Jela miaka 150 kwa kubaka watoto wake watano(5)

Jela miaka 150 kwa kubaka watoto wake watano(5)

Shida ya sheria yetu ndio hiyo, hakuna suluhisho baada ya hukumu. Kuna mama Geita alimuunguza mwanae akafungwa watoto wakabaki kwenye hali mbaya kuliko wangebaki na mama. Sasa hao watoto baba amefungwa kuna mpango gani kuhusu malezi yao. Ndio watabakwa mtaani kuliko angekuwepo
Kwahiyo bora asifungwe ili aendelee kuwabaka vizuri mpaka awazalishe kabisa au! Hapo inatakiwa wasaidiwe mama yao si yupo, halafu nayeye alikuwa wapi mpaka watoto wote hao wanabakwa na Baba yao? Nayeye wangemfunga mwaka mmoja kwa uzembe wakutoangalia watoto wake vizuri
 
Kwahiyo bora asifungwe ili aendelee kuwabaka vizuri mpaka awazalishe kabisa au! Hapo inatakiwa wasaidiwe mama yao si yupo, halafu nayeye alikuwa wapi mpaka watoto wote hao wanabakwa na Baba yao? Nayeye wangemfunga mwaka mmoja kwa uzembe wakutoangalia watoto wake vizuri
Kumfunga ni sahihi lakini ukishamfunga watoto unawapa mazingira? Ulaya ukifungwa watoto wanapelekwa Fosterhome sasa TZ unamfunga bread winner tunashangilia wanabaki wanaishije? Mama ana uwezo? Hao watoto tunawapa ushauri wa kisaikolojia?
 
Uongooo... m2 mmoja anabakaje watoto wa5 hawa wa4 si wangepiga kelele jamani ili kumuokoa mwenzao fafanua vizuri
Kwahiyo kaonewa? Kwani hajui kama ni kosa mpaka awafanyie mazingira yakuonekana? Si umesikia kawabaka kwa nyakati tofauti hata shambani
 
Kumfunga ni sahihi lakini ukishamfunga watoto unawapa mazingira? Ulaya ukifungwa watoto wanapelekwa Fosterhome sasa TZ unamfunga bread winner tunashangilia wanabaki wanaishije? Mama ana uwezo? Hao watoto tunawapa ushauri wa kisaikolojia?
Sasa kama Baba mbakaji unategemea aachwe kisa watoto watateseka? Hayo kama angekuwa Baba mwema angebaka watoto wake, unazani watoto wanajisikiaje kuwa wamebakwa na Baba yao mzazi, swala la maisha wataishije ni jingine acha wamtoe kwanza huyo mbakaji mbona kuna watu huwa wanasaidiwa!
 
Sasa kama Baba mbakaji unategemea aachwe kisa watoto watateseka? Hayo kama angekuwa Baba mwema angebaka watoto wake, unazani watoto wanajisikiaje kuwa wamebakwa na Baba yao mzazi, swala la maisha wataishije ni jingine acha wamtoe kwanza huyo mbakaji mbona kuna watu huwa wanasaidiwa!
Tupunguze mihemuko, amefanya jambo baya anastahili adhabu lakini Jaji au Hakimu akishahukumu nini huw kinafuatia? Fuatilia kesi zote zinazohusu wazazi baada ya hukumu kinachofutia nyuma ni mateso makali kwasababu Ustawi wa Jamii hawafanyi lolote na Hakimu hasemi nini kifuate
 
Ngoja nivute bange halafu nisome hii posti. 😁
b2def4ab4e1b1ac97c2b0d76cda14c9f.jpg
 
Tupunguze mihemuko, amefanya jambo baya anastahili adhabu lakini Jaji au Hakimu akishahukumu nini huw kinafuatia? Fuatilia kesi zote zinazohusu wazazi baada ya hukumu kinachofutia nyuma ni mateso makali kwasababu Ustawi wa Jamii hawafanyi lolote na Hakimu hasemi nini kifuate
Kwahiyo bora angesamehewa kwasababu ni kosa la kwanza! Sizani kama jinai inaangalia hilo, ma hiyo mihemko unayoisema sijui imetoka wapi? Wangekuwa ni wanao wamebakwa ungesema hivyo?
 
Kuja kutoka jela atakuta mambo yamebadilika sana......

ATAKUTA CHIPS KAVU INAUZWA LAKI 2

MPAKA OMBAOMBA WANATEMBELEA VX
 
Mkazi wa Ndaleta wilaya ya Kiteto mkoa wa Manyara Jackson Ole Naiko (57) amehukumiwa kifungo cha miaka 150 na faini ya Milioni Tano (5,000,000/=) kwa kosa la kuwabaka watoto wake wa kuwazaa.

Hakimu wa kesi hiyo Mosi Sassy amesema mahakama imezingatia ushahidi wa pande zote mbili na kila kesi ilikua na mashahidi saba.

Hivyo mtuhumiwa ataachiwa 2173 Mungu akipenda.​

View attachment 2632491
Hujumu namna hizo huwa zinaenda sambamba, jama ni miaka 30 kika mtoto ina maana ni hukumu ya miaka 30 tu hapo.

Tena kwa hesabu za kijelajela na misamaha, usikute hatomaliza miaka 12 ndani.
 
Kila mtoto kampa miaka30 ukizidisha mara5 ngoma imekubali ni sawa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Mganga aliyemdanganya sahiv anakaribia kibaha kuingia daslamu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkazi wa Ndaleta wilaya ya Kiteto mkoa wa Manyara Jackson Ole Naiko (57) amehukumiwa kifungo cha miaka 150 na faini ya Milioni Tano (5,000,000/=) kwa kosa la kuwabaka watoto wake wa kuwazaa.

Hakimu wa kesi hiyo Mosi Sassy amesema mahakama imezingatia ushahidi wa pande zote mbili na kila kesi ilikua na mashahidi saba.

Hivyo mtuhumiwa ataachiwa 2173 Mungu akipenda.​

View attachment 2632491
Sawa kabisa masai gani huyu mwenye laana
 
Back
Top Bottom