Jembe ni Jembe na sakata la Hamornize kuhama WCB

Jembe ni Jembe na sakata la Hamornize kuhama WCB

Anachosema ni kweli kabisa baada ya kutoka clouds akaamzisha ndege insurance then jamaa akaenda kuanzisha hiyo jembe fm kutoka kwa kusaga pia usisahau ana clousdtv rwanda na clouds international dubai
Sikuzijumuisha tu mkuu haya jumlisha Clouds media zoteee (Tv na radio) tufanye analipa million 150 kwa mwezi haya huko Wasafi media, Jembe ni jembe, na zingine ambako hakujatajwa kwa fedha gani jamani?
.
Wale wamiliki wa satellites ili wakurushie matangazo yako tu ni hela nyingi sanaa sio chini ya 28M kwa TV kwa mwezi, alafu mnamchukulia poa sana jembe ni jembe ana fedha yule jamaa ila CMG ndio wamemkuza hadi akapata nguvu ya kuanzisha chake.
.
Ipo siku Millard atafungua Radio sehemu mtakuja kusema ya Kusaga wakati sasa hivi jamaa ana gari la kurushia matangazo, ana studio yake bado minara tu
 
Mkono sio lazima hisa hata kutoa ushauri pia ni mkopo ninda tcra katazame wamiliki sio unabwabwaja
Watu wengine mnakera kwa uwezo yenu midogo ya kung’amua mambo
Acha ujinga wewe,mimi nakwambia ana hisa kwny hizo redio wewe unaleta story zako za kutoa ushauri

Yule ni bepari anatafuta pesa kwny kila opportunity we unaleta habari za ushauri unadhani kusaga ni wale ma motivation speaker,jinga kabisaa.
 
Anahusika kwa kuwa inspire vijana au kuwakuza yeye kwenye hiyo tasnia jamani khaaaa! Basi kila radio ni ya kusaga sasa muoneeni huruma.
.
Kituo cha radio kuwa hewani kwa mwezi sio chini ya 23 million yani hapo iko hewani tu bado gharama zingine za uendeshaji hata kama anazo pesa loh! Tv station anazo mbili na Tv kuwa hewani kwa mwezi bila magharama mengine ni 28 million..
.
Ana coconut fm, choice fm, clouds tv, clouds plus hapa karibia mia inamtoka kwa mwezi ili viwe tu hewani, haya mnasema Jembe ni jembe yake, wasafi fm na tv zake bado za arusha mtasema zake si atakuwa masikini sasa badala ya kuwa tajiri.
.
Millard Ayo akianzisha radio yake mtasema hivihivi kuwa ni ya kusaga wakati anajichanga sasa hivi ananunua vitu kwa pesa yake hamuoni Kusaga mchango wake ni kuwatengeneza vijana yeye au kuwa inspire
.
MUONEENI HURUMA HATA KIDOGO MNAMPA MIZIGO MIKUBWA SANA

Hivi hizo mil. 28 kwa mwezi unazozisema unadhani ni pesa nyingi sana sio?

Haya kama wewe kweli ni mdau wa hizi mambo niambie gharama za kupata kibali cha kurusha matangazo ya TV kutoka TCRA ni sh. Ngapi?Na kama unajua gharama zake ndipo utajua hizo mil. 23 sijui 28 unazozisema huko kwny upande wa redioni ni uchafu tu.

Yaani kusaga akupe manpower ya kina Mchovu,B12 etc kuja kukupa shavu kwny kituo chako cha radio+ku-train wafanyakazi redioni kwako eti ili akupe inspiration wewe na vijana wenzako?hahah

Nyinyi hamjui kusaga nadhani mnavyomuonaga kapiga vile vikanzu vyake bubu mnamuonaga anakuja kuwasaidia kutimiza ndoto zenu eti ku-insipire hahah.
 
Amna mkuu acha propaganda, tulipeleka tangazo letu la tatiana cakes tukaambiwa tangazo la sekunde 15 kwa radio ni laki saba kwa mara mbili kwa siku na M 1 mara nne kwa siku isipokuwa kwenye XXL.
Watu wenye gharama ni ITV na EATV wale hatukurudi tena gharama ya picha mnato kwa tangazo litakaloonekana ITV mara tatu tunatangaza Clouds tv siku tatu na mara nyingi na ukiwapa pesa ndogo Clouds fm hawakatai ila wanaweka sauti ya haraka sana
ULICHOFANYA ni USHAMBA!..
Hizo info za kibiashara hukutakiwa ziweka wazi, hizo ni negotiation baina ya Kampuni na Mteja sasa wewe kuweka wazi tuone unajua sana au!!?..
Next time usidisclose information kama hizo hayo makampuni sio Supermarkets!..
 
ULICHOFANYA ni USHAMBA!..
Hizo info za kibiashara hukutakiwa ziweka wazi, hizo ni negotiation baina ya Kampuni na Mteja sasa wewe kuweka wazi tuone unajua sana au!!?..
Next time usidisclose information kama hizo hayo makampuni sio Supermarkets!..
Inawezekana ikawa ni ushamba kweli au ikawa ni akili, hakuna mahala kokote kwenye mkataba tulioingia unaposema tusiongelee kokote gharama za tangazo letu kurushwa Clouds fm.
.
Wakati wa promotion hasa msimu wa 7/7 na 8/8 au Christmas huwa wanashusha gharama na wanazitaja kabisa, mimi kutaja gharama tulizotumia kurusha tangazo imekuwa ni ushamba acha wivu mkuu hakuna kipengele kinachotubana tusiseme.
.
Hizi taarifa nilizotoa hapa zitasaidia watu wengi kwenda pale na kutokuwa na hofu ya kukuta bei kuuuubwa ya kutangaziwa tangazo lao, wewe kama ni mtu wa marketing basi ofisi yenu haipati wateja bali inawapoteza
 
Amna mkuu acha propaganda, tulipeleka tangazo letu la tatiana cakes tukaambiwa tangazo la sekunde 15 kwa radio ni laki saba kwa mara mbili kwa siku na M 1 mara nne kwa siku isipokuwa kwenye XXL.
.
Na ofa yao ni watangazaji kulizungumzia tangazo hivyo ni almost sekunde 40, kwenye Tv wana bei ndogo sana laki saba la sekunde 30 la picha inayotembea na picha mnato laki tano picha mnato wanaonyesha mara nne ila inayotembea mara tatu, Tv haina viewers wengi.
.
Watu wenye gharama ni ITV na EATV wale hatukurudi tena gharama ya picha mnato kwa tangazo litakaloonekana ITV mara tatu tunatangaza Clouds tv siku tatu na mara nyingi na ukiwapa pesa ndogo Clouds fm hawakatai ila wanaweka sauti ya haraka sana
Hapo kwa ITV hapo, balaa! Siku napewa gharama zake, especially during peak hours, nikabaki kujisemea, ama kweli jina huumba "MENGI"
 
ULICHOFANYA ni USHAMBA!..
Hizo info za kibiashara hukutakiwa ziweka wazi, hizo ni negotiation baina ya Kampuni na Mteja sasa wewe kuweka wazi tuone unajua sana au!!?..
Next time usidisclose information kama hizo hayo makampuni sio Supermarkets!..
Labda kwa Clouds lakini kwa IPP, hususani ITV, hizo gharama wala sio siri
 
Hivi hizo mil. 28 kwa mwezi unazozisema unadhani ni pesa nyingi sana sio?

Haya kama wewe kweli ni mdau wa hizi mambo niambie gharama za kupata kibali cha kurusha matangazo ya TV kutoka TCRA ni sh. Ngapi?Na kama unajua gharama zake ndipo utajua hizo mil. 23 sijui 28 unazozisema huko kwny upande wa redioni ni uchafu tu.

Yaani kusaga akupe manpower ya kina Mchovu,B12 etc kuja kukupa shavu kwny kituo chako cha radio+ku-train wafanyakazi redioni kwako eti ili akupe inspiration wewe na vijana wenzako?hahah

Nyinyi hamjui kusaga nadhani mnavyomuonaga kapiga vile vikanzu vyake bubu mnamuonaga anakuja kuwasaidia kutimiza ndoto zenu eti ku-insipire hahah.
Hihihihihihi ngoja nicheke kwanza mkuu hihihihihihi
Gharama ya kupata leseni ya TV kwa sasa hivi sio chini ya dola laki tatu hapo zamani miaka hiyo wanaanzisha 1999 na ITV 1995 ilikuwa dola laki 5.
.
Sasa hivi kuna vituo vya TV vingiiiiii na vimekuwa vingi kwa sababu urushaji wake nao umekuwa rahisi, unaanzisha kituo cha TV unanunua makorokoro yanayohitajika then unachagua Satellite unayotaka ikurushie matangazo yako kama ni SES au Eutelsat ni wewe hao ndio operator yani hata Clouds tv wakilala bado TV haiwezi kupotea hewani .
.
Million 28 na 23 ni pesa nyingi sana acha kuzichukulia poa ni mafao ya mtu uzeeni hayo, hata kama ana utajiri wa trillion 1 bado atapata tabu kuendesha vituo mnavyo mbambikizie, Clouds Fm na TV ndio zinaleta mapato makubwa sana kuliko kwingine kotee sasa atatoa mapato yake mfukoni au kutoka Clouds media aendeshee Jembe ni jembe?
.
Idadi ya wafanyakazi wa jembe ni jembe, Wasafi media, clouds media kwa ujumla wafanyakazi kama mia nne na ushehe hivi atawamudu?
.
Mwisho umesema yani kusaga akupe manpower kina Mchomvu na B12 waje kutrain kwenye radio yako eti ili akupe inspiration😝😝😝😝 sidhani kama ulinielewa nadhani ulikuwa bado uko usingizini, Hao kina jembe ni jembe wamefanya kazi CMG, Wafanyakazi kibao wa wasafi media kama Mo town sanya mafundi wametoka CMG sasa akisema kuna mkono wake kwenye hizo media utakataa?
.
Jembe ni jembe ni kama mtoto wa clouds, mtu ambaye kasimama bila nguvu kutoka clouds ni majizo pale myu wa kutoka CMG ni mmoja tu Dinna marios
 
Na kwa taarifa tu radio ya jembe ni jembe kusaga hapo ana hisa zake na hata Rock city radio ana hisa zake pia.

Na kusaga mwenyewe alishasema radio nyingi za vijana mkono wake unahusika hapo.

Rock city radio, ndio radio gani hiyo na inapatikana kwa frequency zipi..?
 
Aisee argument zako nimezikubali saaana hahah,so unaona kama hizo redio akiwa nazo ni nyingi saana na zitakua na wafanyakazi wengi kiasi ambacho atashindwa kuwa-manage,haha.

Jamaa angu kumbe kwny ubepari bado wewe hujaiva aisee,kwa hio hao wafanyakzi mia 4 unaowafikiria unaona ni wengi sana sio?

Hapo chini ni co's anazo zi-manage bakhressa na ujiulize anawezage kuzi-manage zote at per.

Azam Bakeries Co. Ltd
Azam Dairy Products Ltd
Azam FM Radio Ltd
Azam Football Club
Azam Insurance Agency Ltd
Azam Marine Co. Ltd
Azam Media Ltd
AzamPay Tanzania Ltd
Azam Polysack Ltd
Al Zenzibar Food Products Ltd
Bagamoyo Sugar Ltd
Bakhresa Food Products Ltd
Bakhresa Grain Milling (Rwanda)
Bakhresa Grain Milling (Burundi)
Bakhresa Grain Milling (Malawi)
Bakhresa Grain Milling (Uganda)
Bakhresa Grain Milling (Mozambique)
Bakhresa SA (Pty) Ltd
Coastal Fast Ferries
Kilimanjaro Fast Ferries Ltd
Hotel Verde Zanzibar -Azam Luxy Resort & spa Ltd
Omar Packaging Industries Ltd
Paper Kraft International Ltd
Reliable Properties Ltd (Real Estate)
Said Salim Bakhresa & Co. Ltd
Tradegents Ltd (Garments)
Tacona Holdings Ltd (Inland Container Depot)
Uhai Production Limited
United Group Limited
(Petroleum)Union Property Developers Ltd
Zanzibar Milling Cooperation Ltd

Nashangaa wewe unayeona eti hizo radio ni nyingi saaaaana mpk Kusaga atashindwa kuzi-manage hahah,au unadhani Co's Zinaendeshwa kama maduka ya watu binafsi.

Hihihihihihi ngoja nicheke kwanza mkuu hihihihihihi
Gharama ya kupata leseni ya TV kwa sasa hivi sio chini ya dola laki tatu hapo zamani miaka hiyo wanaanzisha 1999 na ITV 1995 ilikuwa dola laki 5.
.
Sasa hivi kuna vituo vya TV vingiiiiii na vimekuwa vingi kwa sababu urushaji wake nao umekuwa rahisi, unaanzisha kituo cha TV unanunua makorokoro yanayohitajika then unachagua Satellite unayotaka ikurushie matangazo yako kama ni SES au Eutelsat ni wewe hao ndio operator yani hata Clouds tv wakilala bado TV haiwezi kupotea hewani .
.
Million 28 na 23 ni pesa nyingi sana acha kuzichukulia poa ni mafao ya mtu uzeeni hayo, hata kama ana utajiri wa trillion 1 bado atapata tabu kuendesha vituo mnavyo mbambikizie, Clouds Fm na TV ndio zinaleta mapato makubwa sana kuliko kwingine kotee sasa atatoa mapato yake mfukoni au kutoka Clouds media aendeshee Jembe ni jembe?
.
Idadi ya wafanyakazi wa jembe ni jembe, Wasafi media, clouds media kwa ujumla wafanyakazi kama mia nne na ushehe hivi atawamudu?
.
Mwisho umesema yani kusaga akupe manpower kina Mchomvu na B12 waje kutrain kwenye radio yako eti ili akupe inspiration[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13] sidhani kama ulinielewa nadhani ulikuwa bado uko usingizini, Hao kina jembe ni jembe wamefanya kazi CMG, Wafanyakazi kibao wa wasafi media kama Mo town sanya mafundi wametoka CMG sasa akisema kuna mkono wake kwenye hizo media utakataa?
.
Jembe ni jembe ni kama mtoto wa clouds, mtu ambaye kasimama bila nguvu kutoka clouds ni majizo pale myu wa kutoka CMG ni mmoja tu Dinna marios
 
Hihihihihihi ngoja nicheke kwanza mkuu hihihihihihi
Gharama ya kupata leseni ya TV kwa sasa hivi sio chini ya dola laki tatu hapo zamani miaka hiyo wanaanzisha 1999 na ITV 1995 ilikuwa dola laki 5.
.
Sasa hivi kuna vituo vya TV vingiiiiii na vimekuwa vingi kwa sababu urushaji wake nao umekuwa rahisi, unaanzisha kituo cha TV unanunua makorokoro yanayohitajika then unachagua Satellite unayotaka ikurushie matangazo yako kama ni SES au Eutelsat ni wewe hao ndio operator yani hata Clouds tv wakilala bado TV haiwezi kupotea hewani .
.
Million 28 na 23 ni pesa nyingi sana acha kuzichukulia poa ni mafao ya mtu uzeeni hayo, hata kama ana utajiri wa trillion 1 bado atapata tabu kuendesha vituo mnavyo mbambikizie, Clouds Fm na TV ndio zinaleta mapato makubwa sana kuliko kwingine kotee sasa atatoa mapato yake mfukoni au kutoka Clouds media aendeshee Jembe ni jembe?
.
Idadi ya wafanyakazi wa jembe ni jembe, Wasafi media, clouds media kwa ujumla wafanyakazi kama mia nne na ushehe hivi atawamudu?
.
Mwisho umesema yani kusaga akupe manpower kina Mchomvu na B12 waje kutrain kwenye radio yako eti ili akupe inspiration[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13] sidhani kama ulinielewa nadhani ulikuwa bado uko usingizini, Hao kina jembe ni jembe wamefanya kazi CMG, Wafanyakazi kibao wa wasafi media kama Mo town sanya mafundi wametoka CMG sasa akisema kuna mkono wake kwenye hizo media utakataa?
.
Jembe ni jembe ni kama mtoto wa clouds, mtu ambaye kasimama bila nguvu kutoka clouds ni majizo pale myu wa kutoka CMG ni mmoja tu Dinna marios
Nlikuwa nakuchora tu mkuu kuna baadhi ya takwimu haupo sahihi
Twalib Omar
Ibrahim masoud maestro hawa walitoka wapi
 
Ngoja tuone, miruzi mingi hupoteza mbwa
 
Back
Top Bottom