Jengo la Kituo cha Polisi Oysterbay lawa gumzo Nigeria

Jengo la Kituo cha Polisi Oysterbay lawa gumzo Nigeria

Angalia sasa, unafananisha Botswana na Irani? Rostamu siyo Black man, take it or leave it, hata yeye analijua hilo na wala hajioni Mwafrika kama unavyofikiria, Uafrika kwake ni kupiga dili na wajinga Waafrika kutengeneza Fedha na kusepa lkn nje ya hapo kwenye madili Rostam hana business na Mwafrika!

Na wewe kama unaona mimi ni Mbaguzi jaribu kwenda Irani halafu ukafanye kama Rostamu anavyofanya hapa Afrika, gombea Ubunge, nunua viwanja na vituo vya Polisi, halafu urudi hapa na usemi wako wa Ubaguzi, labda utajua nani ni Mbaguzi!
Rostam ni mzaliwa wa hapa tz

Ova
 
Achana nae huyo anasumbuliwa na wivu na chuki za kimaskini

Hajui hata mfumo wa bima ya afya tunaotumia muanzilishi ni Rostam Aziz aliyeanzisha bima ya afya jimboni kwake mwaka 1995 jambo lililomfanya mkapa kuiga na kuingiza serikalini mfumo huo kwa Wafanyakazi
Watanzania wengi wana wivu wa kwanini na roho za kimaskini. Watu hawapendi maendeleo yao na ya wenzao. Akitokea mtu akawatofauti nao, basi yeye ni mnyarwanda, mrundi, mhindi, mwarabu ali mradi rangi nyeusi tiiii iwe ndo yenyekujua na kupanga kila kitu.
Kama Rostam alikuwa mhujumu uchumi mbona yupo huru mpaka leo na ni CCM kindakindaki. Labda ahamia nccr mageuzi ndo atakuwa m Irani.
Tuna mwendo kufika kwa wenzetu walipofikia hasa ndugu zetu wasiotembelea hata mikoa ya jirani acha nje ya nchi.
 
Kwenye pages mbalimbali za social media nchini Nigeria ziliporushwa video clips za msanii Kiss Daniel akikamatwa na kuingizwa kituo cha Polisi Oysterbay mjadala umekuwa si msanii huyo kukamatwa bali uzuri wa Kituo cha Polisi Oysterbay ambapo Wa Nigeria wengi walionekana kuusifia uzuri wa kituo hicho wakifananisha na vituo vyao vya Nigeria.

Ikumbukwe kituo hiki kilijengwa na kampuni ya mwekezaji mahiri Rostam Aziz. Napenda kumpongeza sana Rostam na naomba azidi kujenga vituo vingi zaidi vya namna hii.

Kwa Jeshi la Polisi naoma na nyie huo uwe mfano bora wa vituo vyenu mnavyopaswa kuvijenga kuanzia sasa.

View attachment 2319641View attachment 2319642View attachment 2319644
Kazi ya Magu mchapa kazi
 
Huenda una matatizo ya akili. Rostam kupitia kampuni yake ya Caspian ndio walijenga Kama kampuni zingine zinavyojenga. Ila unawaeleza watu kana kwamba rostam jatoa msaada wa ujenzi.
 
Aisee...
Hiki kibibi ni kibaguzi kutokana na umasikini tu..post zake nyingi ni ubaguzi baguzi....
Pole sana...tafuta hela utaona kila kitu kiko sawa....
 
09 August 2022
Logos, Nigeria

Tanzania police station neat past nija.
If na necklace and clothes.make.kisd Daniel not to perform, that means he took overdose

 
Back
Top Bottom