Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tumjadili Jenerali alichosema not me!.Hata kutokutathminini ni kutathmini. Ukisema alikuwa msaidizi wa aliyepita kwa hiyo hawezi kwa tofauti nako ni kutathmini. Hi ya America ni akili kuyumba kwa sababu zisizo wazi, we ignore that.
Acha kutoka nje ya hoja yangu hoja zangu ni mbili tu.Wewe unajua kusoma na kutafakari unachosoma au umezoea ku crame???--- hiyo ndiyo shida ya elimu zetu. Hebu soma hiki nilichoandika;
Ielezee hapa hiyo real management power iliyokosekana kwangu. Hili nalo ni jukwaa la kutoa maoni kama ilivyo redio. Ila weka r na andika rukaruka, siyo "lukaluka"[emoji23]
Kama ulikuwepo mbona ulikuwa unalukaluka kuongea reality from real management power?.
sio kweli alijitoa kwenye siasa baada ya vyama vingi kuingia kwa kufahamu uraia wake ulikuwa na uwalakiniBingwa wakukaza sipana kitambo sana ,alikataaga teuzi enzi ya nyerere huyu
Unapenda kufikiria kwa mantiki uliyoikuta au unapenda kufikiria kwa usahihi?Anza na hilo.Kwanini kuna 💯% na sio ama 200% au namba nyingineyo??!!
Jenerali ulimwengu ambaye ni mwanahabari nguri amepinga vikali hatua ya kumpa Rais Samia Suluhu siku 100 za kumjadili.
Amesema kwanza hatupaswi kutumia njia hiyo sababu ni njia ambayo wamarekani ndiyo wanaitumia kwa viongozi wao iweje na sisi tuige wakati hatuya simamii malengo yetu.
Pia ameendelea kusema, hategemei jipya sababu bi Samia alikuwa msaidizi wa rais aliyepita na chama ni kile kile cha muda mrefu, hivyo matamko yoyote hayawezi kuleta jipya.
Jenerali amesema hayo alipokuwa akifanya mahojiano na kituo cha redio cha sauti ya Marekani VOA.
View attachment 1838069
PICHANI: Jenerali Ulimwengu, picha haina uhusiano na mada.
Unapenda kufikiria kwa mantiki uliyoikuta au unapenda kufikiria kwa usahihi?Anza na hilo.
Acha uwongo wako ,mwezako mkapa alishindwa kesi mahakamanisio kweli alijitoa kwenye siasa baada ya vyama vingi kuingia kwa kufahamu uraia wake ulikuwa na uwalakini
Acha kutoka nje ya hoja yangu hoja zangu ni mbili tu.
1. Kwanini ufananishe siju 100 na asilimia 100 vitu ambavyo
Havifanani hata kidogo kimaana na kimahesabu?
2. Kwanini useme tunataka kitu hadi kianzishwe na wazungu ndo tukikubali bila kujua evaluation ya siku 100 imeanzishwa na wazungu na tume copy marekani?
Hakuna maali nimekukubalia au kukukatalia kutumika kwa siku 100. Sijapenda tu kuona kuwa kwenye comment zako hamna reasoning bali emotions.
Acha kuniuliza maswali jibu hoja. Kubali tu ulikua hujui kuwa waanzilishi wa siku 100 za raisi sio sisi na tume copy . Acha undeziHaya sasa twende kimahesabu; kwanini iwe ni [emoji817]% (100 per cent) na isiwe 1000 per milli ??!!,
Wrooooooooong!Get started, fella!Chochote chenye mantiki kina usahihi. Siku 100 za Samia zina mantiki na jinsi 💯% ilivyokuwa na usahihi na mantiki.
Na vijijini huku, vijana ndio wanaongoza kwa kutokujua kusoma na kuandikaZamani tulikuwa kunatoa ujinga kwa watu wazima lakini kwasasa wajinga wengi ni vijana
Well saidNamuunga mkono jenerali 100%
Hii issue ya kusema nampa Rais siku 100 za kumtathmini imekaa kimaigizo zaidi, unampa siku 100 za nini wakati utendaji wa mtu unaanza kuonekana kuanzia siku yake ya kwanza akiwa ofisini?
Huu ni ustaarabu wa kimagharibi tulio copy ambao hauna maana kwetu, siasa ipo kila siku, na matukio yake yapo kila siku, uamuzi wa Rais wa siku moja unaweza kusababisha mvuragano wa aina yoyote.
Hapa lazima tuwe tayari kukemea au kusifia kulingana na utendaji wa Rais, habari za kumpa siku 100 waachiwe waandishi wa makala kwenye magazeti waje kuandika kulingana na mitazamo yao, lakini kwa wanasiasa, hakuna haja ya kusubiri siku 100 ni kujipotezea muda tu.
After all, baada ya hizo siku 100, bado kuna uwezekano mkubwa wa kurudi kulekule kuanza kupiga kelele pale Rais anapokosea, au kumsifia anapopatia, so siku 100 kwangu naona ni maigizo tuliyo copy yasiyo na maana.
Umepiga za uso kweli kweliHii dunia ina watu sijui mnawaza kwa kutumia nini? Unajua utofauti wa asimia 100 na siku 100 ivyo ni vitu viwili tofauti sana kimaana na kimahesabu mkuu. Mbona kwenye teknolojia tunasema gb 1= mb 1024 kwanini tusiseme 1000 mb ? Usifananishe vitu bila kutumia reasoning na kujenga hoja
Acha kuniuliza maswali jibu hoja. Kubali tu ulikua hujui kuwa waanzilishi wa siku 100 za raisi sio sisi na tume copy . Acha undezi
Maana yangu ni hii; kupanga ni kuchagua, kama tumepanga na kuamua kutathimini Uongozi wa mama katika kipindi cha siku 100 kitu ambacho nchi zingine nazo hufanya hapo hakuna kosa
Kwani mi ni nani nibishane nae.Jenerali ulimwengu ambaye ni mwanahabari nguri amepinga vikali hatua ya kumpa Rais Samia Suluhu siku 100 za kumjadili.
Amesema kwanza hatupaswi kutumia njia hiyo sababu ni njia ambayo wamarekani ndiyo wanaitumia kwa viongozi wao iweje na sisi tuige wakati hatuya simamii malengo yetu.
Pia ameendelea kusema, hategemei jipya sababu bi Samia alikuwa msaidizi wa rais aliyepita na chama ni kile kile cha muda mrefu, hivyo matamko yoyote hayawezi kuleta jipya.
Jenerali amesema hayo alipokuwa akifanya mahojiano na kituo cha redio cha sauti ya Marekani VOA.
View attachment 1838069
PICHANI: Jenerali Ulimwengu, picha haina uhusiano na mada.
Ok mkuu ngoja nikikubalie ila jua tu " mtu anapokua ni kichaa hajui kama ye ni kichaa bali wanaoa athirika na ukichaa wake ndo wanaumia" unahitaji akili kubwa kuelewa nilicho andika. [emoji23][emoji23][emoji23]Wewe Mao Tsetung hakuwa mburula kama wewe Mao Zedong feki, nakwambia soma hapa uone kama sikujua kama nchi zingine hatumia siku 100 kutathimini utendaji wa viongizi wao. Kwenye percentage umeshindwa na kimsingi kama hujui nini maana ya percentage basi hukuwa na moral authority ya kuhoji hoja yangu niliyohusisha na siku 100 za Mama Samia. Angalia nilichosema kuhusiana na Siku 100:-