jema lingine toka kwa Diamond-kwa mara ya kwanza BET wacheza video ya Tanzania

Ndugu yangu video ya X PLASTAZ " NINI DHAMBI" ILICHEZWA HUKO 2009 NA G SAN AKAWA MTANZANIA WA KWANZA KU FEATURE BET TENA KWENYE CYPHER NA KINA KRS ONE NA AKACHANA KISWAHILI
SO , NO THANKS

Hao wasanii unajua wewe tu ila sisi watanzania tunamfahamu na kumtambua Diamond kama ndio msanii wa kwanza kuipaisha Tz BET.

Ukweli mchungu.
 

Jilaumu Sana kwa umaskini mlopitia hadi unawaabisha hivi...

You are very poor in thinking....

You are too low!!!!
 
HOD mbona haonekani kujibu hoja yeye ndo kaleta uzi aje na kujibu.
 
Wimbo mmoja tu wa My number one mnatuumiza vichwa humu na vithread uchwara,atoe mwingine mkali tena tujue kasimama kweli
 
Kati ya hao Watanzania unaowasemea naomba mimi unitoe.

Huyo sharcode sijui anamsifiaga ndomo mpaka naogopa, mmh aiseh huyo sio mzima, ebu atutolee upuuzi wake apa, akina jide wamepata tuzo za channel o na BBC mwaka 2006 haikuwa shida ivi ila huyu mbuta nanga wanatak kutuchosha tu apa
 
Wimbo mmoja tu wa My number one mnatuumiza vichwa humu na vithread uchwara,atoe mwingine mkali tena tujue kasimama kweli

I cant imagine nafasi ya davido ndo angeipata ndomo, wallah ningeama bongo
 
Mleta mada utakua lini? Ujue umeshapevuka? Sasa ulimbukeni wa nini? Tulia mwana kuna watu wameshafanya yote hayo lakini hawana ukelele na vigelegele kama wewe.
 


Ndugu yangu video ya X PLASTAZ " NINI DHAMBI" ILICHEZWA HUKO 2009 NA G SAN AKAWA MTANZANIA WA KWANZA KU FEATURE BET TENA KWENYE CYPHER NA KINA KRS ONE NA AKACHANA KISWAHILI
SO , NO THANKs

Jamaa akishagundua ametoa boko harudigi tena..
 
Ndugu yangu video ya X PLASTAZ " NINI DHAMBI" ILICHEZWA HUKO 2009 NA G SAN AKAWA MTANZANIA WA KWANZA KU FEATURE BET TENA KWENYE CYPHER NA KINA KRS ONE NA AKACHANA KISWAHILI
SO , NO THANKs

Jamaa akishagundua ametoa boko harudigi tena..

achana nae mshamba wa maisha amshukuru diamond mana nahis mtaani kwao ye ndo mzungu wao mi sa hv namuona punguani tu!
 

Dah we jamaa umeongea point mpaka basi....Hata JK wa msoga hawezi na hatokaa aongee point kiasi hiki... Big up
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…