Gabeji
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 1,530
- 1,903
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema kabisa! Namuulizia jenersli ulimwengu yuko wapi sasa , ni mda mrefu Sijamsikia katika kupaza sauti juu ya uvunjifu wa haki za binadamu pamoja na uchaguzi wa serikali za mitaa.
Awamu hii ya sita upo kimya sana ndugu yangu ni nini kimekupata? Njoo ungana na wakina warioba, butiku, msekwa, Mwabukusi,
Awamu hii ya sita upo kimya sana ndugu yangu ni nini kimekupata? Njoo ungana na wakina warioba, butiku, msekwa, Mwabukusi,