Jengo la Kituo cha Polisi Oysterbay lawa gumzo Nigeria

Rostam ni mzaliwa wa hapa tz

Ova
 
angekamatwa huko lushoto angejua hajui. kituo kama banda la kuku.
 
Watanzania wengi wana wivu wa kwanini na roho za kimaskini. Watu hawapendi maendeleo yao na ya wenzao. Akitokea mtu akawatofauti nao, basi yeye ni mnyarwanda, mrundi, mhindi, mwarabu ali mradi rangi nyeusi tiiii iwe ndo yenyekujua na kupanga kila kitu.
Kama Rostam alikuwa mhujumu uchumi mbona yupo huru mpaka leo na ni CCM kindakindaki. Labda ahamia nccr mageuzi ndo atakuwa m Irani.
Tuna mwendo kufika kwa wenzetu walipofikia hasa ndugu zetu wasiotembelea hata mikoa ya jirani acha nje ya nchi.
 
Kazi ya Magu mchapa kazi
 
Huenda una matatizo ya akili. Rostam kupitia kampuni yake ya Caspian ndio walijenga Kama kampuni zingine zinavyojenga. Ila unawaeleza watu kana kwamba rostam jatoa msaada wa ujenzi.
 
Aisee...
Hiki kibibi ni kibaguzi kutokana na umasikini tu..post zake nyingi ni ubaguzi baguzi....
Pole sana...tafuta hela utaona kila kitu kiko sawa....
 
09 August 2022
Logos, Nigeria

Tanzania police station neat past nija.
If na necklace and clothes.make.kisd Daniel not to perform, that means he took overdose

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…