Jemedari Said atupa karata yake nafasi ya usemaji klabu ya Yanga

Jemedari Said atupa karata yake nafasi ya usemaji klabu ya Yanga

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Kama mnavyofahamu nafasi ya usemaji na nafasi nyingine zipo wazi .
Mchambuzi wa michezo ndugu Jemedari Said bin Kazumari ameomba nafasi hiyo huku akiwa ametimiza vigezo kadhaa vya awali Kama elimu na kuwa mwananchi (mwanachama wa Yanga tangu 2001).
Tumtakie Heri katika hili.
 
Cdhan kama kinye fc.watamkubalia huyu
Kama mnavyofahamu nafasi ya usemaji na nafasi nyingine zipo wazi .
Mchambuzi wa michezo ndugu Jemedari Said bin Kazumari ameomba nafasi hiyo huku akiwa ametimiza vigezo kadhaa vya awali Kama elimu na kuwa mwananchi (mwanachama wa Yanga tangu 2001).
Tumtakie Heri katika hili.
 
Kama mnavyofahamu nafasi ya usemaji na nafasi nyingine zipo wazi .
Mchambuzi wa michezo ndugu Jemedari Said bin Kazumari ameomba nafasi hiyo huku akiwa ametimiza vigezo kadhaa vya awali Kama elimu na kuwa mwananchi (mwanachama wa Yanga tangu 2001).
Tumtakie Heri katika hili.
Huyo bila kuisema Yanga atalala njaa
 
Kampeni Za Wazi Wazi hizi dhidi Ya Msukule...!

Yanga Walimuahidi Wataandamana mpaka Ikulu , Manara akaingia Kingi..akalianzisha Lkn kilichotokea wamemkaushia Na Sasa nafasi Yake Wanaitangaza ingali kuwa Wanajua yupo...!
Yanga Mungu anawaona..!
 
FB_IMG_16603915202562420.jpg
 
Back
Top Bottom