Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,139
- 2,488
Anasumbuliwa wq wivu na chuki za kimaskini huyu achana nae!Rostam ni mtz kazaliwa tz
Tanzania hakuna wapinzani kuna waganga Njaa...😄Kimsingi hapa Tanzania huduma za kijamii ziko vzuri kwa kiasi kikubwa kuliko Nigeria.
Sema wapinzani wa Tanzania huwa hawayaoni mazuri😄
Ninazo za kutosha.Amefisadi nini? Acha wivu tafuta pesa
Hatari sana🤣🤣🤣Ila English ya hawa jamaa
Achana nae huyo anasumbuliwa na wivu na chuki za kimaskiniRais wa kwanza wa Botswana alikuwa rangi gani? Soma Geografia na historia yako ya darasa la tano vizuri unless ni kizazi kipya kilichopotea. Mbona unawachukia wairan hivi? Watu na mila na desturi zao na katiba zao zinavyosema. Katiba siyo biblia au Quran ni kitabu dinamic ingawa nchi kama Marekani wenyewe wamejitahidi kuilinda ile ya zamani.
Kuhusu ubaguzi, nani alikuwa mbaguzi kama mwingereza maana yeye ndiye alitawala karibu ulimwengu lakini aligawa watu kwa matabaka. Leo hii angalia bunge la Uingereza rangi zilizomo ni aina ngapi? Je, kuna mhindi anayeweza kugombea urais nchi hii hatakama babu wa babu zake walizaliwa hapa? Je , nani anawania kuwa waziri mkuu wa UK? Asili yake wapi? nimekuuliza Obama ana asili ya wapi na ilikuwaje akawa Rais ?
Katiba za nchi zetu za kuiga wenzetu zina asili ya chuki ndo maana Iran na Tanzania hata India hatuwezi kuwa na kiongozi wa aisili nyingine sababu uroho na visasi vinatawala sana.
Mayoress yatafika kote hukoKituo Ni kizuri lakin ni njia panda ya gerezan usiombe sasa ukaingia gerezani kama mfungwa au mahabusu hali ni mbaya mnoo usiombe usiombe
Labda Nigeria ya kizota dodomaKwenye pages mbalimbali za social media nchini Nigeria ziliporushwa video clips za msanii Kiss Daniel akikamatwa na kuingizwa kituo cha Polisi Oysterbay mjadala umekuwa si msanii huyo kukamatwa bali uzuri wa Kituo cha Polisi Oysterbay ambapo Wa Nigeria wengi walionekana kuusifia uzuri wa kituo hicho wakifananisha na vituo vyao vya Nigeria.
Ikumbukwe kituo hiki kilijengwa na kampuni ya mwekezaji mahiri Rostam Aziz. Napenda kumpongeza sana Rostam na naomba azidi kujenga vituo vingi zaidi vya namna hii.
Kwa Jeshi la Polisi naoma na nyie huo uwe mfano bora wa vituo vyenu mnavyopaswa kuvijenga kuanzia sasa.
View attachment 2319641View attachment 2319642View attachment 2319644
kwa hiyo unabisha hata hizo page na comments sio za wanigeria??Labda Nigeria ya kizota dodoma
Ungepewa wewe kujenga tungekuta kituo kama hicho? Maana shi9da yetu wengi tunaishi kwa kuwaimbia mapambio wengine, wakati ni shidaaa tupu tunapopewa nafasiKwenye pages mbalimbali za social media nchini Nigeria ziliporushwa video clips za msanii Kiss Daniel akikamatwa na kuingizwa kituo cha Polisi Oysterbay mjadala umekuwa si msanii huyo kukamatwa bali uzuri wa Kituo cha Polisi Oysterbay ambapo Wa Nigeria wengi walionekana kuusifia uzuri wa kituo hicho wakifananisha na vituo vyao vya Nigeria.
Ikumbukwe kituo hiki kilijengwa na kampuni ya mwekezaji mahiri Rostam Aziz. Napenda kumpongeza sana Rostam na naomba azidi kujenga vituo vingi zaidi vya namna hii.
Kwa Jeshi la Polisi naoma na nyie huo uwe mfano bora wa vituo vyenu mnavyopaswa kuvijenga kuanzia sasa.
View attachment 2319641View attachment 2319642View attachment 2319644
Kwa uadilifu wangu nisioutilia shaka, nakuhakikishia ningejenga kituo kama hicho au kizuri zaidi ya hichoUngepewa wewe kujenga tungekuta kituo kama hicho? Maana shi9da yetu wengi tunaishi kwa kuwaimbia mapambio wengine, wakati ni shidaaa tupu tunapopewa nafasi
Kwa jinsi jeshi letu lilivyoimarisha ulinzi na usalama wa raia na mali zao linastahili sana pongeziWanaija wangejua kama yaliyomo kweli yamo wangefuta comment zao za kusifia hili geshi la polishi....
Rostam ni mtz kazaliwa tz