Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #201
mshamba_hachekwi nadhani swali la kwanza Lina tuhusu wote🙏.Onyesha graduate aliyeko mtaani Hana hata Mia mfukoni Ila kichwani anayo maarifa anavyoweza kubadilisha to cash.
Pia mwajiriwa afanyeje biashara gani za uhakika ambazo hatokuwa anapigwa,Mana siku hizi Kuna watu wanafanya kazi ,anasevu hela later anafungua biashara anampa ndugu,rafiki,anaajiri mtu Bali Ila wote hao wanampiga ,kiasilia watu Ni wavivu ndio Mana wizi hautoisha milele na hakuna dini itakayokomesha wizi.
Unampa boda,hiace Kijana wiki ya kwanza anakuwa very active later unaletewa maneno,ama dukani bidhaa zinaisha na Hakuna hela unaambiwa akakopesha
hilo la biashara gani??mshamba_hachekwi nadhani swali la kwanza Lina tuhusu wote🙏.
👉Tia neno mkuu
La kijana aliye graduate, jinsi anavyo weza kutumiana maarifa kuwa pesa🤔hilo la biashara gani??
awe na ujuzi ambao anaweza kuutumia kutatua tatizo fulani, yaani ahakikishe kwenye yale aliyosomea aweze kuyatumia kutengeneza vitu mfano kama ni mhandisi wa umeme labda awe anajua kufunga system za umeme, kurekebisha n.k, lazima atapata mishe.....La kijana aliye graduate, jinsi anavyo weza kutumiana maarifa kuwa pesa🤔
Sawa kaka., Ila Kuna swali je kijana aliye graduate ana weza Vipi kutumia maarifa yake kuwa pesa🤔Sijasoma mada yote kwakuwa tumekuwa wavivu kwenye swala la kupambania ujumbe wa sauti ya maandishi! Awali ya yote umeeleweka vizuri na nimegonga likes kubwa!
keisangora nadhani Kuna jibu hapa, though like base upande mmoja.awe na ujuzi ambao anaweza kuutumia kutatua tatizo fulani, yaani ahakikishe kwenye yale aliyosomea aweze kuyatumia kutengeneza vitu mfano kama ni mhandisi wa umeme labda awe anajua kufunga system za umeme, kurekebisha n.k, lazima atapata mishe.....
Soma Kisha utu ambie ume jifunza kipi🤔Asante mkuu nimekuja,,, ngoja nisome sasa😊🤗
Aisee kweli hela zinamfata mwenye hela naamini,,, zamani nilikuaga na baadhi ya marafiki wajinga na niliona nilivyokua nashuka kila siku. ndomana sikuizi marafiki wa kipuuzipuuzi siwataki kabisa bora waniambie tu naringa maana mda ule wa kukaa kupiga story na vitu kama hivyo sina...Soma Kisha utu ambie ume jifunza kipi🤔
Kuna kauli Ina sema "you are the product of your own environment"Aisee kweli hela zinamfata mwenye hela naamini,,, zamani nilikuaga na baadhi ya marafiki wajinga na niliona nilivyokua nashuka kila siku. ndomana sikuizi marafiki wa kipuuzipuuzi siwataki kabisa bora waniambie tu naringa maana mda ule wa kukaa kupiga story na vitu kama hivyo sina...
Hapo nakubaliana na wewe,,, ilishawahi kunitokeaKuna kauli Ina sema "you are the product of your own environment"
The best way is not to be hunted by your past, but to learn and move on super fast💪Hapo nakubaliana na wewe,,, ilishawahi kunitokea
Aisee wewe jamaa una madini sana...nina vingi vya kujifunza kwako😊😊The best way is not to be hunted by your past, but to learn and move on super fast💪
Mi ni tapeli tu😁😁, huja nikuta nikiwa Nike vurugwa😁😁Aisee wewe jamaa una madini sana...nina vingi vya kujifunza kwako😊😊