mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Anatumia ujanja tu, hapa anaisema CCM toka Uhuru mpaka leo hiiAkitoa mada Kwenye Mkutano wa TCD, Generali Ulimwengu alisema, kuna Mtanzania Mmoja alikufa miaka michache iliyopita alitupulizia uzuzu na wote tukawa mazuzu.
Geberali apewe ulinzi
Tazama Video
View attachment 2182469
Inasikitisha kwa kweli. mimi jiwe hata kama angeifanya Tz kama Dubai,au angekuwa ananitawaza kila asuhuhi,kwa hili siwezi kumsamehe
Nachoshangaa Tanzania ya leo, badala ya kukaa kuwaza nini tunahitaji kwa nchi hii iendelee, tumekalia kulalamika ati alikuwa mazuzu. Hivi kama ulikubali kuwa zuzu unamlalamikia nani?
Rais alopita alikuwa na yake kaondoka, hata tukae tumseme mara mia haitobadili kitu. Na cha ajabu kesha tangulia mbele ya haki. Kwanini kama nchi tusijikite katika kuangalia ya sasa na yajayo. Kuliko kila siku vikao na hotuba zisizo na tija kwa nchi yetu.
Kuna nchi nyingi Ulaya ziliongozwa na madikiteta na walikuwa na mabaya hata zaidi ya rais alopita. Lakini uwa sisikii wakipoteza muda kukaa na kulaumu na kumsema au kuwasema vibaya hao madikteta. Ulaya wanaangalia kuendeleza nchi zao na si kukalia umbea.
Mrusi anakombora la supersonic, Mmarekani, Mwingereza na Australia wameungana kubuni ugunduzi utakao saidia namna ya kujikinga na makobora ya supersonic.
Akili ya mtanzania inawaza kumsuta na kumsema vibaya marehemu ambaye hawezi wajibu. Tunajioona kuwa sisi ndo sisi. Huyu Ulimwengu amekuwa kiongozi wa nchi hii, hivi nini alianyia nchi hii ambacho tunaweza tukakikumbuka? Au yeye ni kukosoa kila siku, na cha maana hatukioni toka kwake. Nasi tunakaa kumshangilia. Na kuonesha ameishiwa kila siku hutumia maneno yale yale.
Watanzania tubadilike, tuwaze namna ya kuendeleza nchi yetu. uangalie ni maeneo yapi tunahitaji kuyapa nguvu na kukuza uchumi. Tuwekeze kwenye elimu ya kisasa.
Mzee Ulimwengu amekuwa ktk siasa muda mwingi huko nyuma. Allizunguka ulimwengu. Uwa nikiangalia Tanzania hatuna scholarship maalum kwa nchi za nje. Ukiachana na zile zinazojumuisha nchi zinazoendelea, au Jumuia ya Madola.
Zaidi tulionayo pekee inayopokea watanzania wasiozidi wawili ni ya Mwl Nyerere Scholarship ktk chuo alichosoma huko Uingereza. Ukilinganisha na mataia kama Nigeria, Uganda, Ethiopia, Rwanda na hata Burundi ambazo zinakuwa na scholarship huko nje kwa wingi.
Hivi balozi zetu wanaanya nini? Wanashindwa kushawishi vyuo vya nje au serikali za huko kuwa na scholarship maalum kwa ajili ya watanzania? Tunahitaji watanzania wengi waende nje wasome na kuwa na teknolojia, warudi kuitumikia nchi. Rwanda wameanya hivyo. Ethiopia, Nigeria na hata Ghana.
Nilikuwa chuo huko nje, viongozi kutoka Ethiopia wamekuwa na ziara kadhaa ktk hicho chuo kujenga mahusiano, na kinapokea waethiopia wengi wakipata scholarship. Niliwahi kuona baadhi ya viongozi wa kitanzania ktk dini wakitembelea lakini sikuwasikia wakiongea chochote kile zaidi ya kuonesha ukubwa wao na kusemana. Kuna kiongozi mmoja ilibidi tuwe na mabishano ya muda kisa anamsema kiongozi mwenzie ili wazungu wamuone mbaya. Na alikuwa wanapanga kumwondoa. Hii ndo akili zetu watanzania hata tunapozuru nje hatuachi asili ya kusemana.
China ni tajiri na wanatechnolojia kubwa lkn bado wanapeleka vijana wao wengi nje kwenda kusoma, Korea kusini, India na nyinginezo. Tanzania tunahitaji mabadiliko. Nakumbuka nilipoingia kuanza kazi za serikali huko nyuma, wapambe walianza kunieleza mabaya ya yule alopita ktk hiyo ngazi niliokuwepo. Nilichoona ni vema iwe msimamo wangu sikunyanyua mdomo kumsema au kuuliza juu ya mtangulizi wangu. Nililenga nini kinatakiwa kutekelezwa katika majukumu yangu na si kumuongelea mtu. Hii iliondoa tabia zao za umbea, na hawakuendelea kumsema huyo mtangulizi. Nilibaki kumheshimu na hata kuna muda tuliongea kwa uzuri tu kwenye simu.
Watanzania tuache majungu tujikite ktk kuleta mabadiliko ya kimaendeleo. tuache kujipendekeza, wakati mwingine tunatumia hela nyingi kusherehesha mambo yasiyo na maana badala ya kujikita kuleta maendeleo kwa wananchi. Serikali ipo kuwatumikia wananchi na si wananchi kuitumikia serikali. Serikali ipo kutatua kero za wananchi na si viongozi kujiona wao ni wamaana sana kuliko wananchi.
Wananchi leo akili zetu zimeishia katika katiba, hivi kuna nchi ngapi duniani zingine hazina katiba lakini wanamaendeleo makubwa. Tazama nchi za Umoja wa nchi za Kiarabu. Uingereza isiyo na katiba ya kuandikwa. unahitaji viongozi wanao iwazia Tanzania mioyoni mwao. Viongozi ambao wapo kuhakikisha Tanzania inapiga hatua ya kimaendeleo kuliko tubaki kama tulivyo kila iitwapo leo.
Kuna research nyingi huko vyuoni, lkn zinaachwa tu kuchakaa na baadae kuchomwa moto huko vyuoni. Wasomi wamegeuka machawa wa wanasiasa.
Kwa nini nchi yetu tusiwe na chombo ambacho kinachunguza hizi research na zile bora wahusika watambulike na research zao zitumike kuleta mabadiliko ktk nyanja mbalimbali. Nchi moja nayoijua huko Ulaya utumia vigezo hivi na wanapopata research muhimu hata sheria ubadilishwa ili kukidhi haja. Hii inatia moyo vijana wetu, na pia kuendesha nchi kisayansi na si kichawa.
Namalizia hata tukimsema JPM mara mia, haitotusaidia kitu. Na tunapoteza muda wetu bure wakati yeye kapumzika, na uenda anatuangalia na kusikitika na hasa kucheka kama alivyozoea. Chuki uwa haina lolote la maana juu ya mwanadamu. Bali upendo hata kwa wale wanaokuchukia. Hii uleta kuishi maisha ya amani zaidi.
Una akili kubwa sana 👏Wengine hamuwezi kuelewa kwa sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na huo uzuzu wa kihalaiki tuliyopuliziwa kwa miaka hiyo sita. Tatizo kubwa lililotupata kama taifa miaka hii ni kusambaratika kwa umoja wa kitaifa na kubomoka kwa utaifa wetu. Ingawa chimbuko la matatizo haya ni siasa mbaya hapana shaka kwamba awamu ya tano imetupeleka mbali zaidi kiasi cha kuhatarisha uhaj wa taifa letu. Jenerali alikuwa mmoja wa vijana wa Nyerere waliomuelewa sana. Kwa umri wake Jenerali, upeo wake kifikra na kwa jinsi anavyoifahamu hii nchi, muasisi wa taifa hili na misingi ya utaifa tuliyorithishwa, haachi kushangaa ajali hii mbaya iliyotupata ya kuwa na uongozi wa aina ile ya awamu ya tano, hususan rais Magufuli. Jambo la kushangaza na kusikitisha zaidi ni jinsi ambavyo aliweza kudumisha uharibifu huo kwa muda wote na hata kujipa muhula wa pili kwa njia haramu kabisa kwa kupitia kile kile chama kinachojipambanua kuwa chama cha siasa bora zaidi katika Afrika!
Aliongea jaribu kufuatilia.Mbona hakuongea kipindi cha magufuli?
FactNachoshangaa Tanzania ya leo, badala ya kukaa kuwaza nini tunahitaji kwa nchi hii iendelee, tumekalia kulalamika ati alikuwa mazuzu. Hivi kama ulikubali kuwa zuzu unamlalamikia nani?
Rais alopita alikuwa na yake kaondoka, hata tukae tumseme mara mia haitobadili kitu. Na cha ajabu kesha tangulia mbele ya haki. Kwanini kama nchi tusijikite katika kuangalia ya sasa na yajayo. Kuliko kila siku vikao na hotuba zisizo na tija kwa nchi yetu.
Kuna nchi nyingi Ulaya ziliongozwa na madikiteta na walikuwa na mabaya hata zaidi ya rais alopita. Lakini uwa sisikii wakipoteza muda kukaa na kulaumu na kumsema au kuwasema vibaya hao madikteta. Ulaya wanaangalia kuendeleza nchi zao na si kukalia umbea.
Mrusi anakombora la supersonic, Mmarekani, Mwingereza na Australia wameungana kubuni ugunduzi utakao saidia namna ya kujikinga na makobora ya supersonic.
Akili ya mtanzania inawaza kumsuta na kumsema vibaya marehemu ambaye hawezi wajibu. Tunajioona kuwa sisi ndo sisi. Huyu Ulimwengu amekuwa kiongozi wa nchi hii, hivi nini alianyia nchi hii ambacho tunaweza tukakikumbuka? Au yeye ni kukosoa kila siku, na cha maana hatukioni toka kwake. Nasi tunakaa kumshangilia. Na kuonesha ameishiwa kila siku hutumia maneno yale yale.
Watanzania tubadilike, tuwaze namna ya kuendeleza nchi yetu. uangalie ni maeneo yapi tunahitaji kuyapa nguvu na kukuza uchumi. Tuwekeze kwenye elimu ya kisasa.
Mzee Ulimwengu amekuwa ktk siasa muda mwingi huko nyuma. Allizunguka ulimwengu. Uwa nikiangalia Tanzania hatuna scholarship maalum kwa nchi za nje. Ukiachana na zile zinazojumuisha nchi zinazoendelea, au Jumuia ya Madola.
Zaidi tulionayo pekee inayopokea watanzania wasiozidi wawili ni ya Mwl Nyerere Scholarship ktk chuo alichosoma huko Uingereza. Ukilinganisha na mataia kama Nigeria, Uganda, Ethiopia, Rwanda na hata Burundi ambazo zinakuwa na scholarship huko nje kwa wingi.
Hivi balozi zetu wanaanya nini? Wanashindwa kushawishi vyuo vya nje au serikali za huko kuwa na scholarship maalum kwa ajili ya watanzania? Tunahitaji watanzania wengi waende nje wasome na kuwa na teknolojia, warudi kuitumikia nchi. Rwanda wameanya hivyo. Ethiopia, Nigeria na hata Ghana.
Nilikuwa chuo huko nje, viongozi kutoka Ethiopia wamekuwa na ziara kadhaa ktk hicho chuo kujenga mahusiano, na kinapokea waethiopia wengi wakipata scholarship. Niliwahi kuona baadhi ya viongozi wa kitanzania ktk dini wakitembelea lakini sikuwasikia wakiongea chochote kile zaidi ya kuonesha ukubwa wao na kusemana. Kuna kiongozi mmoja ilibidi tuwe na mabishano ya muda kisa anamsema kiongozi mwenzie ili wazungu wamuone mbaya. Na alikuwa wanapanga kumwondoa. Hii ndo akili zetu watanzania hata tunapozuru nje hatuachi asili ya kusemana.
China ni tajiri na wanatechnolojia kubwa lkn bado wanapeleka vijana wao wengi nje kwenda kusoma, Korea kusini, India na nyinginezo. Tanzania tunahitaji mabadiliko. Nakumbuka nilipoingia kuanza kazi za serikali huko nyuma, wapambe walianza kunieleza mabaya ya yule alopita ktk hiyo ngazi niliokuwepo. Nilichoona ni vema iwe msimamo wangu sikunyanyua mdomo kumsema au kuuliza juu ya mtangulizi wangu. Nililenga nini kinatakiwa kutekelezwa katika majukumu yangu na si kumuongelea mtu. Hii iliondoa tabia zao za umbea, na hawakuendelea kumsema huyo mtangulizi. Nilibaki kumheshimu na hata kuna muda tuliongea kwa uzuri tu kwenye simu.
Watanzania tuache majungu tujikite ktk kuleta mabadiliko ya kimaendeleo. tuache kujipendekeza, wakati mwingine tunatumia hela nyingi kusherehesha mambo yasiyo na maana badala ya kujikita kuleta maendeleo kwa wananchi. Serikali ipo kuwatumikia wananchi na si wananchi kuitumikia serikali. Serikali ipo kutatua kero za wananchi na si viongozi kujiona wao ni wamaana sana kuliko wananchi.
Wananchi leo akili zetu zimeishia katika katiba, hivi kuna nchi ngapi duniani zingine hazina katiba lakini wanamaendeleo makubwa. Tazama nchi za Umoja wa nchi za Kiarabu. Uingereza isiyo na katiba ya kuandikwa. unahitaji viongozi wanao iwazia Tanzania mioyoni mwao. Viongozi ambao wapo kuhakikisha Tanzania inapiga hatua ya kimaendeleo kuliko tubaki kama tulivyo kila iitwapo leo.
Kuna research nyingi huko vyuoni, lkn zinaachwa tu kuchakaa na baadae kuchomwa moto huko vyuoni. Wasomi wamegeuka machawa wa wanasiasa.
Kwa nini nchi yetu tusiwe na chombo ambacho kinachunguza hizi research na zile bora wahusika watambulike na research zao zitumike kuleta mabadiliko ktk nyanja mbalimbali. Nchi moja nayoijua huko Ulaya utumia vigezo hivi na wanapopata research muhimu hata sheria ubadilishwa ili kukidhi haja. Hii inatia moyo vijana wetu, na pia kuendesha nchi kisayansi na si kichawa.
Namalizia hata tukimsema JPM mara mia, haitotusaidia kitu. Na tunapoteza muda wetu bure wakati yeye kapumzika, na uenda anatuangalia na kusikitika na hasa kucheka kama alivyozoea. Chuki uwa haina lolote la maana juu ya mwanadamu. Bali upendo hata kwa wale wanaokuchukia. Hii uleta kuishi maisha ya amani zaidi.
Kuhusu COVID bado Magufuli ni shujaa,,Je si kweli kuwa Watanzania walifanywa mazuzu?
Kwamba COVID walilazimishwa kuita changamoto ya kupumua! huu kama si ujinga ni kitu gani!
Kwamba, watu wachemshe nyasi ili kuepuka changamoto ya kupumua, huu si ujinga ni kitu gani!
Kwani yule waziri aliyesafiri kwenda kunywa mchachai madagascar kama haukuwa uzuzu ni nini?
Kwamba, tunatumia fedha za ndani wakati deni la Taifa linaongezeka. Huu si uzuzu ni kitu gani!
Kwamba, uchumi unakuwa leo Mwigula anatuambia ulikuwa taabani, kama si uzuzu ni nini
Kwamba, maiti za kutoka South Africa zinasafiri hadi Coco Beach! huu kama si uzuzu ni nini
Orodha inaendelea
Hata hivyo, JPM kama kiongozi hana immunity yu kutosemwa kwa kisingizio cha Marehemu
Nyerere ni marehemu miaka 23 na kila siku anasemwa kwa mazuri na mabaya, seuse JPM
JPM aliishi kwa gharama za umma yeye ni public figure, watu wana haki ya kusema
Alichosema Jenerali Ulimwengu ni ukweli mtupu! hata kama unauma bado ni ukweli
Jeshi la watunza legacy wapo on the way wanakuja hapa 😂😂😂😂Akitoa mada Kwenye Mkutano wa TCD, Generali Ulimwengu alisema, kuna Mtanzania Mmoja alikufa miaka michache iliyopita alitupulizia uzuzu na wote tukawa mazuzu.
Geberali apewe ulinzi
Tazama Video
View attachment 2182469
Kwenye hili gazeti lako,kitu cha maana ni kuwaaminisha Watzn kwamba Katiba ndio muarobaini.Nachoshangaa Tanzania ya leo, badala ya kukaa kuwaza nini tunahitaji kwa nchi hii iendelee, tumekalia kulalamika ati alikuwa mazuzu. Hivi kama ulikubali kuwa zuzu unamlalamikia nani?
Rais alopita alikuwa na yake kaondoka, hata tukae tumseme mara mia haitobadili kitu. Na cha ajabu kesha tangulia mbele ya haki. Kwanini kama nchi tusijikite katika kuangalia ya sasa na yajayo. Kuliko kila siku vikao na hotuba zisizo na tija kwa nchi yetu.
Kuna nchi nyingi Ulaya ziliongozwa na madikiteta na walikuwa na mabaya hata zaidi ya rais alopita. Lakini uwa sisikii wakipoteza muda kukaa na kulaumu na kumsema au kuwasema vibaya hao madikteta. Ulaya wanaangalia kuendeleza nchi zao na si kukalia umbea.
Mrusi anakombora la supersonic, Mmarekani, Mwingereza na Australia wameungana kubuni ugunduzi utakao saidia namna ya kujikinga na makobora ya supersonic.
Akili ya mtanzania inawaza kumsuta na kumsema vibaya marehemu ambaye hawezi wajibu. Tunajioona kuwa sisi ndo sisi. Huyu Ulimwengu amekuwa kiongozi wa nchi hii, hivi nini alianyia nchi hii ambacho tunaweza tukakikumbuka? Au yeye ni kukosoa kila siku, na cha maana hatukioni toka kwake. Nasi tunakaa kumshangilia. Na kuonesha ameishiwa kila siku hutumia maneno yale yale.
Watanzania tubadilike, tuwaze namna ya kuendeleza nchi yetu. uangalie ni maeneo yapi tunahitaji kuyapa nguvu na kukuza uchumi. Tuwekeze kwenye elimu ya kisasa.
Mzee Ulimwengu amekuwa ktk siasa muda mwingi huko nyuma. Allizunguka ulimwengu. Uwa nikiangalia Tanzania hatuna scholarship maalum kwa nchi za nje. Ukiachana na zile zinazojumuisha nchi zinazoendelea, au Jumuia ya Madola.
Zaidi tulionayo pekee inayopokea watanzania wasiozidi wawili ni ya Mwl Nyerere Scholarship ktk chuo alichosoma huko Uingereza. Ukilinganisha na mataia kama Nigeria, Uganda, Ethiopia, Rwanda na hata Burundi ambazo zinakuwa na scholarship huko nje kwa wingi.
Hivi balozi zetu wanaanya nini? Wanashindwa kushawishi vyuo vya nje au serikali za huko kuwa na scholarship maalum kwa ajili ya watanzania? Tunahitaji watanzania wengi waende nje wasome na kuwa na teknolojia, warudi kuitumikia nchi. Rwanda wameanya hivyo. Ethiopia, Nigeria na hata Ghana.
Nilikuwa chuo huko nje, viongozi kutoka Ethiopia wamekuwa na ziara kadhaa ktk hicho chuo kujenga mahusiano, na kinapokea waethiopia wengi wakipata scholarship. Niliwahi kuona baadhi ya viongozi wa kitanzania ktk dini wakitembelea lakini sikuwasikia wakiongea chochote kile zaidi ya kuonesha ukubwa wao na kusemana. Kuna kiongozi mmoja ilibidi tuwe na mabishano ya muda kisa anamsema kiongozi mwenzie ili wazungu wamuone mbaya. Na alikuwa wanapanga kumwondoa. Hii ndo akili zetu watanzania hata tunapozuru nje hatuachi asili ya kusemana.
China ni tajiri na wanatechnolojia kubwa lkn bado wanapeleka vijana wao wengi nje kwenda kusoma, Korea kusini, India na nyinginezo. Tanzania tunahitaji mabadiliko. Nakumbuka nilipoingia kuanza kazi za serikali huko nyuma, wapambe walianza kunieleza mabaya ya yule alopita ktk hiyo ngazi niliokuwepo. Nilichoona ni vema iwe msimamo wangu sikunyanyua mdomo kumsema au kuuliza juu ya mtangulizi wangu. Nililenga nini kinatakiwa kutekelezwa katika majukumu yangu na si kumuongelea mtu. Hii iliondoa tabia zao za umbea, na hawakuendelea kumsema huyo mtangulizi. Nilibaki kumheshimu na hata kuna muda tuliongea kwa uzuri tu kwenye simu.
Watanzania tuache majungu tujikite ktk kuleta mabadiliko ya kimaendeleo. tuache kujipendekeza, wakati mwingine tunatumia hela nyingi kusherehesha mambo yasiyo na maana badala ya kujikita kuleta maendeleo kwa wananchi. Serikali ipo kuwatumikia wananchi na si wananchi kuitumikia serikali. Serikali ipo kutatua kero za wananchi na si viongozi kujiona wao ni wamaana sana kuliko wananchi.
Wananchi leo akili zetu zimeishia katika katiba, hivi kuna nchi ngapi duniani zingine hazina katiba lakini wanamaendeleo makubwa. Tazama nchi za Umoja wa nchi za Kiarabu. Uingereza isiyo na katiba ya kuandikwa. unahitaji viongozi wanao iwazia Tanzania mioyoni mwao. Viongozi ambao wapo kuhakikisha Tanzania inapiga hatua ya kimaendeleo kuliko tubaki kama tulivyo kila iitwapo leo.
Kuna research nyingi huko vyuoni, lkn zinaachwa tu kuchakaa na baadae kuchomwa moto huko vyuoni. Wasomi wamegeuka machawa wa wanasiasa.
Kwa nini nchi yetu tusiwe na chombo ambacho kinachunguza hizi research na zile bora wahusika watambulike na research zao zitumike kuleta mabadiliko ktk nyanja mbalimbali. Nchi moja nayoijua huko Ulaya utumia vigezo hivi na wanapopata research muhimu hata sheria ubadilishwa ili kukidhi haja. Hii inatia moyo vijana wetu, na pia kuendesha nchi kisayansi na si kichawa.
Namalizia hata tukimsema JPM mara mia, haitotusaidia kitu. Na tunapoteza muda wetu bure wakati yeye kapumzika, na uenda anatuangalia na kusikitika na hasa kucheka kama alivyozoea. Chuki uwa haina lolote la maana juu ya mwanadamu. Bali upendo hata kwa wale wanaokuchukia. Hii uleta kuishi maisha ya amani zaidi.
USISUMBUKE NA HUYO MHUTU MLEVI WA POMBE NA MVUTA UGOLO,HUYO MZEE ANAHASIRA,ALIWAHI KUPEWA MADARAKA MAKUBWA TU NDANI YA CCM,AKANYANGHANYWA,HANA LOLOTE,Kuhusu COVID bado Magufuli ni shujaa,,
Niambie Leo kuna inchi gani bado wanaweka watu wao lock down?
Au caranteen.
Au bado wanavaa barakoa?
Magufuli alisema huu ugonjwa ni wa kupuuza,
Na sasa dunia imeupuuza ugonjwa wa COVID.
Kuhusu kusemwa vibaya Magufuli,
Hivi Magufuli hakuwa na mazuri?
Sijaona yeyote msafii akamsema vibaya Magufuli.
Wengi wanaomsema vibaya ni wale watu waliopokonywa maslahi yao kwa njia moja au nyingine.
Mfano kigogo,,
mange kimambi ,
vyeti feki,
wezi wa Mali ya umma,
Walevi wa madaraka waliotumbuliwa nk.
Kama kweli ni wazalendo wa kweli waongee mabaya ya waliohai.
Sio kuendelea kupambana na marehemu...
Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Hana balls huyoAliongea jaribu kufuatilia.
Nani kampa mamlaka ya kutusemea?Akitoa mada Kwenye Mkutano wa TCD, Generali Ulimwengu alisema, kuna Mtanzania Mmoja alikufa miaka michache iliyopita alitupulizia uzuzu na wote tukawa mazuzu.
Geberali apewe ulinzi
Tazama Video
View attachment 2182469
Nani kampa mamlaka ya kutusemea?Akitoa mada Kwenye Mkutano wa TCD, Generali Ulimwengu alisema, kuna Mtanzania Mmoja alikufa miaka michache iliyopita alitupulizia uzuzu na wote tukawa mazuzu.
Geberali apewe ulinzi
Tazama Video
View attachment 2182469
Nani kampa mamlaka ya kutusemea?Akitoa mada Kwenye Mkutano wa TCD, Generali Ulimwengu alisema, kuna Mtanzania Mmoja alikufa miaka michache iliyopita alitupulizia uzuzu na wote tukawa mazuzu.
Geberali apewe ulinzi
Tazama Video
View attachment 2182469
Kwahiyo mkimshamsema mwisho wa siku mnapata nini na mtu ameshajifia na hasikii chochote. Hamjioni kwamba nyinyi ndo mazuzu sasa mnapigana na ukuta.Viongozi wote wa dini huko madhabahuni mwao wakipata nafasi humsema shetani, na wafuasi wao huwa hawachoki shetani kusemwa. Generali ashikilie hapohapo kumsema shetani wala sisi wapenda haki hatuchoki.
Amen.Hamsemi magufuli bali anaukemea umagufuli usijirudie tena tz
Alikomaa na uongo juu ya corona akailetea dharau, mwisho ni ika mNkurunzinza...
Kwahiyo mkimshamsema mwisho wa siku mnapata nini na mtu ameshajifia na hasikii chochote. Hamjioni kwamba nyinyi ndo mazuzu sasa mnapigana na ukuta.