazuiwa😄😄😄😄?
Nitajie kombe ambalo timu yako inapambania msimu huuTumepiga Bomu mochwali.
Kweli Lile kombe la looser.
Timu inashika nafasi ya tatu kutoka chini PSl.
NA IMETUSUMBUA KIASI KILE. IVI INGEKUWA MAMELODI, OLANDO AU KAIZERCHEEF?????
Wewe ni mfa maji Orlando pirates walikua nafasi ya ngapi katika ligi ya kwao kipindi wanawaondosha robo fainali ya shirikisho?Tumepiga Bomu mochwali.
Kweli Lile kombe la looser.
Timu inashika nafasi ya tatu kutoka chini PSl.
NA IMETUSUMBUA KIASI KILE. IVI INGEKUWA MAMELODI, OLANDO AU KAIZERCHEEF?????
Tumepiga Bomu mochwali.
Kweli Lile kombe la looser.
Timu inashika nafasi ya tatu kutoka chini PSl.
NA IMETUSUMBUA KIASI KILE. IVI INGEKUWA MAMELODI, OLANDO AU KAIZERCHEEF?????
Wewe ni mfa maji Orlando pirates walikua nafasi ya ngapi kipindi wanawaondosha robo fainali ya shirikisho.
Hio timu imeshampiga Orlando , ikatoka sare na kaizer na juzi ikafungwa Goli 2 za taabu na mamelodi .Tumepiga Bomu mochwali.
Kweli Lile kombe la looser.
Timu inashika nafasi ya tatu kutoka chini PSl.
NA IMETUSUMBUA KIASI KILE. IVI INGEKUWA MAMELODI, OLANDO AU KAIZERCHEEF?????
Mtumeeeee kwahiyo sisi wana lunyasi tujiandae kisaikolojia kukaa benchi mpaka 2030??[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Yanga itaendelea kusumbua mpaka 2030 Rais Samia anaposepa.
hivi vipindi ambavyo marais wa Pwani / Zenji wamekamata usukani waarabu huwa wanapiga pesa za kutosha,