BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
Tusimu-attack mzungumzaji but tuangalie hoja zilizotolewa zina ukweli...???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba na Yanga wote si walipangwa mabingwa? Kilichotokea ni nini ?Kwa muktadha huo wewe ulishika nafasi ya ngapi kwenye ligi yako?
Hawawezi kujadili hoja hawa, zaidi ya matusiTusimu-attack mzungumzaji but tuangalie hoja zilizotolewa zina ukweli...???
Ile Simba Haina uwezo wa kumfunga yeyote kwenye kundi la yanga,hata kupata sare tu haiweziKwa hiyo mashindano ya shirikisho ni magumu zaidi ya Champions league?
Ubora wa timu, timu zinazoshindwa mabingwa ndio zinatupwa shirikisho, mfano Yanga na Tp Mazembe ambao wote walikuwa mabingwa ila wakaboronga wakashushwa darajaVigezo vipi unatumia kupata thamani ya goli? Na ni vigezo vilivyo thibitishwa na FIFA au mtu anajiamulia tu?
Udogo wa mashindano unapimwa kwa nini?
Kwahiyo timu Bora haifungwi?Ubora wa timu, timu zinazoshindwa mabingwa ndio zinatupwa shirikisho, mfano Yanga na Tp Mazembe ambao wote walikuwa mabingwa ila wakaboronga wakashushwa daraja
Simba imemfunga Vipers(mbabe wa Mazembe) nje ndani, ndio ingeshindwa hawa vibonde akina na mazembe kweli?Ile Simba Haina uwezo wa kumfunga yeyote kwenye kundi la yanga,hata kupata sare tu haiwezi
Bado hujanijibu kule juu Vipers alimfunga mazembe magoli mangapi?Simba imemfunga Vipers(mbabe wa Mazembe) nje ndani, ndio ingeshindwa hawa vibonde akina na mazembe kweli?
Kipimo pekee cha timu bora ni matokeo ya uwanjani, kama umecheza na timu home and away na kote huko hukuweza kuitoa, maana yake imekuzidi uboraKwahiyo timu Bora haifungwi?
Kwa hiyo haikumtoa? Mazembe alitupwa Shirikisho kwa kuonewa?Bado hujanijibu kule juu Vipers alimfunga mazembe magoli mangapi?
Mbona unaongea vitu irrelevant kabisa sasa maswala ya daraja la kwanza yanatoka Wapi?Kipimo pekee cha timu bora ni matokeo ya uwanjani, kama umecheza na timu home and away na kote huko hukuweza kuitoa, maana yake imekuzidi ubora
Au unataka kusema timu za ligi daraja la kwanza ni bora kuliko za ligi kuu?
Bado hujajibu swaliKwa hiyo haikumtoa? Mazembe alitupwa Shirikisho kwa kuonewa?
Yanga mlionewa kwa kutupwa shirikisho pia?
Wewe ubora wa timu zilizipo ligi kuu na zilizo ligi daraja la kwanza unapimwa kwa nini? Ukijibu hilo swali una jibu la swali lakoVigezo vipi unatumia kupata thamani ya goli? Na ni vigezo vilivyo thibitishwa na FIFA au mtu anajiamulia tu?
Udogo wa mashindano unapimwa kwa nini?
Kwahiyo Simba haiwezi kucheza shirikisho.Man United,Arsenal na Barcelona je sio timu bora duniani.wachambuzi wetu wapo kichawa sana kuliko kuwa wachambuzi halisi wa mpira.Muda sio mrefu watu wataacha kuwafatilia wamekuwa mashabiki kuliko kufanya kazi zao.Mchambuzi mahiri wa michezo nchini, Jemedari Said amesema Simba na Yanga wanacheza mashindano yenye ubora tofauti, Simba ligi ya mabingwa Afrika, na Yanga kombe la Shirikisho.
Kutokana na kutofautiana ubora kufunga goli kwenye ligi ya mabingwa ni vigumu zaidi kuliko Shirikisho hivyo magoli ya Simba yalipaswa kuthaminiwa zaidi kuliko ya Yanga na sio kupewa thamani ya milioni 5 yote.
Jamaa kasema timu zinazofanya vibaya Champions League (mfano Yanga) hupelekwa kucheza Shirikisho kitu ambacho kinathibitisha utofauti wa ubora.
Ni mfano unaoendana, timu ikifanya vibaya ligi kuu inashushwa daraja, ndio kama CAF ikifanya vibaya ligi ya mabingwa inashushwa daraja na kupelekwa ShirikishoMbona unaongea vitu irrelevant kabisa sasa maswala ya daraja la kwanza yanatoka Wapi?
Kufungwa kwa timu sio lazima uzidiwe ubora
Hatuongelei maswala ya ligi kuu hapa na hata tukiamua kuyaongelea wewe ulifungwa na mashujaa je walikuzidi ubora?Wewe ubora wa timu zilizipo ligi kuu na zilizo ligi daraja la kwanza unapimwa kwa nini? Ukijibu hilo swali una jibu la swali lako
Kwanba mashindano ya Champions League na Confederation yanalingana ubora?Kwahiyo Simba haiwezi kucheza shirikisho.Man United,Arsenal na Barcelona je sio timu bora duniani.wachambuzi wetu wapo kichawa sana kuliko kuwa wachambuzi halisi wa mpira.Muda sio mrefu watu wataacha kuwafatilia wamekuwa mashabiki kuliko kufanya kazi zao.
Unaelewa maana ya kushushwa daraja?Ni mfano unaoendana, timu ikifanya vibaya ligi kuu inashushwa daraja, ndio kama CAF ikifanya vibaya ligi ya mabingwa inashushwa daraja na kupelekwa Shirikisho
Yote ni mashindano ya mpira ambayo timu ikifanya vibaya inashushwa level ya chini yake, au unataka nikutolee mfano wa UEFA na EUROPA ndio utaelewa, yanalingana ubora yale?Hatuongelei maswala ya ligi kuu hapa na hata tukiamua kuyaongelea wewe ulifungwa na mashujaa je walikuzidi ubora?
Unaelewa nini maana ya daraja kwanza? Au unafikiri madaraja yapo kwenye ligi za ndani pekeè?Unaelewa maana ya kushushwa daraja?
Yaani unalinganisha ligi yenye mechi zaidi ya 32 na mashindano ambayo ukicheza mechi 12 ushafika fainali?