Jenerali Kayumba Nyamwasa anusurika kifo, Kagame anazidi kumwandama?

Jenerali Kayumba Nyamwasa anusurika kifo, Kagame anazidi kumwandama?

Kaguta

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2013
Posts
414
Reaction score
504
Katika kuonyesha Meja Paul Kagame ni kinara wa tasinia ya kijasusi katika Afrika, nyumba ya Gen Kayumba Nyamwasa inayolindwa vikali na polisi ya Afrika kusini ilivamiwa usiku wa kuamkia jana na kuharibu kila kitu.

Akihojiwa na BBC Nyamwasa amekiri kutafutwa na watu ambao hawatoki nchi yoyote ispokuwa Rwanda. Amekiri pia kuwa nyumba yake inalindwa na polisi wa A. Kusini na kuwa kilichomwokoa ni kwamba yeye hakuwepo wakati wa uvamizi huo.

My take: Nchi kama South Afrika lazima wawe na mifumo bora ya kiulinzi, inakuwaje Kagame anaweze kupenyeza watu wake na wakaenda kushambulia eneo linalolindwa namna ile?

Kumbuka alisema kwa kinywa chake kwamba wasaliti wa nchi yake hawako salama na kuwa it's a matter of time!

Sisi wenye chokochoko naye tuko salama kiasi gani?
 
Nini cha ajabu hapo? Unapoambiwa ni operesheni za kijasusi na kama kweli ina baraka ya mkuu wa nchi basi jua watu kweli wapo kazini overtly or covertly!

Na kama anamaanisha alichosema if at all he said it basi kazi ni mbichi hiyo!

Kulindwa is one thing, unalindwa na nani? Ndio issue hapo na kama ni kweli inalindwa na "polisi" basi jamaa hakika atakufa ni suala la muda tu!

Na ndio maana kasema kilichomuokoa ni "absence" sababu yeye ametafsiri tukio kwa undani na uelewa wa undani wa medani, he is a general mind you!
 
Hawa jamaa ni JASUSI la kimataifa, tena baadhi ya mafunzo ameyapatia hapa Tz. Tangu wamuue Prof. Juan Timoth Mwaikuwa aliyekuwa wakili wa utetezi wa baadhi ya watu waliohusishwa na mauaji ya kimbari huko Rwanda, inaonyesha jinsi gani pia wanavyojua kufanikisha shughuli zao za kijasusi kwa ustadi mkubwa. Hawa jamaa waliingia hadi Dar nyumbani kwa huyu Prof (RIP), wakammiminia risasi na wakaondoka bila kushikwa na yeyote.
 
Hawa jamaa ni JASUSI la kimataifa, tena baadhi ya mafunzo ameyapatia hapa Tz. Tangu wamuue Prof. Juan Timoth Mwaikuwa aliyekuwa wakili wa utetezi wa baadhi ya watu waliohusishwa na mauaji ya kimbari huko Rwanda, inaonyesha jinsi gani pia wanavyojua kufanikisha shughuli zao za kijasusi kwa ustadi mkubwa. Hawa jamaa waliingia hadi Dar nyumbani kwa huyu Prof (RIP), wakammiminia risasi na wakaondoka bila kushikwa na yeyote.

Huyu Prof aliuwawa na Kagame! Nakumbuka jinsi kile kifo kilivyokuwa na utata.
 
Hawa jamaa ni JASUSI la kimataifa, tena baadhi ya mafunzo ameyapatia hapa Tz. Tangu wamuue Prof. Juan Timoth Mwaikuwa aliyekuwa wakili wa utetezi wa baadhi ya watu waliohusishwa na mauaji ya kimbari huko Rwanda, inaonyesha jinsi gani pia wanavyojua kufanikisha shughuli zao za kijasusi kwa ustadi mkubwa. Hawa jamaa waliingia hadi Dar nyumbani kwa huyu Prof (RIP), wakammiminia risasi na wakaondoka bila kushikwa na yeyote.

Really???
 
Kagame yuko bize kutumia gharama kubwa kuwatafuta wenzie na kuwaua,anasahau kwamba hata yeye kuna siku huenda akafa bila gharama kubwa kutumika,na watakaomfuatia si lazima waendeshe nchi kwa misingi anayoitaka.Ni heri angetenda haki maana mwenye haki hukumbukwa daima na yale aliyosimamia kuna siku yataenziwa!Hata hivyo akizidi sana kuna siku hawa watu nao ili kujilinda watatumia gharama kumtafuta na yeye wammalize.No one is invisible under the sun.Mojawapo ya ishara za kuanguka kwa tyrant ni kutengeneza maadui wengi zaidi ya marafiki,even in his own house.
 
Hawa jamaa ni JASUSI la kimataifa, tena baadhi ya mafunzo ameyapatia hapa Tz. Tangu wamuue Prof. Juan Timoth Mwaikuwa aliyekuwa wakili wa utetezi wa baadhi ya watu waliohusishwa na mauaji ya kimbari huko Rwanda, inaonyesha jinsi gani pia wanavyojua kufanikisha shughuli zao za kijasusi kwa ustadi mkubwa. Hawa jamaa waliingia hadi Dar nyumbani kwa huyu Prof (RIP), wakammiminia risasi na wakaondoka bila kushikwa na yeyote.

NILIWAHI KUANDIKA KUWA rwanda wako vizuri kiintelijensia
 
Kumbuka Osama,Saadam, na Gadafft wote walikuwa na ulinzi, mwisho wa siku ?

 
Ni kweli majasusi wa Kagame walimua Prof Juan kwasababu alikuwa akiwatetea wahutu kwenye mahakama ya kimataifa UNICTR - Arusha.Tatizo ni pale serekali ya Kikwete iliposhindwa kuichukulia hatua Rwanda walau hata kuilaumu.Kagame kuona hivyo akavimba kichwa akajua Tanzania hawana lolote akamtisha hadi Rais wa nchi.


Hawa jamaa ni JASUSI la kimataifa, tena baadhi ya mafunzo ameyapatia hapa Tz. Tangu wamuue Prof. Juan Timoth Mwaikuwa aliyekuwa wakili wa utetezi wa baadhi ya watu waliohusishwa na mauaji ya kimbari huko Rwanda, inaonyesha jinsi gani pia wanavyojua kufanikisha shughuli zao za kijasusi kwa ustadi mkubwa. Hawa jamaa waliingia hadi Dar nyumbani kwa huyu Prof (RIP), wakammiminia risasi na wakaondoka bila kushikwa na yeyote.
 
Kagame yuko bize kutumia gharama kubwa kuwatafuta wenzie na kuwaua,anasahau kwamba hata yeye kuna siku huenda akafa bila gharama kubwa kutumika,na watakaomfuatia si lazima waendeshe nchi kwa misingi anayoitaka.Ni heri angetenda haki maana mwenye haki hukumbukwa daima na yale aliyosimamia kuna siku yataenziwa!Hata hivyo akizidi sana kuna siku hawa watu nao ili kujilinda watatumia gharama kumtafuta na yeye wammalize.No one is invisible under the sun.Mojawapo ya ishara za kuanguka kwa tyrant ni kutengeneza maadui wengi zaidi ya marafiki,even in his own house.

Its all about mental window and circumcision; wewe ni raia na yeye si miongoni mwa!!!!!!!!
 
Chadema haiendeshwi kwa misingi hio ndugu hiyo ni ccm yenye misingi ya kukolimba watu

Umesahau Chacha Wangwe,CCM na Serikali yake ina wataalamu waliosomea karibu nchi zote zinazoongoza kwa ujasusi,lkn hawana haja ya kuwazuru wapinzani wao wakisiasa,kwasababu si sera yao,wapinzani wao ni wepesi sana,si umejionea CHOPA tatu viti vitatu.
 
Hiyo ni kawaida ulimwenguni kote, ukiwa mfanyakazi wa idara nyeti ya inteligensia,harafu ukakimbilia ughaibuni,nchi yako lazima ikutafute ili ikuondoe usije ukamwaga siri za nchi hadharani,

Amerika yenyewe ikipata nafasi utasikia Snowden kakutwa amekufa hotelini.kwaiyo mimi wala si mlaumu Kagame,hana jinsi lazime ailinde nchi yake,hao waliovamia nyumbani kwa nyamwasa ni makachero wa Rwanda.Nyamwasa alijua tangu mwanzo suala kama hilo linaweza kutokea,cha kufanya ni kuchukua tahadhari,ikishindikana inabidi abadili identity apotee kabisa
 
Katika kuonyesha Meja Paul Kagame ni kinara wa tasinia ya kijasusi katika Afrika, nyumba ya Gen Kayumba Nyamwasa inayolindwa vikali na polisi ya Afrika kusini ilivamiwa usiku wa kuamkia jana na kuharibu kila kitu. Akihojiwa na BBC Nyamwasa amekiri kutafutwa na watu ambao hawatoki nchi yoyote ispokuwa Rwanda. Amekiri pia kuwa nyumba yake inalindwa na polisi wa A. Kusini na kuwa kilichomwokoa ni kwamba yeye hakuwepo wakati wa uvamizi huo.

My take: Nchi kama South Afrika lazima wawe na mifumo bora ya kiulinzi, inakuwaje Kagame anaweze kupenyeza watu wake na wakaenda kushambulia eneo linalolindwa namna ile?

Kumbuka alisema kwa kinywa chake kwamba wasaliti wa nchi yake hawako salama na kuwa it's a matter of time!

Sisi wenye chokochoko naye tuko salama kiasi gani?
So stupidy unamaanisha kinara wa mauaji ama kinara wa ujasusi?
 
Hiyo ni kawaida ulimwenguni kote, ukiwa mfanyakazi wa idara nyeti ya inteligensia,harafu ukakimbilia ughaibuni,nchi yako lazima ikutafute ili ikuondoe usije ukamwaga siri za nchi hadharani,...
Sasa kwa nini Nyamwasa asimwage siri hadharani kabla hajauwawa?
 
Natabiri PK atakufa kifo cha risasi tena na walinzi wake kama alivyouawa kabila

cha ajabu hata uyo kabila aliuliwa na kagame ni baada ya kushukiwa kuwaua viongozi watutsi walio kua katika jeshi la congo..jk anajua ndo maana hataki ugomvi na hao jamaa ni washenzi sana, sugu wa vita na mauaji.
 
Back
Top Bottom