Jenga na tofali za kisasa za mwamba! Zisizo na gharama ya plasta kwa nje

Jenga na tofali za kisasa za mwamba! Zisizo na gharama ya plasta kwa nje

ndio lakini ni kampuni tanzu hiyo tofali zake ni fupi kidogo zina cm 16 urefu sisi 18
Ni urefu ni cm 16 au ni Inchi 16?
Je Vipi usafiri mpaka Pale Usa river Arusha, bei gani, na minimum mnasafirisha tofali ngapi?
 
Habari za leo ndugu zangu?

Nauza tofali za Mwamba tofali ngumu mara 5 ya tofali za block!
ukijenga nazo usitegemee nyumba itapata crack au msuko suko wowote!

Tofali hizi ni ngumu kiasi ambacho wakati wa kupakiwa zinarushwa tu kwenye gari na wakati wa kushusha unabinua tu tipa. Uwezekano wa kukufikia popote ulipo upo, kwa mikoani tunatumia semi trela zinazoleta mahindi mpaka wa Kenya Holili.

Semi inaweza kubeba tofali 1200 kwa tofali hizi ndefu na 1360 kwa tofali fupi, ambazo idadi hiyo ya tofali inaweza kujenga vyumba hadi vitano kulingana n ramani ya nyumba yako.

Tofali hizi zimechongwa vizuri zina mwonekano mzuri hazina mashimo mashimo zimechongwa kwa mashine hivyo kama utapenda kwa nje ya nyumba unaweza usipige plasta na ukaishi vizuri tu ukaenda na fashion!

Bei yake sasa,
Tofali zote inch 5&6 ni 1050 zenye urefu wa inch 18 na 1000 zenye urefu wa inch 16.

Kwa wanaojenga Moshi hadi zifike site ni 1300, kwa wilaya za Same, Korogwe, Tanga Mjini, na Dar tofali zinakuja kwa bei rafiki kwakuwa kuna masemi mengi yanayokuja kupakia simenti maeneo ya Tanga.

Faida za ziada
  • No crack.
  • Tofali zetu ni imara sana.
  • Haziliwi na magadi.
  • Unaweza usipige plasta na ukaenjoy kuishi hapo.
  • Ukizijenga hazitumii sementi nyingi.
  • Unanzia msingi hadi kwenye lenta hakuna gharama za mawe ya msingi.
View attachment 2358816View attachment 2358817View attachment 2358818View attachment 2358820View attachment 2358821View attachment 2358823
Nipe Bei ya kibaha kwa tofali moja mkuu
 
ndio zina richerscale ya 12 yaaani mgandamizo wa 12 na ukitaka ujue hizi tofali ni imara zikija tipa linabinua kama unavyobinua mawe na hazikatik wala kuvunjika
Hakuna ritcher scale ya 12 mwisho 9.

Pili ritcher scale inatumika kupima nguvu ya matetemeko.

Hardness ya jiwe etc hupimwa kwa kipimo kiitwacho Mohs scale na huanzia 1-10.

Diamond ambayo ndiyo jiwe gumu zaidi ina mohs scale ya 10

je, hayo mawe ya holili ni magumu kuliko diamond?

Au maelezo yako ni chai?
 
Ni urefu ni cm 16 au ni Inchi 16?
Je Vipi usafiri mpaka Pale Usa river Arusha, bei gani, na minimum mnasafirisha tofali ngapi?
inch boss ulihitaji tofali ngap? na je semitrela inafika hapo site kwako kwa urahisi
 
Habari za leo ndugu zangu?

Nauza tofali za Mwamba tofali ngumu mra 5 ya tofali za block!

ukijenga nazo usitegemee nyumba itapata crack au msuko suko wowote!

Tofali hizi ni ngumu kiasi ambacho wakati wa kupakiwa zinarushwa tu kwenye gari na wakati wa kushusha unabinua tu tipa. Uwezekano wa kukufikia popote ulipo upo, kwa mikoani tunatumia semi trela zinazoleta mahindi mpaka wa Kenya Holili.

Semi inaweza kubeba tofali 1200 kwa tofali hizi ndefu na 1360 kwa tofali fupi, ambazo idadi hiyo ya tofali inaweza kujenga vyumba hadi vitano kulingana n ramani ya nyumba yako.

Tofali hizi zimechongwa vizuri zina mwonekano mzuri hazina mashimo mashimo zimechongwa kwa mashine hivyo kama utapenda kwa nje ya nyumba unaweza usipige plasta na ukaishi vizuri tu ukaenda na fashion!

Bei yake sasa,
Tofali zote inch 5&6 ni 1050 zenye urefu wa inch 18 na 1000 zenye urefu wa inch 16.

Kwa wanaojenga Moshi hadi zifike site ni 1300, kwa wilaya za Same, Korogwe, Tanga Mjini, na Dar tofali zinakuja kwa bei rafiki kwakuwa kuna masemi mengi yanayokuja kupakia simenti maeneo ya Tanga.

Faida za iazda

  • No crack.
  • Tofali zetu ni imara sana.
  • Haziliwi na magadi.
  • Unaweza usipige plasta na ukaenjoy kuishi hapo.
  • Ukizijenga hazitumii sementi nyingi.
  • Unanzia msingi hadi kwenye lenta hakuna gharama za mawe ya msingi.

0682770944
IMG_20220927_121047_8.jpg
IMG_20220927_121045_2.jpg
IMG_20220927_155842_8.jpg
IMG_20220924_082924_2.jpg
IMG_20220925_105643_5.jpg
IMG-20220831-WA0019(1).jpg
IMG_20220927_121045_2.jpg
 

Attachments

  • IMG_20220924_082924_2.jpg
    IMG_20220924_082924_2.jpg
    47.7 KB · Views: 32
Mbona ndiyo wanazozitumiaga miaka yote huko kujengea

Ova
 
Hizi tofali ni kwamba mmekata mwamba kutengeneza tofali au mnatumia vumbi la kokoto/mawe na cement kufyatulia tofali!?
 
Tofali hizi ni mwamba tupu!?
Au mnatumia vumbi la mawe/kokoto na cement kutengeneza!?
Hiyo ni miamba mkuu,naona hata hapo Kenya zinatumika sana katika ujenzi na zinapendezesha nyumba sana,unaepuka gharama za plasta
 
Rockblocks imekuja kuliteka soko la tolafi huku kaskazini wenye mfuko mrefu wanazitumia sana
 
Hiyo ni miamba mkuu,naona hata hapo Kenya zinatumika sana katika ujenzi na zinapendezesha nyumba sana,unaepuka gharama za plasta
Mtoa mada naona yupo kimya, nimemuuliza swali moja kwenye threads mbili tofauti, ila bado kimya.
Swali hilo bado anapaswa kujibu yeye mwenyewe.
 
Back
Top Bottom