Jemedari Said: Simba anacheza mashindano bora kuliko Yanga, Magoli yake yana thamani kubwa kuliko ya Yanga

Jemedari Said: Simba anacheza mashindano bora kuliko Yanga, Magoli yake yana thamani kubwa kuliko ya Yanga

Yote ni mashindano ya mpira ambayo timu ikifanya vibaya inashushwa level ya chini yake, au unataka nikutolee mfano wa UEFA na EUROPA ndio utaelewa, yanalingana ubora yale?
Hapo kwenye ubora ndo utuambie ubora unapimwaje?
 
Mchambuzi mahiri wa michezo nchini, Jemedari Said amesema Simba na Yanga wanacheza mashindano yenye ubora tofauti, Simba ligi ya mabingwa Afrika, na Yanga kombe la Shirikisho.

Kutokana na kutofautiana ubora kufunga goli kwenye ligi ya mabingwa ni vigumu zaidi kuliko Shirikisho hivyo magoli ya Simba yalipaswa kuthaminiwa zaidi kuliko ya Yanga na sio kupewa thamani ya milioni 5 yote.

Jamaa kasema timu zinazofanya vibaya Champions League (mfano Yanga) hupelekwa kucheza Shirikisho kitu ambacho kinathibitisha utofauti wa ubora.
Huyo Lunatic nayeye arudishwe Milembe Kwa matibabu kwanza
 
Shirikisho pia wanacheza mpira kama klabu bingwa au mpira mnaotumia huko ni wa pembetatu si huku tunatumia wa duara?
Mpira ni ule ule ila Shirikisho kuna timu mbovu, zilizofeli Mabingwa na kushushwa huko
 
Ugumu pia unategemea na kundi ulilopo na ubora wa timu yako.
Sasa yanga mngekuwepo ligi ya mabingwa mngeifunga timu gani???kama vilaza vipers tu waliwatoa jasho,na vipers ndo vilaza wa mashindano yote
 
1)Ukiwa wa nne kwenye club bingwa ranking unapewa 1 inazidishwa na coefficient ya mwaka husika 5. 1x5=5

2)ukiwa wa nne kwenye kundi shirikisho unapewa 0.5 zidisha na coefficient ya mwaka husika 5. 0.5x5=2.5

Hiyo inakuwa ndio nyongeza ya point kwenye CAF 5 YEAR RANKING.


3) Summary.
(1,2,3,4 ) times 5 kwenye club bingwa

Simba akimaliza wa pili ni 3x5=15 gain in ranking points

(0.5,1,2,3) times 5 kwa shirikisho
Yanga akimaliza wa pili 2x5=10 gain in ranking points

CAF wenyewe wanalitambua hilo kuwa ugumu unatofautiana
ngoja chawa wa gsm wake kubisha
 
Wewe mwenyewe umeridhika na hii Simba ya sasa inavyocheza?

Au hata timu ikicheza vibaya tuisifie kinafiki?
Sasa unataka timu iwe inacheza vizuri milele,timu gani ishawahi kuwa na good perfamance milele duniani,itaje kama ipo
 
Nadhani aliyemshauri mh rais ni kilaza,caf wenyewe wanajua kuwa shirikisho ni kwa waliofeli ndo mana hata zawadi hutofautiana achilia mbali points,sasa nashangaa hela zinatoka sawa sawa na waloshindwa fc
 
Sababu amekuchoma?
Hao jamaa huwa hawapendi kuambiwa ukweli,ku a jamaa anaitwa micky jr,jamaa wanamtusi sana kwente page yake kisa anasemaga ukweli tu,mtu kama bin kazumari huwa anasema ukweli tu,mara kibao huwa anaisema simba ila hutawahi kuskia wanasimba wanamtusi,sasa jamaa zetu sasa ,ka siku wanamtusi afu still wanamfollow
 
Bingwa wa shirikisho ndio bingwa wa jumla msimu uliopita msijisahaulishe.
 
Back
Top Bottom