SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Leo kuna jambo nilikuwa nafuatilia na katika kupekuapekua huko mitandaoni, nikawa napitia kanuni na sheria za mashindano ya CAF nikakutana na kitu kilichonifanya nijiulize maswali kuhusiana na zawadi za magoli za Muheshimiwa Rais Samia Hassan.
Katika document ya CAF inayoitwa "Regulations of the CAF Champions League", document hii inatoa miongozo mbalimbali ya jinsi mashindano yake ya Ligi ya Mabingwa yatakavyoendeshwa ndani na nje ya uwanja.
Katika Article 1 ya document hii inaelezea taratibu za utoaji zawadi kwa wachezaji na timu zinazoshiriki. Kifungu cha 6 katika Article hii kinasema:
Any person, physical or moral, who wishes to present a prize or an award to players or teams on the occasion of CAF competitions, must formulate a request to CAF at least 15 days before the date of the competition. The agreement of CAF in this respect is a pre-requisite to any prize presentation.
The players and teams of Member Associations taking part in CAF competitions cannot, under any circumstances, receive prizes or awards without the authorization of CAF, except those presented by their clubs or associations.
Ningependa kupata ufafanuzi kama hiki kifungu kinahusu hatua zote za mashindano na pia kama motisha aliyotoa Rais Samia inahusika katika kanuni hii.
Kama majibu ya maswahi haya ni ndiyo, ningependa kujua kama hatua stahiki zilifuatwa kwa mujibu wa sheria za CAF.
Muhimu: Mada hii ni kwa ajili ya kuelimishana na kupata ufafanuzi ili kuongeza uelewa wa mambo yanayohusiana na soka. Hakuna nia nyingine yoyote.
Katika document ya CAF inayoitwa "Regulations of the CAF Champions League", document hii inatoa miongozo mbalimbali ya jinsi mashindano yake ya Ligi ya Mabingwa yatakavyoendeshwa ndani na nje ya uwanja.
Katika Article 1 ya document hii inaelezea taratibu za utoaji zawadi kwa wachezaji na timu zinazoshiriki. Kifungu cha 6 katika Article hii kinasema:
Any person, physical or moral, who wishes to present a prize or an award to players or teams on the occasion of CAF competitions, must formulate a request to CAF at least 15 days before the date of the competition. The agreement of CAF in this respect is a pre-requisite to any prize presentation.
The players and teams of Member Associations taking part in CAF competitions cannot, under any circumstances, receive prizes or awards without the authorization of CAF, except those presented by their clubs or associations.
Ningependa kupata ufafanuzi kama hiki kifungu kinahusu hatua zote za mashindano na pia kama motisha aliyotoa Rais Samia inahusika katika kanuni hii.
Kama majibu ya maswahi haya ni ndiyo, ningependa kujua kama hatua stahiki zilifuatwa kwa mujibu wa sheria za CAF.
Muhimu: Mada hii ni kwa ajili ya kuelimishana na kupata ufafanuzi ili kuongeza uelewa wa mambo yanayohusiana na soka. Hakuna nia nyingine yoyote.