Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
- Thread starter
-
- #141
Well said mkuuKabila hakua mcongoman ngoja tuone huyu felie kama atawaunganisha wacongo pamoja na kusimamia rasilimali vyema na kurudisha congo yenye neema, arudishe congo ambayo tutakwenda kutembea tena na kulala kwa amani
Well said mkuu
Hiyo nchi naipenda sana. Natamani jamaa aibadili na jina
Ngoja tusubiri tuone ana nini
Sent using Jamii Forums mobile app
YeapAcha tu congo ni nchi nzuri na vitu vizuri sana.
aise kuna mmoja hapa nimeupata wanamsifia kweli ni tp ok jazz nyimbo tamu sana huku nakunywa na bia kidogo...
Jamaaa inaonekana alikuwa mwanaume kweli...
Mzee Magu anasubili...
Inawezekana kwa hizo bataNiwa ndo aliekufa kwa ukimwi ?
[emoji4] maneno ya yule mzee huwa hayapitwi na wakati"Unachoona usoni kwa watu mara nyingi sio kilicho myoni mwao"
Nimependa hiyo nukuu
Akijipanga atawezaFelie kasema anataka congo moja, kuboresha maisha ya wacongo wote ikiwapo huduma za kijamii, ukumbuke felix hakuwahi kuijua shida ni mtoto wa kinshasa kwa kuzaliwa ukiacha kijijini kwa babu zake, yale aliyoahidi kwenye kampeni ndio bado anatilia mkazo
Yes alikufa kwa ukimwi na ndiye alikuwa mfadhili wa band ya Wenge Music BCBG.Saddam sseni ndio alikufa kwa sida
Huyu hapaYes alikufa kwa ukimwi na ndiye alikuwa mfadhili wa band ya Wenge Music BCBG.
Sent using Jamii Forums mobile app
Drc ni kama moyo wa Africa siku ikitulia vizuri hata raia wa nchi jirani wataneemeka.Kipekee mtanzania anaheshimiwa congo kuliko kawaida na vile wanasema tunaongea kiswahili ya kabhambe ndio basi tena, congo ikitulia ni peponi kule
Huyu mzee angeipenda Drc (Zaire ya zamani) kama alivyompenda mwanae leo ingekua nchi ya mfano mwema hapa Africa.Hii ni moja ya barua za mobutu kwenda kwa Niwa. Kamshauri jinsi ya kuishi na watu pia kajielezea maisha yake kwa mwanaeView attachment 1005561
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha mkuuHuyu mzee angeipenda Drc (Zaire ya zamani) kama alivyompenda mwanae leo ingekua nchi ya mfano mwema hapa Africa.
Nasikia Bongo Movie inabamba sana Zaire kama si tunavyo ikubali NdomborooKipekee mtanzania anaheshimiwa congo kuliko kawaida na vile wanasema tunaongea kiswahili ya kabhambe ndio basi tena, congo ikitulia ni peponi kule
Nimekusoma toka page 1 mpaka mwisho nimepata kitu kichwani kuhusu Zaire, vp we hujawahi fika huko au unaishi huko?Hahaha mkuu
Aliipenda ila tatizo pesa alikua hawezi kujibana.bank kuu ya zaire aliifanya kama mpesa yake
Ila mwisho alisema hivi "hata wa kwangu wananilenga na bunduki,sina tena cha kuifanyia hii nchi" then akakaa kimya .alikua kwenye ndege anaenda uhamishoni
Sent using Jamii Forums mobile app