Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Ok mkuu ngoja nikikubalie ila jua tu " mtu anapokua ni kichaa hajui kama ye ni kichaa bali wanaoa athirika na ukichaa wake ndo wanaumia" unahitaji akili kubwa kuelewa nilicho andika. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mtu akikosa hoja bana umeangalia hadi jina naitwa nani then ukaanza kufanya personal attack kwenye jina hii mbinu huwa inatumiwa sana na watu ambao ni vichaa
Alaa, kumbe unajitambua kwamba wewe ni kichaa??!!, mimi sikujua hivyo!!. Mao Tsetung hakuwa kichaa kama wewe Mao Zedong feki, unatakiwa ujipe jina linaliendana na sifa, heshima na akili za mwenye jina lake.
Umeisha elewa kwamba mimi nilikuwa najua kuwa hizo siku 100 za tathimini za viongozi hazikuanzia Tz kwa Mama Samia kitu ambacho ulinishupalia kama mshipa wa Hernia.
Na siku zingine Ukome kimbelembele cha kujibu mada kabla hujaisoma kwa kina.
انت مجنون