Ngoja nikuulize jamboSamahani Mkuu, mimi nakubaliana na wewe kuhusu hoja ya kuwavumilia Wachambuzi ila kitu ambacho sikubaliani nacho ni pale mchambuzi alipotaja mpaka idadi ya magoli atakayofungwa Yanga. Nadhani hapo tukubaliane alivuka mipaka ya uchambuzi. Hakustahili kabisa kufanya kitu kile maana atambue kuwa Yanga au Simba hizi timu zina mashabiki wengi na wenye mitazamo tofauti.
Hizi ndio mentality za ManaraNilodhani jamaa ameongea kama mchambuzi ila the fact that hajapost popote wala kuongea kuwapongeza Yanga kwa walichokifanya itoshe kusema utabiri aliutoa kwa kuongozwa na chuki ya ndani kabisa aliyonayo dhidi ya Yanga. So mimi kama mwenyekiti wa washabiki wa Yanga jukwaani namtangaza Geoff Lea kuwa adui wa Yanga kwa hiyo tunaruhusiwa kumuandama kwenye chochote atakachokifanya kiwe kinahusiana na michezo au mambo binafsi. Tuendelee kumkabia juu kwa kila atakachokifanya
Kutaja magoli kuwa Yanga atafungwa tatu bila, kwa mashabiki wa mpira ni dharau kubwa mno. Bora angesema tu Yanga atafungwa. Maana watu wanaanza kujiuliza amejuaje kuwa tutafungwa 3? Je, timu yetu ni mbovu kiasi gani mpaka jamaa anakuwa na uhakika wa kuwa tutafungwa 3. Ndio maana ilipotokea hawajafungwa 3, mashabiki wameanza kutoa nyongo yao.Ngoja nikuulize jambo
Hao wachambuzi wangetaja hiyo idadi ya magoli kuwa watafunga Yanga ungewaona wabaya?
Hujajibu swali.Kutaja magoli kuwa Yanga atafungwa tatu bila, kwa mashabiki wa mpira ni dharau kubwa mno. Bora angesema tu Yanga atafungwa. Maana watu wanaanza kujiuliza amejuaje kuwa tutafungwa 3? Je, timu yetu ni mbovu kiasi gani mpaka jamaa anakuwa na uhakika wa kuwa tutafungwa 3. Ndio maana ilipotokea hawajafungwa 3, mashabiki wameanza kutoa nyongo yao.
Ningemwona ana dharau kulingana na kiwango cha Marumo Gallants pamoja na falsafa ya mpira. Kuhusu suala la Wydad na Simba mimi binafsi sikuliona ingawa umeniingiza katika mkumbo huo na hata ningeiona na kuisoma comments zangu zingekuwa kama za leo Kiongozi..Hujajibu swali.
Huyo mchambuzi angesema Marumo atafungwa goli 3 ungemuona mchambuzi ana dharau?
Wydad alipopangwa na Simba kwani sio nyie mliokuwa mnasema Simba atafungwa 8-0?
Lini uliwahi kujitokeza kupinga utabiri huo kuwa ni dharau kwa Simba?
Kivipi prediction ya matokeo ya 3-0 kwenye mpira iwe ni dharau?Ningemwona ana dharau kulingana na kiwango cha Marumo Gallants pamoja na falsafa ya mpira. Kuhusu suala la Wydad na Simba mimi binafsi sikuliona ingawa umeniingiza katika mkumbo huo na hata ningeiona na kuisoma comments zangu zingekuwa kama za leo Kiongozi..