Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni rahisi kujengea kila fundi anayeweza kujengea tofali za kawaida hizi anapigia fresh tu
Hii ndo namba yako ya whasap...???Habari za leo ndugu zangu?
Nauza tofali za Mwamba tofali ngumu mra 5 ya tofali za block!
ukijenga nazo usitegemee nyumba itapata crack au msuko suko wowote!
Tofali hizi ni ngumu kiasi ambacho wakati wa kupakiwa zinarushwa tu kwenye gari na wakati wa kushusha unabinua tu tipa. Uwezekano wa kukufikia popote ulipo upo, kwa mikoani tunatumia semi trela zinazoleta mahindi mpaka wa Kenya Holili.
Semi inaweza kubeba tofali 1200 kwa tofali hizi ndefu na 1360 kwa tofali fupi, ambazo idadi hiyo ya tofali inaweza kujenga vyumba hadi vitano kulingana n ramani ya nyumba yako.
Tofali hizi zimechongwa vizuri zina mwonekano mzuri hazina mashimo mashimo zimechongwa kwa mashine hivyo kama utapenda kwa nje ya nyumba unaweza usipige plasta na ukaishi vizuri tu ukaenda na fashion!
Bei yake sasa,
Tofali zote inch 5&6 ni 1050 zenye urefu wa inch 18 na 1000 zenye urefu wa inch 16.
Kwa wanaojenga Moshi hadi zifike site ni 1300, kwa wilaya za Same, Korogwe, Tanga Mjini, na Dar tofali zinakuja kwa bei rafiki kwakuwa kuna masemi mengi yanayokuja kupakia simenti maeneo ya Tanga.
Faida za iazda
- No crack.
- Tofali zetu ni imara sana.
- Haziliwi na magadi.
- Unaweza usipige plasta na ukaenjoy kuishi hapo.
- Ukizijenga hazitumii sementi nyingi.
- Unanzia msingi hadi kwenye lenta hakuna gharama za mawe ya msingi.
0682770944
Mkuu hiyo machine mbona hatari ikoje kwanza maana hizo tofali inazotengeneza kwa idadi ni nyingi Sana tofauti na hizi zinazotumia umeme.
ndio boss tupigie 0682770944Dar mnatuma mkuu
0620899604 whatsapp
nitafute whatsapp nkuonyeshe mashine invyofanya kaziMkuu hiyo machine mbona hatari ikoje kwanza maana hizo tofali inazotengeneza kwa idadi ni nyingi Sana tofauti na hizi zinazotumia umeme.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
hii hapa huo msumeno ndo unakata tofalinitafute whatsapp nkuonyeshe mashine invyofanya kazi
Kama Moshi wameambiwa 1,300 mpaka saiti basi tegemea Dar kufikia labda 2,000.Tofali nch 5 bei gani?
Tofali nch 6 bei gani?
Mpk DAR
inch 5 na sita bei ni mojaTofali nch 5 bei gani?
Tofali nch 6 bei gani?
Mpk DAR
usafiri wa semi trela inayobeba tofali elf moja mia mbili ni milioni moja na laki moja boss gharama ambayo unaipigia hesabu kwa tofali zetu uangalie na uimara wake pamoja na gharama ambazo utaepuka kwakuwa hutapiga plastaKama Moshi wameambiwa 1,300 mpaka saiti basi tegemea Dar kufikia labda 2,000.
Ungetafuta namna uwe na wakala Mwanza kiongoziusafiri wa semi trela inayobeba tofali elf moja mia mbili ni milioni moja na laki moja boss gharama ambayo unaipigia hesabu kwa tofali zetu uangalie na uimara wake pamoja na gharama ambazo utaepuka kwakuwa hutapiga plasta