Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Baada MR MVP Jean Charles Ahoua kufunga magoli 2 katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Dodoma Jiji anakuwa amefikisha jumla ya magoli 12 katika Ligi na kuwa kinara wa ufungaji.
Wanaomfuatia Jean Charles Ahoua ni Clement Mzize na Prince Dube ambao wote wana magoli magoli 10 kila mmoja.
VINARA wa magoli Ligi Kuu bara mpaka sasa msimu huu wa 2024/25
Wanaomfuatia Jean Charles Ahoua ni Clement Mzize na Prince Dube ambao wote wana magoli magoli 10 kila mmoja.
VINARA wa magoli Ligi Kuu bara mpaka sasa msimu huu wa 2024/25