Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmekumbuka mbali........ Walisema huko mbali kuwa kila mtu anazaliwa akiwa Genious....Ndio mkuu, you are the product of your environment.
Njia sahihi ni imani, tangu nasoma nilikuwa naamini Mimi ni mtu Bora na nitakuwa mtu mkubwa.Nmekumbuka mbali........ Walisema huko mbali kuwa kila mtu anazaliwa akiwa Genious....
Wakaendelea kusema huko mbali kwamba hakuna mtu mjinga tatizo ni mazingira ndo yanaathiri mpka uelewa wa mtu
Hakikaa hii ni nzuri. Uwezo wa kutumia negative kama positive ni wa muhim sanaKila mtu ana wivu, ila tafuta njia Bora ya kutumia wivu wako ukusaidie🙏
Yeah na jifunze kuto kubali kutolewa mchezoni, katika maisha yako.Hakikaa hii ni nzuri. Uwezo wa kutumia negative kama positive ni wa muhim sana
Chakula kimeshiba Mkuu, hapa Wajukuu zangu wakirudi Likizo kunisalimia lazima niwape hili darasa.Babu Grahams kula chakula Cha ubongo, Ili uwanoe wajukuu zako.
La muhimu mno💪, ndo Mana huwa mnaona mtoto ana ambiwa usicheze na fulani🤔.Chakula kimeshiba Mkuu, hapa Wajukuu zangu wakirudi Likizo kunisalimia lazima niwape hili darasa.
Muhimu sana Kujenga Ngome hasa Watoto wa Kiume. Sisi kwenye kabila letu tulianza kupewa haya maarifa wakati tuko Jandoni
Sahihi kabisa MkuuLa muhimu mno💪, ndo Mana huwa mnaona mtoto ana ambiwa usicheze na fulani🤔.
Halafu acha kujiita mzee, wakati wazee tupo🤒😂Sahihi kabisa Mkuu
nimefurahi😂mshamba_hachekwi mbona una cheka hovyo🤒
Siku nitakutolea kitambulisho changu ubaki na mshangao.Halafu acha kujiita mzee, wakati wazee tupo🤒😂
Usicheke cheke Sana, wata sema hatuko serious 😂🤣🤣🤣nimefurahi😂
I challenge you to do so😂🤣🤣, Kuna 50kSiku nitakutolea kitambulisho changu ubaki na mshangao.
Unadhani miaka 78 niliyonayo mchezo 🤪
Kama una dhamana tuweke 1000k, ili najua baada ya kuichukua hiyo hela nikanunue shamba lingine kabisa 🤪I challenge you to do so😂🤣🤣, Kuna 50k
Una tafuta sababu ya kukimbia🤣😂🤒Kama una dhamana tuweke 1000k, ili najua baada ya kuichukua hiyo hela nikanunue shamba lingine kabisa 🤪
Tuweke hela nyingi ili ukipiga unachukua Flight faster unaenda kulala Hotel Verde pale ZanzibarUna tafuta sababu ya kukimbia🤣😂🤒
Jina la hotel Kama mzizi was bange😂🤣🤣Tuweke hela nyingi ili ukipiga unachukua Flight faster unaenda kulala Hotel Verde pale Zanzibar