Thanks.Hujui hata historia ya nchi yako, Mwamwindi alihukumiwa kunyongwa mpaka kufa baada ya kumuua aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Iringa Dr Kreluu mwaka 1972.
Marehemu Jenerali Kiwelu atakumbukwa kwa kuongoza operesheni kali ya vikosi vya jeshi LA wananchi na kuyafurusha majeshi ya uvamizi ya nduli IDD Amin kwenye Ardhi ya Tanzania mwaka 1978.
RIP shujaa wa ukweli.
..angekuwa hana nidhani asingerudishwa makao makuu ya jeshi wakati wa vita na kuendelea kuwa CoS nafasi ambayo ni kubwa kuliko aliyokuwa nayo akiwa uwanja wa mapambano. vilevile mwaka 1988 asingeteuliwa kuwa CoS kwa mara ya pili wakati faili na rekodi zake zilichafuka mwaka 1978/79 wakati wa vita.Yusuph Himid si ndio alikuwepo wakati Kagera inatwaliwa? Siwezi kumuongelea sana huyu bwana. General Kiwelu alikuwa mkorofi sana. Inasemekana aligoma kabisa kuelezea mipango ya kivita kwa Marehemu Sokoine. Alikuwa na communication problem ambayo sio kitu kizuri kwa operations kubwa kama zile. It could insurbodination of some kind in other places.
Pamoja na hayo, yeye ndio alianza kazi ya kumtoa nduli. Hilo hata kama watu hawakumpenda, lilikuwa la kwake. Yeye ndio alisimamia ujenzi wa daraja la muda baada ya kuvuka mto. Ingawa alirudi makao makuu ya jeshi baada tu ya zoezi lile
Ili uwe balozi lazima level ya communication skills iwe juu sana. Watu hawaendi kwa amri kama jeshini. Wengine ni maaskari wazuri ila diplomasia ni sifuri. Wanafaa zaidi jeshini. Yeye alikuwa mtu wa aina gani?Kwa maana ipi
Makamanda wa vita ya Kagera wanaisha mmoja mmoja nafikiri kabakia Jenerali Mwita MarwaJenerali Tumainiel Kiwelu amefariki tarehe 18 Mei 2021 na atazikwa shambani kwake Mbezi Luis Dar es salaam tarehe 22 May 2021
Bwana ametoa Bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe.
Pia soma
- Historia ya Jenerali Tumainiel Kiwelu
Hivi kumbe? yaani wengine tupo mbali sikusikia taarifa za David Musuguri ambaye naye kama tumainiel Kiwelu ameshika eneo kubwa sana maeneo ya Kimara tena pana kituo kabla ya Kibanda cha mkaa.Makamanda wa vita ya Kagera wanaisha mmoja mmoja nafikiri kabakia Jenerali Mwita Marwa
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
..sina uhakika kama ni kweli au la.Ili uwe balozi lazima level ya communication skills iwe juu sana. Watu hawaendi kwa amri kama jeshini. Wengine ni maaskari wazuri ila diplomasia ni sifuri. Wanafaa zaidi jeshini. Yeye alikuwa mtu wa aina gani?
Makamanda wa vita ya Kagera wanaisha mmoja mmoja nafikiri kabakia Jenerali Mwita Marwa
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
..sina uhakika kama ni kweli au la.
..lakini kuna jamaa mmoja alisema hapa JF kuwa kiwelu hakukubaliwa na Wafaransa kwasababu ya cheo chake cha kijeshi-- Jenerali.
..baada ya hapo ndio akapelekwa kuwa rc shinyanga.
cc BAK
..lakini kiwelu alishatangazwa kuwa ameteuliwa kuwa Jenerali na kuwa balozi wetu ufaransa. baadae tukasikia ameteuliwa mkuu wa mkoa wa shinyanga. sasa ktk kuulizauliza kwa wakongwe wa JF wa wakati huo jamaa mmoja akasema kiwelu ameponzwa na cheo chake cha Ujenerali. Ati wafaransa hawapendi mabalozi wenye mavyeo makubwa ya kijeshi.Nilikusoma juzi kwenye uzi wa teuzi za balozi watu mbali mbali kutaka kujua kwanini hawakupangiwa vituo vya kazi. Nadhani nilikuuliza kama imeshawahi kutoka balozi mteule kutoka Tanzania kukataliwa na nchi nyingine. Ulijibu iliwahi kutokea lakini hukumtaja mhusika. Nakushukuru sana kwa kuweka jina lake hadharani. Nadhani hiyo ya yeye kuwa mjeshi ni sababu tosha kabisa ya kumuwekea kauzibe.
Mkuu hii ni ya kushangaza kuwa kimya kimya..nimeshangaa msiba huu umekwenda kimya-kimya sana. sikuona kama jenerali kiwelu ameagwa kitaifa kama ambavyo hufanyika kwa askari wenye uzito kama aliokuwa nao. hata taarifa ktk vyombo vya habari zimekuwa chache.
cc Nguruvi3, Ndahani, Pascal Mayalla
JokaKuu
Kiwelu amepata mafunzo ya officer cadet Sandhurst. sasa niambie Kiaro na Musuguri wamepata mafunzo yao wapi kama siyo kwa promotions za Africanization!!
..Kiwelu alikuwa chief of staff wa Twalipo. Ina maana alikuwa senior kwa Musuguri na Kiaro.
..Kiwelu aliongoza mapambano ya kumuondoa Amini ktk ardhi ya Tanzania. Baada ya hapo akarudi ngome kwenye planning na logistics. Hiyo inaonyesha jinsi gani wataalamu wa aina yake wako flexible na well rounded.
..Kabla na baada ya vita vya Kagera, Kiwelu alikuwa senior kwa Musuguri, lakini akapitwa kwenye promotion ya kuwa CDF.
..Kiwelu tena kama Major General alikuwa senior kwa Kiaro, lakini Kiaro akawa promoted to General na Kiwelu to Lt.Gen, and Kiwelu was made to serve under Kiaro kama Chief of Staff.
..Maj-Gen.Herman Lupogo ni graduate wa Makerere. Pia aliwahi kuwa CO wa Monduli. Wasomi hao ndiyo wameweka standards pale mpaka tunaheshimika kimataifa. Makamanda wote wa Monduli walikuwa wasomi na waliopata mafunzo ktk vyuo vinavyoeleweka vya kijeshi.
Mkuu JokaKuu hii sasa ndio ingekaa huku km Hisrtoria na kumbukumbu ya Gen Kiwelu kwa vizazi vya sasa vinavyojiunga JF
Kwani ukiwa generali lazma uwe CDF? Kumbuka CDF anachaguliwa mmoja tu na kwenye jeshi huwa kunakuwa na majenerali wengi yeye alikuwa chief of staff (CoS) cheo ambacho ni kikubwa chini ya CDF!Mkuu hii ni ya kushangaza kuwa kimya kimya
pia tumetafuta picha zake mahali popote hazijaonekana licha ya ile iliyowekwa kwenye jeneza hakuna
ni kweli mnavyosema Wafaransa walimkataa na alipofika Shinyanga ndio kabisa akaharibu kwenye mashimo ya dhahabu kuwafukia wachimbaji.
Kitendo cha kurudishwa Makao Makuu bado sikiafiki ila naona alipigana na baadae kurudi Makao makuu kuongoza zaidi. sehemu naitafuta wanasema alitumwa Nchi za nje hasa zile zilizotupa msaada wa kivita na hata maaadui zetu alienda (hii naitafuta nitaileta kuna mpiganaji alinukuliwa)
Mwisho ni hichi cha kuwa Jenerali (4Star) bila ya kuwa CDF yote naona km mawaa ktk Historia yake
Hata Sarakikya na Nyirenda na Jamal pia walisoma Sandhurst hii kurukwa vyeo ni suala la utashi wa mteuzi ambae ni Rais ila kuwa CoS sio cheo kidogo rankwise!JokaKuu
Kiwelu amepata mafunzo ya officer cadet Sandhurst. sasa niambie Kiaro na Musuguri wamepata mafunzo yao wapi kama siyo kwa promotions za Africanization!!
..Kiwelu alikuwa chief of staff wa Twalipo. Ina maana alikuwa senior kwa Musuguri na Kiaro.
..Kiwelu aliongoza mapambano ya kumuondoa Amini ktk ardhi ya Tanzania. Baada ya hapo akarudi ngome kwenye planning na logistics. Hiyo inaonyesha jinsi gani wataalamu wa aina yake wako flexible na well rounded.
..Kabla na baada ya vita vya Kagera, Kiwelu alikuwa senior kwa Musuguri, lakini akapitwa kwenye promotion ya kuwa CDF.
..Kiwelu tena kama Major General alikuwa senior kwa Kiaro, lakini Kiaro akawa promoted to General na Kiwelu to Lt.Gen, and Kiwelu was made to serve under Kiaro kama Chief of Staff.
..Maj-Gen.Herman Lupogo ni graduate wa Makerere. Pia aliwahi kuwa CO wa Monduli. Wasomi hao ndiyo wameweka standards pale mpaka tunaheshimika kimataifa. Makamanda wote wa Monduli walikuwa wasomi na waliopata mafunzo ktk vyuo vinavyoeleweka vya kijeshi.
Mkuu JokaKuu hii sasa ndio ingekaa huku km Hisrtoria na kumbukumbu ya Gen Kiwelu kwa vizazi vya sasa vinavyojiunga JF
Kwani ukiwa generali lazma uwe CDF? Kumbuka CDF anachaguliwa mmoja tu na kwenye jeshi huwa kunakuwa na majenerali wengi yeye alikuwa chief of staff ambacho ni cheo kikubwa chini ya CDF!
sasa ni hivi si lazma ukiwa generali kuwa CDF kwa vile ni mmoja tu kwenye jeshi huwa na cheo hicho fuatilia majeshi mengi yanayofuata ranking system za Kiingereza hata za Kichina! CoS or CoDS or CoAS mara nyingi huwa ni cheo cha General au Leutenant General! Inategemea kuna magenerali wangapi! Na mara nyingi baada ya vita magenerali huwa wengi maana yeyote wa cheo cha major general au Leutenant general is likely to be promoted!..imezoeleka kwamba askari anayepewa cheo kikubwa kupita vyote jeshini, ktk wakati husika, huteuliwa kuwa Mkuu wa majeshi.
..kwa hapa Tz, sasa hivi cheo hicho ni General [ 4 Star general ] kwamba Raisi akishakupa cheo hicho basi mazoea au matarajio ni kuwa mhusika atateuliwa kuwa Cdf.
..kilichotokea ni Raisi Mkapa kumpandisha Luteni Jenerali Kiwelu wakati huo CoS kuwa Jenerali lakini badala ya kumteua kuwa Cdf akamteua kuwa Balozi wa Tz Ufaransa.
..Nadhani tukio hilo ndilo linalowapa maswali mengi wadadisi na wapenda ujeshi-jeshi hapa JF.
..Swali linaloulizwa ni Tumainieli Kiwelu ni nani? Kwanini alipewa Ujenerali wakati hakuwa mkuu wa majeshi?
..Kwa maoni yangu Amiri Jeshi Mkuu Rais Mkapa alikuwa anatambua mchango wa Kiwelu jeshini. Yeye ndiye Mtanzania pekee aliyetumikia kaa CoS mara mbili. Aliaminiwa ktk nafasi hiyo na Maraisi wawili.
..Jambo lingine, Kiwelu ndiye CoS aliyetumikia wakati nchi iko VITANI. Na anakumbukwa kama kamanda aliyeongoza operation Chakaza iliyokomboa ardhi ya Tz toka mikononi mwa majeshi ya Idi Amin.
..Kwa maoni yangu, utumishi wa muda mrefu jeshini na uliotukuka ndio uliopelekea Raisi Mkapa kumpa Tumainieli Kiwelu Ujenerali na baadae kumteua Balozi.
Cc Nguruvi3
sasa ni hivi si lazma ukiwa generali kuwa CDF kwa vile ni mmoja tu kwenye jeshi huwa na cheo hicho fuatilia majeshi mengi yanayofuata ranking system za Kiingereza hata za Kichina! CoS or CoDS or CoAS mara nyingi huwa ni cheo cha General au Leutenant General! Inategemea kuna magenerali wangapi! Na mara nyingi baada ya vita magenerali huwa wengi maana yeyote wa cheo cha major general au Leutenant general is likely to be promoted!
Huyu Afande alikuwa si mtu wa maneno mengi na ni kweli hakupendelea mambo ya kitoto. Licha ya CV nzuri ya utumishi wake ambayo JWTZ imeweka, ni bora kutambua pia kuwa akiwa Chuo cha Mafunzo ya Uofisa pale Sandhurst, England, alinunukiwa kuwa mwanafunzi wa kwanza kwa ubora katika mafunzo yote kati ya wanafunzi wa Commonwealth na nchi nyingine wa mwaka wake ukiacha Wanafunzi wa Uingereza ambao huwa wanashindanishwa wenyewe kwa wenyewe. Kuweza kufuzu hiyo nafasi ya kuwa wa kwanza siyo mchezo ingawa kuna Watanzania wengine wamewahi pia kupata sifa hiyo nakumbuka mwaka 1989 pia nchi yetu ilitoa mpiganaji mwingine katika ubora huo. Hii ina maana huyu Afande Kiwelu alikuwa jeshi "material" tangu akiwa na umri mdogo! Hakubahatisha. RIP Commander!Jenerali Tumainiel Kiwelu amefariki tarehe 18 Mei 2021 na atazikwa shambani kwake Mbezi Luis Dar es salaam tarehe 22 May 2021
Bwana ametoa Bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe.
Pia soma
- Historia ya Jenerali Tumainiel Kiwelu