Jenerali Muhoozi Kainerugaba ni dhahiri sasa amelewa madaraka. Ni kweli kwamba hajui madhara ya kauli aliyotoa kuhusu kuivamia Kenya?

Jeshi letu la uganda ni imara haitachukua hata week mbili kuichukua Kenya yote.

Kwa jinsi Ukraine imetembeza kichapo kwa supapawa wa Buza Urusi, nimejifunza kutoidharau nchi yoyote, ukivamia jiandae kupokea za uso.
Kwa sasa Marekani tu ndiye aliyesalia na jeuri la uwezo wa kuvamia na kutamba, najua waarabu wa Bongo itawauma sana hii.
Bwana Utam Uganda taifa teule takbir..
 
Madikteta wengi hufanya mambo ya kipuuzi. Angalia Putin na sasa huyu mduanzi toka Uganda πŸ€”
 
USA naye alivamia Vietnam ikamshinda na hata Somalia alichemsha vita usimdharau mtu. Fita ni fita mura.
 
Kwa akili ya kawaida kabisaa hizo tweets naweza sema ni crafted.
Mtu mwenye akil timamu na nafas kama yake hawez thubutu fanya utani kama huu.
Haiwezekani abadani
 
Kwa akili ya kawaida kabisaa hizo tweets naweza sema ni crafted.
Mtu mwenye akil timamu na nafas kama yake hawez thubutu fanya utani kama huu.
Haiwezekani abadani
Kama unamfuatilia huyu 4* General utaona Twitter zake hata za zamani anapenda sana masikhara lakini pia ana ndoto zake za kuifanya EA iwe moja siku moja

Kila mmoja ana ndoto zake ila jamaa sio mbaya hivyo anaamini anachoamini

Ameomba radhi kwa wakenya pia na aliandika kuwa baba yake hakupenda aliyosema na huenda kukawa na mabadiliko kwenye post yake

Na kweli yakatokea kwa kuondolewa kwake ila naona mzee kaogopa na kumtuliza pia kwa kumpandisha cheo kuwa General

Mfuatilie jamaa ana wafuasi kibao Twitter View attachment 2379616View attachment 2379617
 
Mkuu vipi MFANO kama south africa au japan MARA ya mwishonkupigana ni lini inamaana ATAKUWA ni weak sana au?
 
Mkuu juu umezungumazia kuhusu swala la mission na sio vifaa maana hata USA ana vifaa vya kutosha na mpaka sasa yupo kwenye vita, kwa MDA wa miaka mingi sana. Ila bado hata mimi nawaona ni wa KAWAIDA ukinganisha na kama china ambao MARA ya mwisho kupigana ni zaidi ya miaka 40 ya nyuma. Vipi hio
 
Sijajua kwa nini unasema Marekani ni wa kawaida na China ni imara. Siwezi kukupinga maana hujatoa sababu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…