Nunc dimittis
JF-Expert Member
- Oct 19, 2018
- 1,142
- 777
wana laana hawa nimeuliza exact point walimuulia pale mji unaitwa Likasi about 120 kms from Lubumbashi watu hawajui sababu moise shombee na wabelgiji walimtia kwenye acid asiache alama kama osama "shrine".kumbukumbu iliyobak kumbukumbu pale ni sehemu walikotoa uranium ya hiroshima na nagasaki ukifika wameziba kwa zege kubwa sanaDuh! Mkuu huyu Mzee ambaye alimkabidhi Lumumba kwa kina Tshombe akauwawa huko Katanga kwa usimamizi wa mabeberu huyu huyu aliyechangia kudhoofisha harakati za ukombozi huku kusini mwa Africa akisaidiana na makaburu huyu huyu anayetajwa kuwa fisadi mkubwa kuwahi kutokea Africa leo unasema aliipenda Congo kweli!
josef ni muhuni alimwita drc amtumie tu kwenye uchaguzi wa 2006 kumpunguza nguvu jean pierre bemba sababu wanatoka sehemu moja ya equateur(north) na nzanga wanampenda sanaNdio mkuu
Ni mtoto wa bobi ladawa. Alikimbia nadhani sababu alichukia kufukuzwa kazi na kabila, waligombana
Sent using Jamii Forums mobile app
unajua sifa za wakasiHahaa mkuu mimi bibi yake mama yangu ana elements za huko kwa kina mobutu kabila lao ni kasai ... so najua baadhi ya mambo kiasi kuhusu watu/viongozi wa congo " kuhusiana na habari zao za witchcraft ..so huyo mobutu hauwezi kumtoa kwenye hizo drama maana na yeye nimfuasi mzuri wa hayo mazingaombwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Aise .. hilo ni kabila la bibi yake mama hahaaunajua sifa za wakasi
1.wapenda uchawi sana
2.tamaa mkikuyu haoni ndani
3.kupenda kutawala(esprit ya domination)
Nb Tshishekedi naye ni member wa kikasai
mzee ana laana huyu huyo mwanamke anayeonekana kwenye clip wako twins alikuwa anawala woteHalafu walikuwa wanamuabudu walikuwa wanaimba anaesema Mobutu atakufa ni Muongo, Mobutu ataishi milele.
bro hizo ni stori za mtaani tu,josef ana mdogo wake (Zoe) copy naye ni dogo tu kazaliwa hapa darMkuu baba halisi wa joseph kabila ni swala gumu lina ulakini sababu kuna stori kibao,wapo wanaosema alikua mrwanda huko katika jeshi la msituni nk
Ila tukimchukulia laurent kabila ambaye ndiye official baba ake joseph kabila.huyu hakuwa mwanajeshi. Enzi za miaka ya 60 alikua ni guerrilla tu anaendesha kakikundi ka msituni ambako kalifutwa na mobutu
Baada ya hapo wana jamiiforum wanadai alikuja bongo.ila kwa mujibu wa mobutu ni kuwa mzee kabila alikua anafanya biashara huko goma
Mwanzo mobutu alipopewa taarifa za vita akiwa ulaya alijibu "yule sio kitu,ni mfanyabiashara huko maeneo ya goma na kadhalika" alijibu akiwa anashauriwa na mwanasheria wake juu ya hali mbaya ya nchi kiusalama
So kwa kifupi mkuu baba halisi wa kabila ni vigumu kumjua kuna stori kibao.hata mama ake kabila alimpa sumu mzee laurent kabila ile siku kabila anapigwa risasi yule mama alikua jera
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuwahi kua na akili huyo Muuaji Mobutu.Ila Mobutu alikuwa millionea jamani,watoto wake wote wamesoma Ulaya na Marekani kuanzia primary mpaka vyuo.Birthday zilikuwa zinafanyika kwenye makasri ya Mobutu Ufaransa.Ila jamaa alijisahau mpaka mwisho wake ukawa mbaya.
Huyo mzee ni msaliti wa Congo, Africa na kibaraka mkubwa wa mabeberu, Fisadi kuu.Hakuwahi kua na akili huyo Muuaji Mobutu.
hizo zilikuea propaganda za kina Slim baada ya raia wakongo kuwakataa (2nd congo war)bro hizo ni stori za mtaani tu,josef ana mdogo wake (Zoe) copy naye ni dogo tu kazaliwa hapa dar
Kwahiyo kabila mkubwa ni kweli aliishi dar ? Na alikua anafanya shughuli gani hapo dar ? Maana mimi bado sielewi.nikija JF naambiwa yule mzee aliishi dar ila hawasemi alifany kaz gani hapo darbro hizo ni stori za mtaani tu,josef ana mdogo wake (Zoe) copy naye ni dogo tu kazaliwa hapa dar
Hao wajinga hawana tofauti na wale waumini wa kanisa la Siloamu wanaoamini mkuu wa kanisa Lao hakufa/wala hawezi kufa ila alipaa.Halafu walikuwa wanamuabudu walikuwa wanaimba anaesema Mobutu atakufa ni Muongo, Mobutu ataishi milele.
mpaka leo wana makazi hapa na wamemwacha binti mmoja yuko hapaKwahiyo kabila mkubwa ni kweli aliishi dar ? Na alikua anafanya shughuli gani hapo dar ? Maana mimi bado sielewi.nikija JF naambiwa yule mzee aliishi dar ila hawasemi alifany kaz gani hapo dar
Ila nikisom google wanasema alifanya biashara huko maeneo ya Goma na ndivo hata mobutu alijua hivo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hiyo stori kuna mtu alisemaga humu kumbe ni kweliHao wajinga hawana tofauti na wale waumini wa kanisa la Siloamu wanaoamini mkuu wa kanisa Lao hakufa/wala hawezi kufa ila alipaa.
Basi labda aliishi dar huku anafanya biashara huko goma.mpaka leo wana makazi hapa na wamemwacha binti mmoja yuko hapa
boss Mobutu alikuwa anatisha, baba yake raisi mpya wa drc (Felix)kafa na halama za pasi za Mobutu wenyeme wanaita kukoma(kupiga pasi)Hao wajinga hawana tofauti na wale waumini wa kanisa la Siloamu wanaoamini mkuu wa kanisa Lao hakufa/wala hawezi kufa ila alipaa.
bosi kifupi hapa ni kwao.mama yake jose (mama Sifa )anaagiza sana mchele ila yeye yuko lubumbashiBasi labda aliishi dar huku anafanya biashara huko goma.
Vipi enzi za urais wake aliwahi kuja bongo mzee laurent kabila ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooh sawa mkuubosi kifupi hapa ni kwao.mama yake jose (mama Sifa )anaagiza sana mchele ila yeye yuko lubumbashi
Yeye Mobutu kwanini aliruhusu wanajeshi waliopinduliwa na Kagame kukimbilia Congo na kuruhusu waanze kuweka trainings camps kisha kuanza kushambulia Rwanda then wanakimbilia Congo?Mabutu aliuza nchi.. drc inahitaji umoja na busara.. uoienda kwa pupa wenye mali zao hawakawii..
Inasemekana hata kagame alisaidiwa sana na marekani kuingia madarakani.. ili awe chambo ya kustabilize drc.
Kwa sasa siasa za bush zimepitwa na wakati inahitajika diplomass zaidi na kwa namna ninavyo ona tshekedi atawatoa
Africa tunahitaji kubadilisha viongozi tena kila baada ya miaka 3 ili wazungu wasimzoee.
Wakisha kuzoea hata kama ni mkali unakuwa kama simba jike lazima akubaki kuzaa pamoja na ukali wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
kanunue gofu lake gabdolite kwao alipokufa watu wakagawana mpaka marbleMkuu mimi siishi zaire
Na sijawahi kifika.ila nina mpango wa kwenda siku moja na kuinunua nyumba ya mobutu niikarabati nikipata pesa
Sent using Jamii Forums mobile app