Jenerali Ulimwengu: Kuna Mtanzania alitufanya Mazuzu

Jenerali Ulimwengu: Kuna Mtanzania alitufanya Mazuzu

Wengine hamuwezi kuelewa kwa sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na huo uzuzu wa kihalaiki tuliyopuliziwa kwa miaka hiyo sita. Tatizo kubwa lililotupata kama taifa miaka hii ni kusambaratika kwa umoja wa kitaifa na kubomoka kwa utaifa wetu. Ingawa chimbuko la matatizo haya ni siasa mbaya hapana shaka kwamba awamu ya tano imetupeleka mbali zaidi kiasi cha kuhatarisha uhaj wa taifa letu. Jenerali alikuwa mmoja wa vijana wa Nyerere waliomuelewa sana. Kwa umri wake Jenerali, upeo wake kifikra na kwa jinsi anavyoifahamu hii nchi, muasisi wa taifa hili na misingi ya utaifa tuliyorithishwa, haachi kushangaa ajali hii mbaya iliyotupata ya kuwa na uongozi wa aina ile ya awamu ya tano, hususan rais Magufuli. Jambo la kushangaza na kusikitisha zaidi ni jinsi ambavyo aliweza kudumisha uharibifu huo kwa muda wote na hata kujipa muhula wa pili kwa njia haramu kabisa kwa kupitia kile kile chama kinachojipambanua kuwa chama cha siasa bora zaidi katika Afrika!
AMEN
 
Kweli Tangu Magu aende Paradiso sasa hivi tunalamba asali Miradi kila Kona , vitu vimeshuka bei ,misamaha ya kodi, kushusha kodi ,hakuna kitu amefanya magu ila Ulimwengu amelifanyia hili taifa makubwa mfano alivyohutubia mkutano wa UN wazungu walimshangilia sana,alivyokuwa mkuu wa wilaya na kukosoa wenzake hayo ni mambo makubwa sana aliyofanya ulimwengu Taifa linakukumbuka na tulikuwa mazuzu kweli ila yeye katutoa uzuzu .
 
Kwahiyo mkimshamsema mwisho wa siku mnapata nini na mtu ameshajifia na hasikii chochote. Hamjioni kwamba nyinyi ndo mazuzu sasa mnapigana na ukuta.

Tunaweka rekodi sawa. Hutaki jinyonge. Mnapomsifia inasaidia nini au atafufuka?
 
Shida ni watu si katiba. katiba si mwarobaini wa matatizo ya Tanzania na Africa kwa ujumla, watu ndiyo tatizo.
Katiba tuliyonayo inamfanya Rais kuwa Demigod lakini bado Rais anaona haimtoshi na anaamua kufanya yaliyo nje yake na hakuna muhimili wa kumzuia ilhali miimili hiyo imepewa nguvu sawa na serikali.

Hata leo tukichukua Katiba Ya Us yote bado Rais wa Tanzania anaweza fanya anavyotaka na hakuna wa kumfanya Chochote.
Trump alikuwa akienda kinyume Mahakama inamwambia"STOP". Je, Tanzania tuna mahakama ya kumzuia Rais?.
Katiba haiwezi kujitetea yenyewe, mtu akiamua anaivuruga kadri atakavyo ili mradi mazuzu tupo kimya
 
Unaweza ukaenda Ulaya au kusoma Ulaya ukawa huna bado exposure. Kujadili kwako hoja kunaonesha ulivyo. Kuongea kijerumani si hoja hizo lugha tumeziongea tukiwa bado wadogo, hadi Kirusi. Na usiseme kuna kundi dogo Ujerumani. Unasema kwa dhania. Mtu mwenye akili timamu uwezi kuongelea mtu badala ya maendeleo. Kuna watu wanasoma lakini kawajaelimika. So unadhani ukimsema vibaya mtu ndo maendeleo. This is Rubish!

Na nikuonye, hakuna sehemu niliyosema JPM ni Mungu wangu. Narudia, nakuonya.... Nina Mungu mmoja tu ninae mtumikia, nae haringanishwi na kitu chochote. Sasa ukiingia huko kwenye swala la imani, kuwa makini usije kuharibikiwa. Nakuonya!

Mungu ninae mwamini achezewi wala kudhihakiwa. Sasa endelea kama wewe ulijileta hapa duniani na unajiona unauwezo wa kuropoka, na kusema lolote unalodhani utaenjoy moyoni mwako.
Achana na huyo mjinga atakupotezea muda Hao wanalipwa alafu Hana dini
 
Msikilizeni Jenerali anazungumza mambo kwa uwazi sana,haonei aibu mtu. Anasema jiwe alitupulizia hewa ya uzuzu tukawa mazuzu wote. Ingekuwa awamu ya 5 huyu mngemkuta kwenye kiroba pembeni ya bahari
 
kwahiyo sasa hivi akili zimefunguka na mambo yanaenda vizuri? hii nchi bila mapinduzi ya kivita hawa wazee watatuchezea mpaka nyeti zetu.
Dawa ni vita tu, maana maisha yenyewe haya mafupi.
Kweli aisee maisha yanazidi kuwa magumu linatokea jitu linaongea upuuzi utazani lenyewe kuna jambo la maana limefanya Tz hakuna mkamlifu isipokuwa Mungu tu
 
Hivi siku ya hukumu Mungu anakwambia utoe ushahidi wa hiyo tuhuma kwamba sisi watanzania tulimuabudu Mwendazake je, utaweza kutoa ushahidi mbele za Mungu?

Kufamfananisha mwendazake na yesu ni sawa na kusema magu ni Mungu ukizingatia doctrine of holy trinity- baba ,mwana na roho mtakatifu.
 
Back
Top Bottom