- Thread starter
- #21
Mkuu, Mungu amesema tumpende kwa AKILI siyo kwa Hekaya zisizokubaliana na REASONING. Ukikaa kwenye mrengo huo ndio utauziwa mpaka mafuta na keki za upako!Mkuu,
Kama unaamini ni uongo tu unaoambiwa, basi endelea kwa wakati wako kufanya dhambi. Baada ya kufa utuletee mrejesho mambo yakoje huko. Kwa maana nyingine, ipi bora: kujiweka sawa kwa kuamini unachoambiwa, au kusubiri mpaka kufa ujionee mwenyewe, na kama moto upo kweli sijui utafanyaje?