- Thread starter
- #81
Kama kweli Mungu anafanya hayo hoja kwamba yeye ni mtenda haki basi Mungu huyo ni katili kupita maelezo. Mungu wa namna hiyo hafai kupendwa. Tumeaminishwa hadithi za ajabu sana!Mkuu,
Kama unaamini ni uongo tu unaoambiwa, basi endelea kwa wakati wako kufanya dhambi. Baada ya kufa utuletee mrejesho mambo yakoje huko. Kwa maana nyingine, ipi bora: kujiweka sawa kwa kuamini unachoambiwa, au kusubiri mpaka kufa ujionee mwenyewe, na kama moto upo kweli sijui utafanyaje?