Ostrich eggs
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 638
- 453
Pole sana, malaria hasa iliyojichimbia na kuingia kwenye ubongo huhitaji tiba endelevu. Ukiishapona utakuja shukuru.Kwahiyo mkimshamsema mwisho wa siku mnapata nini na mtu ameshajifia na hasikii chochote. Hamjioni kwamba nyinyi ndo mazuzu sasa mnapigana na ukuta.
AMENWengine hamuwezi kuelewa kwa sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na huo uzuzu wa kihalaiki tuliyopuliziwa kwa miaka hiyo sita. Tatizo kubwa lililotupata kama taifa miaka hii ni kusambaratika kwa umoja wa kitaifa na kubomoka kwa utaifa wetu. Ingawa chimbuko la matatizo haya ni siasa mbaya hapana shaka kwamba awamu ya tano imetupeleka mbali zaidi kiasi cha kuhatarisha uhaj wa taifa letu. Jenerali alikuwa mmoja wa vijana wa Nyerere waliomuelewa sana. Kwa umri wake Jenerali, upeo wake kifikra na kwa jinsi anavyoifahamu hii nchi, muasisi wa taifa hili na misingi ya utaifa tuliyorithishwa, haachi kushangaa ajali hii mbaya iliyotupata ya kuwa na uongozi wa aina ile ya awamu ya tano, hususan rais Magufuli. Jambo la kushangaza na kusikitisha zaidi ni jinsi ambavyo aliweza kudumisha uharibifu huo kwa muda wote na hata kujipa muhula wa pili kwa njia haramu kabisa kwa kupitia kile kile chama kinachojipambanua kuwa chama cha siasa bora zaidi katika Afrika!
SAWA kabisaWewe labda umeelewa... kuna wengine inabidi waambiwe. Tuungane na Jenerali kusema ukweli!
Ndio, tutamtanguliza Profesa wa JalalaniHivi siku ya hukumu Mungu anakwambia utoe ushahidi wa hiyo tuhuma kwamba sisi watanzania tulimuabudu Mwendazake je, utaweza kutoa ushahidi mbele za Mungu?
🤣🤣🤣Naweka shilingi!.Samahani sana mkuu miye sikuwahi kumuabudu nitake radhi mkuuWatanzania walimuabudu mwendezake zaidi ya Mungu.
Lini uliwahi kumuona huyo Professa anamuabudu Mwendazake? Au ni vile alivyokosea kutamka?Ndio, tutamtanguliza Profesa wa Jalalani
HaswaLini uliwahi kumuona huyo Professa anamuabudu Mwendazake? Au ni vile alivyokosea kutamka?
Kwahiyo mkimshamsema mwisho wa siku mnapata nini na mtu ameshajifia na hasikii chochote. Hamjioni kwamba nyinyi ndo mazuzu sasa mnapigana na ukuta.
Katiba haiwezi kujitetea yenyewe, mtu akiamua anaivuruga kadri atakavyo ili mradi mazuzu tupo kimyaShida ni watu si katiba. katiba si mwarobaini wa matatizo ya Tanzania na Africa kwa ujumla, watu ndiyo tatizo.
Katiba tuliyonayo inamfanya Rais kuwa Demigod lakini bado Rais anaona haimtoshi na anaamua kufanya yaliyo nje yake na hakuna muhimili wa kumzuia ilhali miimili hiyo imepewa nguvu sawa na serikali.
Hata leo tukichukua Katiba Ya Us yote bado Rais wa Tanzania anaweza fanya anavyotaka na hakuna wa kumfanya Chochote.
Trump alikuwa akienda kinyume Mahakama inamwambia"STOP". Je, Tanzania tuna mahakama ya kumzuia Rais?.
Achana na huyo mjinga atakupotezea muda Hao wanalipwa alafu Hana diniUnaweza ukaenda Ulaya au kusoma Ulaya ukawa huna bado exposure. Kujadili kwako hoja kunaonesha ulivyo. Kuongea kijerumani si hoja hizo lugha tumeziongea tukiwa bado wadogo, hadi Kirusi. Na usiseme kuna kundi dogo Ujerumani. Unasema kwa dhania. Mtu mwenye akili timamu uwezi kuongelea mtu badala ya maendeleo. Kuna watu wanasoma lakini kawajaelimika. So unadhani ukimsema vibaya mtu ndo maendeleo. This is Rubish!
Na nikuonye, hakuna sehemu niliyosema JPM ni Mungu wangu. Narudia, nakuonya.... Nina Mungu mmoja tu ninae mtumikia, nae haringanishwi na kitu chochote. Sasa ukiingia huko kwenye swala la imani, kuwa makini usije kuharibikiwa. Nakuonya!
Mungu ninae mwamini achezewi wala kudhihakiwa. Sasa endelea kama wewe ulijileta hapa duniani na unajiona unauwezo wa kuropoka, na kusema lolote unalodhani utaenjoy moyoni mwako.
Kweli aisee maisha yanazidi kuwa magumu linatokea jitu linaongea upuuzi utazani lenyewe kuna jambo la maana limefanya Tz hakuna mkamlifu isipokuwa Mungu tukwahiyo sasa hivi akili zimefunguka na mambo yanaenda vizuri? hii nchi bila mapinduzi ya kivita hawa wazee watatuchezea mpaka nyeti zetu.
Dawa ni vita tu, maana maisha yenyewe haya mafupi.
je suis, je reste
Hakika mkuuUSISUMBUKE NA HUYO MHUTU MLEVI WA POMBE NA MVUTA UGOLO,HUYO MZEE ANAHASIRA,ALIWAHI KUPEWA MADARAKA MAKUBWA TU NDANI YA CCM,AKANYANGHANYWA,HANA LOLOTE,
Hivi siku ya hukumu Mungu anakwambia utoe ushahidi wa hiyo tuhuma kwamba sisi watanzania tulimuabudu Mwendazake je, utaweza kutoa ushahidi mbele za Mungu?
Kwa hiyo unamaanisha ofisi ya uhamiaji haijui wajibu wake?Huyu muhamaji kutoka somalia anatuvimbia ndani ya nchi yetu