Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Mchambuzi nguli mwenye kujua vizuri kiingereza Goeff Leah kutoka sports headquarters Efm amesema ana uhakika Marumo atashinda tena goli kuanzia 3-0 na Yanga hatofuzu na hivyo ndoto za ubingwa zitaishia hapo.
Mimi kama mjumbe siuwawi, njooni mtoe ya moyoni, mtiririke na kuserereka
Mimi kama mjumbe siuwawi, njooni mtoe ya moyoni, mtiririke na kuserereka