Hapo kwenye ubora ndo utuambie ubora unapimwaje?Yote ni mashindano ya mpira ambayo timu ikifanya vibaya inashushwa level ya chini yake, au unataka nikutolee mfano wa UEFA na EUROPA ndio utaelewa, yanalingana ubora yale?
Huyo Lunatic nayeye arudishwe Milembe Kwa matibabu kwanzaMchambuzi mahiri wa michezo nchini, Jemedari Said amesema Simba na Yanga wanacheza mashindano yenye ubora tofauti, Simba ligi ya mabingwa Afrika, na Yanga kombe la Shirikisho.
Kutokana na kutofautiana ubora kufunga goli kwenye ligi ya mabingwa ni vigumu zaidi kuliko Shirikisho hivyo magoli ya Simba yalipaswa kuthaminiwa zaidi kuliko ya Yanga na sio kupewa thamani ya milioni 5 yote.
Jamaa kasema timu zinazofanya vibaya Champions League (mfano Yanga) hupelekwa kucheza Shirikisho kitu ambacho kinathibitisha utofauti wa ubora.
Sababu amekuchoma?Hua mnapata wapi mda wa kusikiliza huyo mlevi?
Matokeo ya uwanjaniHapo kwenye ubora ndo utuambie ubora unapimwaje?
Kwahiyo timu yako inamatokeo mazurii ya uwanjani kuzidi Yanga?Matokeo ya uwanjani
Unadhani Yanga walionewa na CAF kupelekwa Shirikisho?Kwahiyo timu yako inamatokeo mazurii ya uwanjani kuzidi Yanga?
Shirikisho pia wanacheza mpira kama klabu bingwa au mpira mnaotumia huko ni wa pembetatu si huku tunatumia wa duara?Unadhani Yanga walionewa na CAF kupelekwa Shirikisho?
Mpira ni ule ule ila Shirikisho kuna timu mbovu, zilizofeli Mabingwa na kushushwa hukoShirikisho pia wanacheza mpira kama klabu bingwa au mpira mnaotumia huko ni wa pembetatu si huku tunatumia wa duara?
Usikariri kuwa timu zote huku ni mbovu zipo ambazo ni mabingwa wa ligi zao pia.Mpira ni ule ule ila Shirikisho kuna timu mbovu, zilizofeli Mabingwa na kushushwa huko
Kwa hiyo zilifikaje huko?Usikariri kuwa timu zote huku ni mbovu zipo ambazo ni mabingwa wa ligi zao pia.
Sasa yanga mngekuwepo ligi ya mabingwa mngeifunga timu gani???kama vilaza vipers tu waliwatoa jasho,na vipers ndo vilaza wa mashindano yoteUgumu pia unategemea na kundi ulilopo na ubora wa timu yako.
ngoja chawa wa gsm wake kubisha1)Ukiwa wa nne kwenye club bingwa ranking unapewa 1 inazidishwa na coefficient ya mwaka husika 5. 1x5=5
2)ukiwa wa nne kwenye kundi shirikisho unapewa 0.5 zidisha na coefficient ya mwaka husika 5. 0.5x5=2.5
Hiyo inakuwa ndio nyongeza ya point kwenye CAF 5 YEAR RANKING.
3) Summary.
(1,2,3,4 ) times 5 kwenye club bingwa
Simba akimaliza wa pili ni 3x5=15 gain in ranking points
(0.5,1,2,3) times 5 kwa shirikisho
Yanga akimaliza wa pili 2x5=10 gain in ranking points
CAF wenyewe wanalitambua hilo kuwa ugumu unatofautiana
Ashakuelewa huyo anabisha ubishi tu.Kwa hiyo zilifikaje huko?
Sasa unataka timu iwe inacheza vizuri milele,timu gani ishawahi kuwa na good perfamance milele duniani,itaje kama ipoWewe mwenyewe umeridhika na hii Simba ya sasa inavyocheza?
Au hata timu ikicheza vibaya tuisifie kinafiki?
Hiyo 16 april kuna nn??ewe mr utopoloHuu ubishi mwisho wake ni TAR 16 APRIL.
Itajulikana nani ni TIMU NGUMU na BORA.
Hao jamaa huwa hawapendi kuambiwa ukweli,ku a jamaa anaitwa micky jr,jamaa wanamtusi sana kwente page yake kisa anasemaga ukweli tu,mtu kama bin kazumari huwa anasema ukweli tu,mara kibao huwa anaisema simba ila hutawahi kuskia wanasimba wanamtusi,sasa jamaa zetu sasa ,ka siku wanamtusi afu still wanamfollowSababu amekuchoma?
Kundi la Yanga timu mbili ni debutants ukiondoa Yanga na TP MazembeUgumu pia unategemea na kundi ulilopo na ubora wa timu yako.