Jenerali Ulimwengu apinga kutumia siku 100 kumtathimini Rais

Jenerali Ulimwengu apinga kutumia siku 100 kumtathimini Rais

Ok mkuu ngoja nikikubalie ila jua tu " mtu anapokua ni kichaa hajui kama ye ni kichaa bali wanaoa athirika na ukichaa wake ndo wanaumia" unahitaji akili kubwa kuelewa nilicho andika. [emoji23][emoji23][emoji23]

Mtu akikosa hoja bana umeangalia hadi jina naitwa nani then ukaanza kufanya personal attack kwenye jina hii mbinu huwa inatumiwa sana na watu ambao ni vichaa


Alaa, kumbe unajitambua kwamba wewe ni kichaa??!!, mimi sikujua hivyo!!. Mao Tsetung hakuwa kichaa kama wewe Mao Zedong feki, unatakiwa ujipe jina linaliendana na sifa, heshima na akili za mwenye jina lake.

Umeisha elewa kwamba mimi nilikuwa najua kuwa hizo siku 100 za tathimini za viongozi hazikuanzia Tz kwa Mama Samia kitu ambacho ulinishupalia kama mshipa wa Hernia.

Na siku zingine Ukome kimbelembele cha kujibu mada kabla hujaisoma kwa kina.

انت مجنون
 
Ielezee hapa hiyo real management power iliyokosekana kwangu. Hili nalo ni jukwaa la kutoa maoni kama ilivyo redio.
Mkuu kilicho ndani ya nafsi ya mtu anachoweza kukisema ni muhusika na si mtu mwingine.
☝🏾
Siwezi kueleza ulicho nacho akilini mwako.
 
Back
Top Bottom