AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
Huyo sharcode sijui anamsifiaga ndomo mpaka naogopa, mmh aiseh huyo sio mzima, ebu atutolee upuuzi wake apa, akina jide wamepata tuzo za channel o na BBC mwaka 2006 haikuwa shida ivi ila huyu mbuta nanga wanatak kutuchosha tu apa
Mkuu mi sio mshabiki mandazi bali napenda kuappreciate vya nyumbani siku zote iwe mpira au mziki.