TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Jenerali ulimwengu ambaye ni mwanahabari nguri amepinga vikali hatua ya kumpa Rais Samia Suluhu siku 100 za kumjadili.
Amesema kwanza hatupaswi kutumia njia hiyo sababu ni njia ambayo wamarekani ndiyo wanaitumia kwa viongozi wao iweje na sisi tuige wakati hatuya simamii malengo yetu.
Pia ameendelea kusema, hategemei jipya sababu bi Samia alikuwa msaidizi wa rais aliyepita na chama ni kile kile cha muda mrefu, hivyo matamko yoyote hayawezi kuleta jipya.
Jenerali amesema hayo alipokuwa akifanya mahojiano na kituo cha redio cha sauti ya Marekani VOA.
PICHANI: Jenerali Ulimwengu, picha haina uhusiano na mada.
Amesema kwanza hatupaswi kutumia njia hiyo sababu ni njia ambayo wamarekani ndiyo wanaitumia kwa viongozi wao iweje na sisi tuige wakati hatuya simamii malengo yetu.
Pia ameendelea kusema, hategemei jipya sababu bi Samia alikuwa msaidizi wa rais aliyepita na chama ni kile kile cha muda mrefu, hivyo matamko yoyote hayawezi kuleta jipya.
Jenerali amesema hayo alipokuwa akifanya mahojiano na kituo cha redio cha sauti ya Marekani VOA.
PICHANI: Jenerali Ulimwengu, picha haina uhusiano na mada.