Kwahiyo bora asifungwe ili aendelee kuwabaka vizuri mpaka awazalishe kabisa au! Hapo inatakiwa wasaidiwe mama yao si yupo, halafu nayeye alikuwa wapi mpaka watoto wote hao wanabakwa na Baba yao? Nayeye wangemfunga mwaka mmoja kwa uzembe wakutoangalia watoto wake vizuriShida ya sheria yetu ndio hiyo, hakuna suluhisho baada ya hukumu. Kuna mama Geita alimuunguza mwanae akafungwa watoto wakabaki kwenye hali mbaya kuliko wangebaki na mama. Sasa hao watoto baba amefungwa kuna mpango gani kuhusu malezi yao. Ndio watabakwa mtaani kuliko angekuwepo
Kumfunga ni sahihi lakini ukishamfunga watoto unawapa mazingira? Ulaya ukifungwa watoto wanapelekwa Fosterhome sasa TZ unamfunga bread winner tunashangilia wanabaki wanaishije? Mama ana uwezo? Hao watoto tunawapa ushauri wa kisaikolojia?Kwahiyo bora asifungwe ili aendelee kuwabaka vizuri mpaka awazalishe kabisa au! Hapo inatakiwa wasaidiwe mama yao si yupo, halafu nayeye alikuwa wapi mpaka watoto wote hao wanabakwa na Baba yao? Nayeye wangemfunga mwaka mmoja kwa uzembe wakutoangalia watoto wake vizuri
Kwahiyo kaonewa? Kwani hajui kama ni kosa mpaka awafanyie mazingira yakuonekana? Si umesikia kawabaka kwa nyakati tofauti hata shambaniUongooo... m2 mmoja anabakaje watoto wa5 hawa wa4 si wangepiga kelele jamani ili kumuokoa mwenzao fafanua vizuri
Sasa kama Baba mbakaji unategemea aachwe kisa watoto watateseka? Hayo kama angekuwa Baba mwema angebaka watoto wake, unazani watoto wanajisikiaje kuwa wamebakwa na Baba yao mzazi, swala la maisha wataishije ni jingine acha wamtoe kwanza huyo mbakaji mbona kuna watu huwa wanasaidiwa!Kumfunga ni sahihi lakini ukishamfunga watoto unawapa mazingira? Ulaya ukifungwa watoto wanapelekwa Fosterhome sasa TZ unamfunga bread winner tunashangilia wanabaki wanaishije? Mama ana uwezo? Hao watoto tunawapa ushauri wa kisaikolojia?
Tupunguze mihemuko, amefanya jambo baya anastahili adhabu lakini Jaji au Hakimu akishahukumu nini huw kinafuatia? Fuatilia kesi zote zinazohusu wazazi baada ya hukumu kinachofutia nyuma ni mateso makali kwasababu Ustawi wa Jamii hawafanyi lolote na Hakimu hasemi nini kifuateSasa kama Baba mbakaji unategemea aachwe kisa watoto watateseka? Hayo kama angekuwa Baba mwema angebaka watoto wake, unazani watoto wanajisikiaje kuwa wamebakwa na Baba yao mzazi, swala la maisha wataishije ni jingine acha wamtoe kwanza huyo mbakaji mbona kuna watu huwa wanasaidiwa!
Acha uongo!Miaka 150!!
Akifanikiwa kutoka atakuwa na miaka 200+ jambo ambalo ni gumu sana huyo atapata uhuru Yesu akirudi kama huko gerezani akifanya toba
Kwahiyo bora angesamehewa kwasababu ni kosa la kwanza! Sizani kama jinai inaangalia hilo, ma hiyo mihemko unayoisema sijui imetoka wapi? Wangekuwa ni wanao wamebakwa ungesema hivyo?Tupunguze mihemuko, amefanya jambo baya anastahili adhabu lakini Jaji au Hakimu akishahukumu nini huw kinafuatia? Fuatilia kesi zote zinazohusu wazazi baada ya hukumu kinachofutia nyuma ni mateso makali kwasababu Ustawi wa Jamii hawafanyi lolote na Hakimu hasemi nini kifuate
michache sana aisee
kashindwa kabisa kupiga nyeto huyo maqu ?
Uongo wangu ni upi mkuu kwani haijaandikwa 150!!?Acha uongo!
Hukumu inaenda concurrently.
ingekua 'back-to-back' hapo kweli angekaa 200+ years.
Hujumu namna hizo huwa zinaenda sambamba, jama ni miaka 30 kika mtoto ina maana ni hukumu ya miaka 30 tu hapo.Mkazi wa Ndaleta wilaya ya Kiteto mkoa wa Manyara Jackson Ole Naiko (57) amehukumiwa kifungo cha miaka 150 na faini ya Milioni Tano (5,000,000/=) kwa kosa la kuwabaka watoto wake wa kuwazaa.
Hakimu wa kesi hiyo Mosi Sassy amesema mahakama imezingatia ushahidi wa pande zote mbili na kila kesi ilikua na mashahidi saba.
Hivyo mtuhumiwa ataachiwa 2173 Mungu akipenda.
View attachment 2632491
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kila mtoto kampa miaka30 ukizidisha mara5 ngoma imekubali ni sawa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Mganga aliyemdanganya sahiv anakaribia kibaha kuingia daslamu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sawa kabisa masai gani huyu mwenye laanaMkazi wa Ndaleta wilaya ya Kiteto mkoa wa Manyara Jackson Ole Naiko (57) amehukumiwa kifungo cha miaka 150 na faini ya Milioni Tano (5,000,000/=) kwa kosa la kuwabaka watoto wake wa kuwazaa.
Hakimu wa kesi hiyo Mosi Sassy amesema mahakama imezingatia ushahidi wa pande zote mbili na kila kesi ilikua na mashahidi saba.
Hivyo mtuhumiwa ataachiwa 2173 Mungu akipenda.
View attachment 2632491