Jenga na tofali za kisasa za mwamba! Zisizo na gharama ya plasta kwa nje

Jenga na tofali za kisasa za mwamba! Zisizo na gharama ya plasta kwa nje

ni rahisi kujengea kila fundi anayeweza kujengea tofali za kawaida hizi anapigia fresh tu
IMG-20220831-WA0018.jpg
 
Habari za leo ndugu zangu?

Nauza tofali za Mwamba tofali ngumu mra 5 ya tofali za block!

ukijenga nazo usitegemee nyumba itapata crack au msuko suko wowote!

Tofali hizi ni ngumu kiasi ambacho wakati wa kupakiwa zinarushwa tu kwenye gari na wakati wa kushusha unabinua tu tipa. Uwezekano wa kukufikia popote ulipo upo, kwa mikoani tunatumia semi trela zinazoleta mahindi mpaka wa Kenya Holili.

Semi inaweza kubeba tofali 1200 kwa tofali hizi ndefu na 1360 kwa tofali fupi, ambazo idadi hiyo ya tofali inaweza kujenga vyumba hadi vitano kulingana n ramani ya nyumba yako.

Tofali hizi zimechongwa vizuri zina mwonekano mzuri hazina mashimo mashimo zimechongwa kwa mashine hivyo kama utapenda kwa nje ya nyumba unaweza usipige plasta na ukaishi vizuri tu ukaenda na fashion!

Bei yake sasa,
Tofali zote inch 5&6 ni 1050 zenye urefu wa inch 18 na 1000 zenye urefu wa inch 16.

Kwa wanaojenga Moshi hadi zifike site ni 1300, kwa wilaya za Same, Korogwe, Tanga Mjini, na Dar tofali zinakuja kwa bei rafiki kwakuwa kuna masemi mengi yanayokuja kupakia simenti maeneo ya Tanga.

Faida za iazda
  • No crack.
  • Tofali zetu ni imara sana.
  • Haziliwi na magadi.
  • Unaweza usipige plasta na ukaenjoy kuishi hapo.
  • Ukizijenga hazitumii sementi nyingi.
  • Unanzia msingi hadi kwenye lenta hakuna gharama za mawe ya msingi.

0682770944
Hii ndo namba yako ya whasap...???

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hongera kwa ubunifu fanya kuweka wakala huku dar .
 
poleni na majukumu naomba oda matajiri zangu alaf pigeni simu masaa 24 tukupe maelekezo vizuri namba ya simu 0682770944 au wasap 0620899604
 
nadhani hizi wanatumia sana kenya. nlkw najiuliza kwanini nyumba za kenya almost zote zina aina fulani ya kufanana sasa nmepata jawabu.
 
Tofali nch 5 bei gani?
Tofali nch 6 bei gani?
Mpk DAR
 
Kama Moshi wameambiwa 1,300 mpaka saiti basi tegemea Dar kufikia labda 2,000.
usafiri wa semi trela inayobeba tofali elf moja mia mbili ni milioni moja na laki moja boss gharama ambayo unaipigia hesabu kwa tofali zetu uangalie na uimara wake pamoja na gharama ambazo utaepuka kwakuwa hutapiga plasta
 
usafiri wa semi trela inayobeba tofali elf moja mia mbili ni milioni moja na laki moja boss gharama ambayo unaipigia hesabu kwa tofali zetu uangalie na uimara wake pamoja na gharama ambazo utaepuka kwakuwa hutapiga plasta
Ungetafuta namna uwe na wakala Mwanza kiongozi
 
Back
Top Bottom