Jenerali Ulimwengu: Kuna Mtanzania alitufanya Mazuzu

Jenerali Ulimwengu: Kuna Mtanzania alitufanya Mazuzu

Generali ulimwengu ni mtu hatari aliejawa na roho mbaya kupindukia. Aende kwao Rwanda akajaribu kufanya haya anayoyafanya hapa asikilizie muziki wake. Anadhani yeye anafahamu kila kitu na chochote anachotaka yeye kifuatwe. Hiyo ndiyo demokrasia?

Sasa Rwanda na Burundi nazo ni nchi ya kuiongelea au shitholes zinazoongozwa na thugs
 
Mnatumia nguvu kubwa kumchafua Hayati Rais Magufuli. Wengine tunajua mnalipwa kwa kazi hiyo, lakini jina lake litaendelea kusimama jana, leo na kesho. Hao mnaowatetea leo baada ya kupewa Dinari (Wengine tuligoma licha ya kubembelezwa sana) hakika nakwambia "wakiishaondoka" itakuwa kazi kubwa sana hata kuwajua kama waliwahi kuishi Tanzania kwasababu HAWANA LEGACY!
 
Mtazamo wangu:
Shida ipo kwenye katiba na sio mtu. Pale Ikulu hata aende malaika kwa katiba tuliyo nayo, bado atatoka na pembe kama zote.
Na wenye nchi washaliona hilo, wakikubali kubadilisha katiba, ndipo tutakapo toboa.
Hapana Marais wote kasoro Mwendazake walitawala vizuri sana, kosa kuwauwa wanaompinga, wapinzani na upinzani wenyewe.
Haya mambo ya Katiba tuje nayo 2025, kuyaleta sasa hatutayaweza Kenya wameshupaa nayo ndio yamewavuruga na juzi tu Kenyatta alitaka abadili tena
Ulimwengu kasema kweli ingawa NI kabila moja na Mwendazake NI kweli alitufanya mazuzu
 
Hiyo haitakuwa katiba bali kitabu cha rejea!
Ni hivi, katiba ya Tanzania inataka pesa zote za miradi zipite Bungeni ila kuna mtu(sijui kwasasa kwasababu sifuatilii habari nyingi kuhusu Mama Tanzania) uko nyuma alikuwa akifanya miradi mikubwa na pesa za hizo miradi hazijadiliwi Bungeni na Bunge kama muhimili huru halijawai kuhoji.. Hali hiyo bado unalaumu katiba na si watu?.
POLE
 
Ni hivi, katiba ya Tanzania inataka pesa zote za miradi zipite Bungeni ila kuna mtu(sijui kwasasa kwasababu sifuatilii habari nyingi kuhusu Mama Tanzania) uko nyuma alikuwa akifanya miradi mikubwa na pesa za hizo miradi hazijadiliwi Bungeni na Bunge kama muhimili huru halijawai kuhoji.. Hali hiyo bado unalaumu katiba na si watu?.
POLE
Ndiyo! Kwa sababu Mbunge wa CCM akikosoa chama chake au akipiga kura kupiga maamuzi ya serikali anaweza kuvuliwa uanachama na hivyo kupoteza ubunge. Sasa hakuna mtu wa ku-risk nafasi yake ya ubunge kwa hilo na hasa ukizingatia wabunge wengi ni wachumia tumbo!

Hivyo katiba mpya inaweza kurekebisha hilo na kuondoa uoga wa kufukuzwa ubunge.
 
Akitoa mada Kwenye Mkutano wa TCD, Generali Ulimwengu alisema, kuna Mtanzania Mmoja alikufa miaka michache iliyopita alitupulizia uzuzu na wote tukawa mazuzu.

Geberali apewe ulinzi

Tazama Video
Huyu naye kwakupenda "kiki" ni Mako's voice...Mtu kafa bado mnamsimanga...Huyu kweli anaweza asiwe raia wa Tanzania maana hajawahi kuisemea mema taifa hili...Kila leo ni negative tu...Ina maana dhambi zote za taifa hili kabeba JPM? Kwanza laana itawakumba watanzania wasipokuwa makini, mtu kafia kwenye ofisi akilitumikia taifa lake, badala ya kumuenzi ndiyo kwanza kila leo mnamsimanga...Na ninyi mtakufa na makaburi yenu yatapigwa viboko na wajukuu zangu...Mmekaa kweny hili taifa tangu uhuru zaidi ya kutuletea hizi confusion za kugombania madaraka what else have you done?
 
Akitoa mada Kwenye Mkutano wa TCD, Generali Ulimwengu alisema, kuna Mtanzania Mmoja alikufa miaka michache iliyopita alitupulizia uzuzu na wote tukawa mazuzu.

Geberali apewe ulinzi

Tazama Video

Huyu mzee sasa tumemchoka. Yaani yeye ni story zile zile kila siku. Yaliyopita si ndwele, tunataka kusikia mambo mapya. Na kama huna jipya mzee wetu, bora ukae kimya. Maana tunategemea wewe ukae kimya bin tuli, halafu vijana tunakuja kupata ushauri. Muda wa kupata air time kwako umepita. Tulia ulee wajukuu mzee.
 
Huyu mzee sasa tumemchoka. Yaani yeye ni story zile zile kila siku. Yaliyopita si ndwele, tunataka kusikia mambo mapya. Na kama huna jipya mzee wetu, bora ukae kimya. Maana tunategemea wewe ukae kimya bin tuli, halafu vijana tunakuja kupata ushauri. Muda wa kupata air time kwako umepita. Tulia ulee wajukuu mzee.
Wewe labda umeelewa... kuna wengine inabidi waambiwe. Tuungane na Jenerali kusema ukweli!
 
Back
Top Bottom