Jenga na tofali za kisasa za mwamba! Zisizo na gharama ya plasta kwa nje

Jenga na tofali za kisasa za mwamba! Zisizo na gharama ya plasta kwa nje

Habari za leo ndugu zangu?

Nauza tofali za Mwamba tofali ngumu mara 5 ya tofali za block!
ukijenga nazo usitegemee nyumba itapata crack au msuko suko wowote!

Tofali hizi ni ngumu kiasi ambacho wakati wa kupakiwa zinarushwa tu kwenye gari na wakati wa kushusha unabinua tu tipa. Uwezekano wa kukufikia popote ulipo upo, kwa mikoani tunatumia semi trela zinazoleta mahindi mpaka wa Kenya Holili.

Semi inaweza kubeba tofali 1200 kwa tofali hizi ndefu na 1360 kwa tofali fupi, ambazo idadi hiyo ya tofali inaweza kujenga vyumba hadi vitano kulingana n ramani ya nyumba yako.

Tofali hizi zimechongwa vizuri zina mwonekano mzuri hazina mashimo mashimo zimechongwa kwa mashine hivyo kama utapenda kwa nje ya nyumba unaweza usipige plasta na ukaishi vizuri tu ukaenda na fashion!

Bei yake sasa,
Tofali zote inch 5&6 ni 1050 zenye urefu wa inch 18 na 1000 zenye urefu wa inch 16.

Kwa wanaojenga Moshi hadi zifike site ni 1300, kwa wilaya za Same, Korogwe, Tanga Mjini, na Dar tofali zinakuja kwa bei rafiki kwakuwa kuna masemi mengi yanayokuja kupakia simenti maeneo ya Tanga.

Faida za ziada
  • No crack.
  • Tofali zetu ni imara sana.
  • Haziliwi na magadi.
  • Unaweza usipige plasta na ukaenjoy kuishi hapo.
  • Ukizijenga hazitumii sementi nyingi.
  • Unanzia msingi hadi kwenye lenta hakuna gharama za mawe ya msingi.
IMG_20220914_141844_6.jpg
IMG_20220910_114750_9.jpg
IMG_20220908_122116_6.jpg
IMG_20220908_122107_9.jpg
IMG_20220902_144729_8.jpg
IMG_20220908_122032_7.jpg
 
Habari za leo ndugu zangu?

Nauza tofali za Mwamba tofali ngumu mara 5 ya tofali za block!
ukijenga nazo usitegemee nyumba itapata crack au msuko suko wowote!

Tofali hizi ni ngumu kiasi ambacho wakati wa kupakiwa zinarushwa tu kwenye gari na wakati wa kushusha unabinua tu tipa. Uwezekano wa kukufikia popote ulipo upo, kwa mikoani tunatumia semi trela zinazoleta mahindi mpaka wa Kenya Holili.

Semi inaweza kubeba tofali 1200 kwa tofali hizi ndefu na 1360 kwa tofali fupi, ambazo idadi hiyo ya tofali inaweza kujenga vyumba hadi vitano kulingana n ramani ya nyumba yako.

Tofali hizi zimechongwa vizuri zina mwonekano mzuri hazina mashimo mashimo zimechongwa kwa mashine hivyo kama utapenda kwa nje ya nyumba unaweza usipige plasta na ukaishi vizuri tu ukaenda na fashion!

Bei yake sasa,
Tofali zote inch 5&6 ni 1050 zenye urefu wa inch 18 na 1000 zenye urefu wa inch 16.

Kwa wanaojenga Moshi hadi zifike site ni 1300, kwa wilaya za Same, Korogwe, Tanga Mjini, na Dar tofali zinakuja kwa bei rafiki kwakuwa kuna masemi mengi yanayokuja kupakia simenti maeneo ya Tanga.

Faida za iazda
  • No crack.
  • Tofali zetu ni imara sana.
  • Haziliwi na magadi.
  • Unaweza usipige plasta na ukaenjoy kuishi hapo.
  • Ukizijenga hazitumii sementi nyingi.
  • Unanzia msingi hadi kwenye lenta hakuna gharama za mawe ya msin
kwa Arusha ni bei ngapi
 
kuna Jamaa aliuziwa Miti ya Mpingo akaambiwa ni Imara sana sana hasa kadri inavyokauka ndo inazidi kuwa Imara

alisahau kuwa Mlango utahitaji upigwe Msumali, uchongwe urekebishwe n.k ili iweze kufit …

ubora wa mbao upo pia kwny udhaifu wake kwa kuwa kuna siku utahitaji kuuvunja, kuutoboa n.k
 
kuna Jamaa aliuziwa Miti ya Mpingo akaambiwa ni Imara sana sana hasa kadri inavyokauka ndo inazidi kuwa Imara

alisahau kuwa Mlango utahitaji upigwe Msumali, uchongwe urekebishwe n.k ili iweze kufit …

ubora wa mbao upo pia kwny udhaifu wake kwa kuwa kuna siku utahitaji kuuvunja, kuutoboa n.k
untoboa tu bila shida.
 
Habari za leo ndugu zangu?

Nauza tofali za Mwamba tofali ngumu mara 5 ya tofali za block!
ukijenga nazo usitegemee nyumba itapata crack au msuko suko wowote!

Tofali hizi ni ngumu kiasi ambacho wakati wa kupakiwa zinarushwa tu kwenye gari na wakati wa kushusha unabinua tu tipa. Uwezekano wa kukufikia popote ulipo upo, kwa mikoani tunatumia semi trela zinazoleta mahindi mpaka wa Kenya Holili.

Semi inaweza kubeba tofali 1200 kwa tofali hizi ndefu na 1360 kwa tofali fupi, ambazo idadi hiyo ya tofali inaweza kujenga vyumba hadi vitano kulingana n ramani ya nyumba yako.

Tofali hizi zimechongwa vizuri zina mwonekano mzuri hazina mashimo mashimo zimechongwa kwa mashine hivyo kama utapenda kwa nje ya nyumba unaweza usipige plasta na ukaishi vizuri tu ukaenda na fashion!

Bei yake sasa,
Tofali zote inch 5&6 ni 1050 zenye urefu wa inch 18 na 1000 zenye urefu wa inch 16.

Kwa wanaojenga Moshi hadi zifike site ni 1300, kwa wilaya za Same, Korogwe, Tanga Mjini, na Dar tofali zinakuja kwa bei rafiki kwakuwa kuna masemi mengi yanayokuja kupakia simenti maeneo ya Tanga.

Faida za ziada
  • No crack.
  • Tofali zetu ni imara sana.
  • Haziliwi na magadi.
  • Unaweza usipige plasta na ukaenjoy kuishi hapo.
  • Ukizijenga hazitumii sementi nyingi.
  • Unanzia msingi hadi kwenye lenta hakuna gharama za mawe ya msingi.
View attachment 2358816View attachment 2358817View attachment 2358818View attachment 2358820View attachment 2358821View attachment 2358823
Tabora zinafika kwa bei gani?
 
Habari za leo ndugu zangu?

Nauza tofali za Mwamba tofali ngumu mara 5 ya tofali za block!
ukijenga nazo usitegemee nyumba itapata crack au msuko suko wowote!

Tofali hizi ni ngumu kiasi ambacho wakati wa kupakiwa zinarushwa tu kwenye gari na wakati wa kushusha unabinua tu tipa. Uwezekano wa kukufikia popote ulipo upo, kwa mikoani tunatumia semi trela zinazoleta mahindi mpaka wa Kenya Holili.

Semi inaweza kubeba tofali 1200 kwa tofali hizi ndefu na 1360 kwa tofali fupi, ambazo idadi hiyo ya tofali inaweza kujenga vyumba hadi vitano kulingana n ramani ya nyumba yako.

Tofali hizi zimechongwa vizuri zina mwonekano mzuri hazina mashimo mashimo zimechongwa kwa mashine hivyo kama utapenda kwa nje ya nyumba unaweza usipige plasta na ukaishi vizuri tu ukaenda na fashion!

Bei yake sasa,
Tofali zote inch 5&6 ni 1050 zenye urefu wa inch 18 na 1000 zenye urefu wa inch 16.

Kwa wanaojenga Moshi hadi zifike site ni 1300, kwa wilaya za Same, Korogwe, Tanga Mjini, na Dar tofali zinakuja kwa bei rafiki kwakuwa kuna masemi mengi yanayokuja kupakia simenti maeneo ya Tanga.

Faida za ziada
  • No crack.
  • Tofali zetu ni imara sana.
  • Haziliwi na magadi.
  • Unaweza usipige plasta na ukaenjoy kuishi hapo.
  • Ukizijenga hazitumii sementi nyingi.
  • Unanzia msingi hadi kwenye lenta hakuna gharama za mawe ya msingi.
View attachment 2358816View attachment 2358817View attachment 2358818View attachment 2358820View attachment 2358821View attachment 2358823
Unaposema ni imara sana una maanishA nini? Ulishawahi kuzipima kwenye maabara yeyote ya ujenzi ukajua uimara wake? Kama ushawahi pima unaweza weka ripoti ya maabara ili tuuone huo "uimara sana"?
 
Unaposema ni imara sana una maanishA nini? Ulishawahi kuzipima kwenye maabara yeyote ya ujenzi ukajua uimara wake? Kama ushawahi pima unaweza weka ripoti ya maabara ili tuuone huo "uimara sana"?
ndio zina richerscale ya 12 yaaani mgandamizo wa 12 na ukitaka ujue hizi tofali ni imara zikija tipa linabinua kama unavyobinua mawe na hazikatik wala kuvunjika
 
Back
Top Bottom