jema lingine toka kwa Diamond-kwa mara ya kwanza BET wacheza video ya Tanzania

jema lingine toka kwa Diamond-kwa mara ya kwanza BET wacheza video ya Tanzania

Huyo sharcode sijui anamsifiaga ndomo mpaka naogopa, mmh aiseh huyo sio mzima, ebu atutolee upuuzi wake apa, akina jide wamepata tuzo za channel o na BBC mwaka 2006 haikuwa shida ivi ila huyu mbuta nanga wanatak kutuchosha tu apa

Mkuu mi sio mshabiki mandazi bali napenda kuappreciate vya nyumbani siku zote iwe mpira au mziki.
 
Mkuu mi sio mshabiki mandazi bali napenda kuappreciate vya nyumbani siku zote iwe mpira au mziki.

Nyumbani wapi? Tena ushabiki wako utakuwa wa vitumbua maana unashoboka na vitu ambavyo hata huvijui hii ni hatar sana, kama Tuzo kashakosa sasa nashangaa sijui mashabiki au wapambe nuksi mnavyohangaika kujifuta machozi na kujifariji na vitu vya kipumbavu, jide kashinda tuzo za channel O na BBC ila haikuwa shida , sasa huyo ndomo hajashinda ila hayo makerere sasa mmh kazi mnayo na sijui mnalipwa shilingi ngapi
 
Mods wa hili jukwaa ni mizigo type ya magamba. Hivi mtu ataletaje uongo first class humu na hatuoni thread kufungiwa wala wahusika wazembe kama H.O.D kupigwa ban au ndio rushwa zenyewe hizi? Mtu anaongopa mara1 ya pili ya tatu bado mnamuangalia tu.... Narudia tena MODS NI JANGA LA KITAIFA kutakuwa hakuna tofauti na Facebook humu wanakojazana mabeki tatu...kumbukeni huku ni GREAT THINKER ONLY
 
hahahahaaa.... heaven on desert umebugi meeen....
no wonder huonekani siku hizi kumbe unatunga uongo....lol
 
Last edited by a moderator:
Daa kuna mambo mengine yana takiwa kufanyiwa uchunguzi kabla ya kuandikwa.
 
hivi AY na nyimbo zote zile hamna hata moja iliyopigwa Bet?
 
Wewe unatakiwa report abuse kwa kuandika ukweli na kuonesha uongo ulipo,kutoa lawa hakusaidii!

Mods wa hili jukwaa ni mizigo type ya magamba. Hivi mtu ataletaje uongo first class humu na hatuoni thread kufungiwa wala wahusika wazembe kama H.O.D kupigwa ban au ndio rushwa zenyewe hizi? Mtu anaongopa mara1 ya pili ya tatu bado mnamuangalia tu.... Narudia tena MODS NI JANGA LA KITAIFA kutakuwa hakuna tofauti na Facebook humu wanakojazana mabeki tatu...kumbukeni huku ni GREAT THINKER ONLY
 
Tatizo la camera man anapokua PRO ndio hili uyu mzembe wa kufikikiri bora abaki na camera huku namuharibia mwenzie,alafu kuna jamaa anahusika na video coverage za Diamond ila hana upuuzi huu wa kujipa kazi nyingine,trust me uyu HOD kuna kitu anafanyiwa na bosi wake aya mahaba ni ya kike kabisa.
 
Ndugu yangu video ya X PLASTAZ " NINI DHAMBI" ILICHEZWA HUKO 2009 NA G SAN AKAWA MTANZANIA WA KWANZA KU FEATURE BET TENA KWENYE CYPHER NA KINA KRS ONE NA AKACHANA KISWAHILI
SO , NO THANKS

Wamejua mziki juzi...xplastaz ni habari mpya kwao...KRS1 ni kitendawili
 
mi pia ntoe maana xplastaz nimeanza kuijua kitambo labda ye alianza kuujua mziki baada ya tanzania kuingia digitali

huyu mbulula hod angekuwa hapa mjini au bado hajaacha kunyonya kwa ***** wakati James dandu ndio ameingia bongo fresh from Sweden naona angepeleka kijambio chake kwa sababu ni wa mwanza.
 
Wabongo tatizo letu hatupendi kuona mafanikio ya wabongo wenzetu utafikiri wachawi bana...mnanikela sana aisee
 
Nia yake ni diamond aongelewe ili msimsahau akitoa single i-hit hata kama ni mbaya,na akiandika uongo ndo mtaongea zaidi.
 
Nia yake ni diamond aongelewe ili msimsahau akitoa single i-hit hata kama ni mbaya,na akiandika uongo ndo mtaongea zaidi,thats why post hua za uongo or controversial ili mkeshe mnaongea.
 
Nia yake ni diamond aongelewe ili msimsahau akitoa single i-hit hata kama ni mbaya,na akiandika uongo ndo mtaongea zaidi,thats why post hua za uongo or controversial ili mkeshe mnaongea.

Sasa kachemka kwa kua domo hana jipya zaidi ya upunda wa toto la mfalme na mengineyo machafu kadha wa kadha hayastahili hata kuandikwa kwenye public.
 
huyu mbulula hod angekuwa hapa mjini au bado hajaacha kunyonya kwa ***** wakati James dandu ndio ameingia bongo fresh from Sweden naona angepeleka kijambio chake kwa sababu ni wa mwanza.

hahaaaaaa afu akidanganya harudi tena mwanamme mzima hana cha kufanya yaani anajidhalilisha mpaka anatia kichefuchefu mwanamme gani huyooo....!
 
Ndugu yangu video ya X PLASTAZ " NINI DHAMBI" ILICHEZWA HUKO 2009 NA G SAN AKAWA MTANZANIA WA KWANZA KU FEATURE BET TENA KWENYE CYPHER NA KINA KRS ONE NA AKACHANA KISWAHILI
SO , NO THANKs

Jamaa akishagundua ametoa boko harudigi tena..

Gson alichana kiswahili safi pembeni KRS1, so kwa wanaojua fathers wa game wataelewa ilivyokua ni tukio kubwa.
Xplastaz bamiza imechezwa NY kitambo na mpaka sasa nakala wanauza huko kina j4
 
Back
Top Bottom